Uchaguzi 2020 Gwajima moto wa kuotea mbali, aisimamisha Bunju

Uchaguzi 2020 Gwajima moto wa kuotea mbali, aisimamisha Bunju

Kikukweli watu wamesombelewa wengi wakiwa kwenye EICHER za TEGETA NYUKI- KIVUKONI, NYUKI-GEREZANI
Kwa kifupi watu wamesombeleww
 
Jioni hii nimeona daladala nyingi za Ubungo Mawasiliano ndio zimejaza watu waliotoka kwenye huo mkutano, hii inaonesha wengi wa waliohudhuria huo mkutano sio wapiga kura wa jimbo la Kawe.
 

Hawa watu hata mgombea wa Urais wa Chadema alipofika Kawe hakupata watu wengi kama hawa.

Wakuu Kawe imepata mtu sahihi, leo bunju A imesimama. Hizi picha za asubuhi wakati mkutano haujaanza Bunju A imetapika.

Kwa wale upande wa pili wanaopenda kuedit picha, CCM hatuna kuedit. Pita shule ya msingi Bunju A ujione balaa watu wametapika

Mama lishe wanamlilia Gwajima
Bodaboda wanamtaka Gwajima
Madereva wanamtaka Gwajima,
Wastaafu wanamtaka Gwajima,
Wavuvi wanamtaka Gwajima
Wafanyabiashara wanamtaka Gwajima

WanaCCM tumeamua kuungana pamoja na kuondoa maslahi Binafsi ili kuhakikisha Gwajima anashinda kwa kishindo

Yule mama mwenye lugha ya matusi watu hata hawataki kumsikia.
Yaaani watu wamebebwa kutoka kwenye kanisa lake unasema watu wa jimbo la Kawe???? Kweli huna akili mleta mada, utakuwa wewe ni msukule wa Gwajima
 
Kila aina ya watu wamefika kusikiliza madini ya Gwajima
IMG-20200913-WA0005.jpg
 
Nasikia yule bibi na mkewe wameshatengewa viti maalum na Mwamba.
 

Hawa watu hata mgombea wa Urais wa Chadema alipofika Kawe hakupata watu wengi kama hawa.

Wakuu Kawe imepata mtu sahihi, leo bunju A imesimama. Hizi picha za asubuhi wakati mkutano haujaanza Bunju A imetapika.

Kwa wale upande wa pili wanaopenda kuedit picha, CCM hatuna kuedit. Pita shule ya msingi Bunju A ujione balaa watu wametapika

Mama lishe wanamlilia Gwajima
Bodaboda wanamtaka Gwajima
Madereva wanamtaka Gwajima,
Wastaafu wanamtaka Gwajima,
Wavuvi wanamtaka Gwajima
Wafanyabiashara wanamtaka Gwajima

WanaCCM tumeamua kuungana pamoja na kuondoa maslahi Binafsi ili kuhakikisha Gwajima anashinda kwa kishindo

Yule mama mwenye lugha ya matusi watu hata hawataki kumsikia.
Gwajima hata sasa ameshashinda
 
Kwenye huu uchaguzi Gwajima ni kibonzo,yaani anadanganya wazi wazi!Eti wanakawe wataenda kuishi Marekani!
 
Hakuna watu masikini kama wafuasi wa Gwajima; na bado li ligwajima linawakamua sadaka kila Jumapili.

Huko Birmingham Marekani sijui Japan sijui utopolo wa Boat za uvuvi , sijui treni na chuo cha uvuvi angeanza na waumini wake.

Gwajima Tapeli huyo hata kanisa ameshindwa kujenga huku anatembelea Hammer kwa sadaka za mazuzu wake.
Anawakamua, Kama jinsi ambavyo nyie mnakamuliwa michango na viongozi wenu kwenye majukwaa ya kisiasa mpaka Twitter??
 
Jioni hii nimeona daladala nyingi za Ubungo Mawasiliano ndio zimejaza watu waliotoka kwenye huo mkutano, hii inaonesha wengi wa waliohudhuria huo mkutano sio wapiga kura wa jimbo la Kawe.
Ruksa kujifariji 😂
 
Nilikuwepo bunju hakukua na ajabu yoyote zaidi ya kutengeneza foleni kubwa ya magari
 
Back
Top Bottom