Watery
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 2,718
- 3,471
Acha uongo maana ilikuea live kwenye global onlineMimi nipo hapa ndio watu alionanaoView attachment 1568790
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uongo maana ilikuea live kwenye global onlineMimi nipo hapa ndio watu alionanaoView attachment 1568790
Yaaani watu wamebebwa kutoka kwenye kanisa lake unasema watu wa jimbo la Kawe???? Kweli huna akili mleta mada, utakuwa wewe ni msukule wa GwajimaView attachment 1568765View attachment 1568766View attachment 1568768View attachment 1568770View attachment 1568771
Hawa watu hata mgombea wa Urais wa Chadema alipofika Kawe hakupata watu wengi kama hawa.
Wakuu Kawe imepata mtu sahihi, leo bunju A imesimama. Hizi picha za asubuhi wakati mkutano haujaanza Bunju A imetapika.
Kwa wale upande wa pili wanaopenda kuedit picha, CCM hatuna kuedit. Pita shule ya msingi Bunju A ujione balaa watu wametapika
Mama lishe wanamlilia Gwajima
Bodaboda wanamtaka Gwajima
Madereva wanamtaka Gwajima,
Wastaafu wanamtaka Gwajima,
Wavuvi wanamtaka Gwajima
Wafanyabiashara wanamtaka Gwajima
WanaCCM tumeamua kuungana pamoja na kuondoa maslahi Binafsi ili kuhakikisha Gwajima anashinda kwa kishindo
Yule mama mwenye lugha ya matusi watu hata hawataki kumsikia.
Kila aina ya watu wamefika kusikiliza madini ya Gwajima
Hats wazalendo maslahi,ni kwasababu ya notiNan hayupo after money?acha unafiki.
Uzuri Ni kwamba,hata hao waumini wake Ni wapiga Kura.Kabeba waumini wake wote
Swissme
Gwajima hata sasa ameshashindaView attachment 1568765View attachment 1568766View attachment 1568768View attachment 1568770View attachment 1568771
Hawa watu hata mgombea wa Urais wa Chadema alipofika Kawe hakupata watu wengi kama hawa.
Wakuu Kawe imepata mtu sahihi, leo bunju A imesimama. Hizi picha za asubuhi wakati mkutano haujaanza Bunju A imetapika.
Kwa wale upande wa pili wanaopenda kuedit picha, CCM hatuna kuedit. Pita shule ya msingi Bunju A ujione balaa watu wametapika
Mama lishe wanamlilia Gwajima
Bodaboda wanamtaka Gwajima
Madereva wanamtaka Gwajima,
Wastaafu wanamtaka Gwajima,
Wavuvi wanamtaka Gwajima
Wafanyabiashara wanamtaka Gwajima
WanaCCM tumeamua kuungana pamoja na kuondoa maslahi Binafsi ili kuhakikisha Gwajima anashinda kwa kishindo
Yule mama mwenye lugha ya matusi watu hata hawataki kumsikia.
Anawakamua, Kama jinsi ambavyo nyie mnakamuliwa michango na viongozi wenu kwenye majukwaa ya kisiasa mpaka Twitter??Hakuna watu masikini kama wafuasi wa Gwajima; na bado li ligwajima linawakamua sadaka kila Jumapili.
Huko Birmingham Marekani sijui Japan sijui utopolo wa Boat za uvuvi , sijui treni na chuo cha uvuvi angeanza na waumini wake.
Gwajima Tapeli huyo hata kanisa ameshindwa kujenga huku anatembelea Hammer kwa sadaka za mazuzu wake.
Kama hao waumini ndio wapiga Kura wake, sioni Shida kabisa🤔Hujui Leo ni J2 kahamishia kanisa lake hapo, tupatie picha za mkutano wake siku ya jummane
Mimi sijawahi kukamukiwa, labda nyie wenzetu huko uzuzuni ndio mnaokamukiwa.Anawakamua, Kama jinsi ambavyo nyie mnakamukiwa michango na viongozi wenu kwenye majukwaa ya kisiasa mpaka Twitter??
Ruksa kujifariji 😂Jioni hii nimeona daladala nyingi za Ubungo Mawasiliano ndio zimejaza watu waliotoka kwenye huo mkutano, hii inaonesha wengi wa waliohudhuria huo mkutano sio wapiga kura wa jimbo la Kawe.
Hili nalo unataka kubisha😂? Mbona Msingida anawakamua Sana tu manyumbu huko..!Mimi sijawahi kukamukiwa, labda nyie wenzetu huko uzuzuni ndio mnaokamukiwa.
Atapitia special seat kumbuka ni mwenyekiti bawachaTunamstaafisha apate muda wa kukaa na EB
mbona kawaida tu!! Kuna jipya gani alilofanya au yeye sio binadamu!! Mbona watu mnapenda kuona mapungufu ya wenzenu wakati nyinyi yamewajaa!!watakuwa wameenda kumshuhudia live mwigizaji maarufu wa picha za X!
Hivi punde tutamuona anaokota makopo! Nguvu ya mapepo si mchezo.Amezidi matusi acha aruhusiwe tu