Uchaguzi 2020 Gwajima moto wa kuotea mbali, aisimamisha Bunju

mbona kawaida tu!! Kuna jipya gani alilofanya au yeye sio binadamu!! Mbona watu mnapenda kuona mapungufu ya wenzenu wakati nyinyi yamewajaa!!
Kuna jamaa huku alishaweka kisa cha Raisi mmoja nimesahu nchi gani alienda Urusi warusi wakawatumia madada kumrubuni jamaa alawafu warusi kuna kitu walikua wanahitaj kwa yule raisi wakatishia kutoa mkanda wa ngono aliofanya na wale madada wa kirusi.Jamaa alivo noma akawambia tena ikiwezekana watengeneze kopi nyingi ili akirudi nchin kwake akawagawie kila mwanachi watafurahi. warusi walichoka😀
 
mbona kawaida tu!! Kuna jipya gani alilofanya au yeye sio binadamu!! Mbona watu mnapenda kuona mapungufu ya wenzenu wakati nyinyi yamewajaa!!
hatugombei ubunge.... tutapogombea ni lazima tuchokonolewe tu hakuna namna!
 
Tazama mafuriko ya huko Iringa, halafu toa comments kwenye huo utangulizi wake.


 
Tazama mafuriko ya huko Iringa, halafu toa comments kwenye huo utangulizi wake.


Hapa tunazungumzia wabunge wa kawe, je ni sahihi kumpambanisha mtu level ya jimbo na anayegombea urais?, Weka video ya mdee kawe
 
Hapa tunazungumzia wabunge wa kawe, je ni sahihi kumpambanisha mtu level ya jimbo na anayegombea urais?, Weka video ya mdee kawe
View attachment 1569175
Nimekuambia isikilize pale mwanzo tu. Inasema rais, rais wetu wa mwaka elfu kumi na.... Yaani ni ya 2015. Jamaa kai edit ionekane ni ya Iringa jana. Lakini hakufanya proof reading. Kaumbuka. Yaani wanatufanyia usanii tupu halafu wanataka tuwaamini tuwakabidhi nchi
 
Sasa bodaboda wanamtaka awasaidie nini.
Huyu kawapa kila boda 15000 toka kawe hadi bunju na kusomba watu kwa magari unadhani watu wa jimbo la kawe ni mapoyoyo, subiri siku ya kura
 
Wewe uko tabora umejuaje ni watu wa bunju, afterall bunju wakaz wake ni wachache sana
Usiwe mwongo, ni watu wa bunju na vitongoji vyake. Wameanza kumiminika saa 2 asubuhi
 
Sasa bodaboda wanamtaka awasaidie nini.
Huyu kawapa kila boda 15000 toka kawe hadi bunju na kusomba watu kwa magari unadhani watu wa jimbo la kawe ni mapoyoyo, subiri siku ya kura
Chadema kwa kuropoka tumewazoea. Leta ushahidi wa Gwajima akiwapa kila boda 15000.
 
Wewe uko tabora umejuaje ni watu wa bunju, afterall bunju wakaz wake ni wachache sana
Kwa sensa ipi uliyofanya ukabiani wakazi wa bunju ni wachache sana. Naona hamtaki kuamni mlichokiona na bado comrade jiandaeni kisaikolojia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…