Uchaguzi 2020 Gwajima moto wa kuotea mbali, aisimamisha Bunju

Mdini huyo anataka kugeuza madrasa za watoto wetu kuwa sunday schools.
Amewatapeli waumini nakuanzisha bank Africa
Ana kashfa ya ngono na kutukana viongozi wa dini
Anatembea na mabasi kama manne hivi ya kusomba wa tu moja nilipita njiapanda ya shule jana
 
Hawa woote nliwaona jana wanatoka ibadani na eicher kama 20+ msururu wa bodaboda na mabasi matatu ya kijani wamesombwa kama kifusi


sasa jiulize waumini wa Gwaji Boy wanaishi Kawe au mnataka kuja kulialia matokeo yakitoka??
 
Waumini wake hao
 
Hahahahaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ina maana aliwatafuta madada zao na mtego wao ukakwama

Ni sawa na kula hela ya TAKUKURU waliokutegesha, unaichukua wakija ili kuwadake nayo wanakuha hoola
 
Watapata majimbo mawili matatu nchi aliyoongoza Mwalimu Nyerere haiwezi kuongozwa na wakala wa wenye nia mbaya na utajiri aliotupa Mungu.
 
Mcheza pono anatofauti gani na anti kesi? Wote ni wachafu. Itakuwa ajabu Sana kawe kuwa mbunge mtaalaam wa X
Basi Kawe itakuwa na shetani Mahaba, maana mwingine wanasema Leb... ila hajarekodi tu.
Anachezea atenna za wenzake
 
Basi Kawe itakuwa na shetani Mahaba, maana mwingine wanasema Leb... ila hajarekodi tu.
Anachezea atenna za wenzake

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nimecheka kwa sauti!

Gwajima amefanya kuchafuliwa tu na uzuri ni kuwa dhahabu haibadiliki hata ikipakwa tope!
 
Huyo mcheza filamu za ngono asahau ubunge wa kawe!Labda kama mkuu anampenda sana,amteue awe mwenezi CCM au katibu mkuu CCM!


Wapigakura wengi ni waelewa wanajua kuwa ile ilikuwa kumchafua tu Gwajima kwa kutengeneza!
Halafu Mungu wa Gwajima mkubwa sana maana nasikia wanaotajwa ktk kuitengeza eti yameshaanza kuwapata yale ya hadithi ya “mchimba kisima”

Kuingia mwenyewe [emoji14][emoji14][emoji14]
 
Makonda ambaye ni kada wa CCM atoke hadharani aje aseme kama aliitengeneza au vipi!Si maslahi ya chama kwanza😁😁!Pagumu hapo!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…