Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Hivi Mkuu uko serious kweli? Huwa unaangalia gwaride za nchi nyingine? Hiki kituko ndio cha kusifia?Sina maneno mengi. Mimi ni mpenzi wa Magwaride ya Kijeshi. Katika magwaride ya nguvu ambayo JW wamewahi kufanya ni hili la mwaka 2021, miezi michache kabla ya Kifo cha Magufuli.
Kweny hili Gwaride makamanda walitimua vumbi kwelikweli.
Siongei sana wacha video iongee yenyewe.
View: https://www.youtube.com/watch?v=3hpf55oJdUk&ab_channel=MillardAyo
Yupo anayekunyonya damu huku anarembua, kubwa la ma vampires ...bora yule alijionyesha waziwazi bila kufichaIla hio nchi ilipatw sana. Tuliongozwa na vampire kabisaaaa
Vumbi lilitimuka kweli kweli hapa ndio utapenda kazi ya ulinziSina maneno mengi. Mimi ni mpenzi wa Magwaride ya Kijeshi. Katika magwaride ya nguvu ambayo JW wamewahi kufanya ni hili la mwaka 2021, miezi michache kabla ya Kifo cha Magufuli.
Kweny hili Gwaride makamanda walitimua vumbi kwelikweli.
Siongei sana wacha video iongee yenyewe.
View: https://www.youtube.com/watch?v=3hpf55oJdUk&ab_channel=MillardAyo
Hivi Mkuu uko serious kweli? Huwa unaangalia gwaride za nchi nyingine? Hiki kituko ndio cha kusifia?
Kikosi pekee walichofanya vizuri ni cha majini pekee, wengine hasa waliotangulia ni aibu tupu wanapoteana step wamevimbiana vitambi hadi aibu.
Nimejisikia aibu sana kuona kumbe hadi Museven alikuwepo kushuhudia hayo mauzauza!
JPM the resting heroSina maneno mengi. Mimi ni mpenzi wa Magwaride ya Kijeshi. Katika magwaride ya nguvu ambayo JW wamewahi kufanya ni hili la mwaka 2021, miezi michache kabla ya Kifo cha Magufuli.
Kweny hili Gwaride makamanda walitimua vumbi kwelikweli.
Siongei sana wacha video iongee yenyewe.
View: https://www.youtube.com/watch?v=3hpf55oJdUk&ab_channel=MillardAyo
MkuuYupo anayekunyonya damu huku anarembua, kubwa la ma vampires ...bora yule alijionyesha waziwazi bila kuficha
Huwa hayafanyiki Kwa bahati mbaya!Sina maneno mengi. Mimi ni mpenzi wa Magwaride ya Kijeshi. Katika magwaride ya nguvu ambayo JW wamewahi kufanya ni hili la mwaka 2021, miezi michache kabla ya Kifo cha Magufuli.
Kweny hili Gwaride makamanda walitimua vumbi kwelikweli.
Siongei sana wacha video iongee yenyewe.
View: https://www.youtube.com/watch?v=3hpf55oJdUk&ab_channel=MillardAyo