TANZIA Gwiji la Siasa na Mapambano ya Kudai Uhuru, Mzee Bilali Waikela amefariki dunia

TANZIA Gwiji la Siasa na Mapambano ya Kudai Uhuru, Mzee Bilali Waikela amefariki dunia

Waislam ni watu wakarim naniwaungwana, namaisha yao yote huishi kwa kumuogopa Mwenyeezi Mungu ndio maana wanaishi umri mrefu.
Maisha marefu ni zawadi inayotelewa na Mungu, hakuna ajuaye sababu, japo wataalam wana sababu za Kisayansi, ambazo kuna wakati zinakataa.

Wapo waislam wanaojaliwa maisha marefu, wapo wakristo, wapo wahindu, wapo wa imani za jadi. Kama kungekuwa na dini ambayo wafuasi wake wamehakikishiwa maisha marefu au kutokufa kabisa, huenda watu wengi wangejazana huko.

"The oldest person living (female) was Kane Tanaka (Japan, b. 2 January 1903) who recently passed away on 19 April 2022 at the age of 119.

The new oldest person living (female) and the overall oldest person living is Sister André (France, b. 11 February 1904 as Lucile Randon) who is now officially the oldest person alive at 118 years 73 days old.

The oldest person ever (male) was Jiroemon Kimura (Japan, b. April 19, 1897) and he passed away aged 116 years 54 days on June 12, 2013"
 
Uzi umukuwa siyo TANZIA tena
Umegeuka mnyukano,kujimwambafay

Ova
 
Allah amsamehe, amhurumie na ampe makazi firdausi mzee wetu, Bilal Waikela.
 
RIP Bilal Waikela.

Pole nyingi kwa wafiwa, ndugu,na marafiki wa Mzee Bilal Waikela.
 
Huwa ninajiuliza, Kuna uhusiano gani kati ya uislamu na umri mrefu?? Au ni coincidence tu!

R.I.P Mzee mpigania uhuru.
Hawana stress,we unawaza kupeleka mtoto ada milioni kumi yeye mtoto anapeleka kayumba,unapanga nyumba masaki ye yuko mwananyamala,pili wake wengi mke akizingua kesho anaoa mwingine,we unasema kifo kitatutenganisha unakufa kibudu
 
View attachment 2283255
Wanaukumbi.
Inna lillahi waina ilayhi rajiuun

Ndiyo Lugha pekee ambayo inaweza Kuliwaza Mtetemo wa Moyo, Huzuni na Simanzi Kubwa Waliyonayo Waislamu na Watanzania kwa Kuondokewa na Mzee wao, Mpigania Uhuru wa Tanganyika, Mpigania Uhuru aliyemhami Mwalimu Nyerere (Rais wa Kwanza wa Tanzania) kwa Kumpa Malazi na Usafiri katika Harakati za Kudai Uhuru katika Mkoa wa Tabora

Gwiji la Siasa na Mapambano ya Kudai Uhuru MZEE BILALI WAIKELA

POLENI WANA FAMILIA, POLENI WAISLAMU, POLENI WATANZANI, AMA HAKIKA ALLAH NDIYE MWENYE MAAMUZI YA MWISHO KATIKA YOOOTE TUYAFANYAYO

View attachment 2283246

Soma kuhusu Bilal Bilal Waikela ni nani?
Alale pema peponi Mzee huyu.
 
Hawa wazee wetu wa tabora hawatajwi kabisa kwenye historia ya ukombozi wa nchi hii...

Mungu amlaze mahali pema peponi huyu mzee.
 
Mwenyezi Mungu Amrehemu Mzee Waikela. Shukrani nyingi kwa mchango wake kupigiania Uhuru wa Tanganyika.
 
View attachment 2283255
Wanaukumbi.
Inna lillahi waina ilayhi rajiuun

Ndiyo Lugha pekee ambayo inaweza Kuliwaza Mtetemo wa Moyo, Huzuni na Simanzi Kubwa Waliyonayo Waislamu na Watanzania kwa Kuondokewa na Mzee wao, Mpigania Uhuru wa Tanganyika, Mpigania Uhuru aliyemhami Mwalimu Nyerere (Rais wa Kwanza wa Tanzania) kwa Kumpa Malazi na Usafiri katika Harakati za Kudai Uhuru katika Mkoa wa Tabora

Gwiji la Siasa na Mapambano ya Kudai Uhuru MZEE BILALI WAIKELA

POLENI WANA FAMILIA, POLENI WAISLAMU, POLENI WATANZANI, AMA HAKIKA ALLAH NDIYE MWENYE MAAMUZI YA MWISHO KATIKA YOOOTE TUYAFANYAYO

View attachment 2283246

Soma kuhusu Bilal Bilal Waikela ni nani?
Daaah huyu Mnyamwezi ni noma gari yake ilikuwa imetembea mail 9000
Ambapo 1Mail=1.609
9000=?
 
Husuda kwamba mzee kafa au?
Tena sana tu.
Waefeso wanahusudu mpk maiti.
Roho mbaya ka paka mwizi.
Anaiba nyama kisha anakuwa mkali paka mwingine akitaka kuonja.
Mzee wa watu kapigania uhuru na kulitumikia taifa maisha yake yote
Leo katangulia mbele ya haki.
Waislamu wanamuombea dua tayari imeshakuwa kesi.


Wagalatia utafkiri wamepigwa laana flani.
 
Inalilah wainailah rajiun.

Mzee shupavu katutoka
 
Kuna sababu yo yote ya kuwapa pole Waislamu

Kuna sababu yo yote ya kutaja Waislamu katika mada hii? Kama angekuwa amekufa Shehe hapo ingeeleweka; sawa na Padre au Askofu akifa itaeleweka kama ukiwafariji Wakristu. Tuache huu upuuzi wa kuingiza dini katika mambo yasiyohusika. Jambo hili ltatufikisha pabaya.
Waislamu ndio watu wa awali kuanzisha movement ya kudai UHURU nchini.
 
Hadi SAsa Hakuna matunda ya UHURU ya kujivunia bora wajerumani wangeendelea kuwepo tungekuwa mbali sana na more civilized. Maana maendeleo yote uyaonayo nchini kaleta mjerumani.
Ilitakiwa tupiganie usawa au ushirikishwaji, hadi SAsa tumeproovu failure hatuwezi jiongoza.
 
Unaonesha roho mbaya hata kwenye tangazo la msiba.

Mmeanza udini, yale yale ya kulazimisha Mkwawa kuwa mwislam?

Ila huo uhuru aliupigania mbona kwenye historia hatujawahi msikia.

Rest well comred
 
Kuna sababu yo yote ya kuwapa pole Waislamu

Kuna sababu yo yote ya kutaja Waislamu katika mada hii? Kama angekuwa amekufa Shehe hapo ingeeleweka; sawa na Padre au Askofu akifa itaeleweka kama ukiwafariji Wakristu. Tuache huu upuuzi wa kuingiza dini katika mambo yasiyohusika. Jambo hili ltatufikisha pabaya.
Aliwahi kuwa kiongozi wa waislam
 
Unaonesha roho mbaya hata kwenye tangazo la msiba.

Mmeanza udini, yale yale ya kulazimisha Mkwawa kuwa mwislam?

Ila huo uhuru aliupigania mbona kwenye historia hatujawahi msikia.

Rest well comred
Sasa mkwawa alikuwa mpagani??
Unataka historia ipi hiiihii ambayo unaambiwa babu yako alikuwa nyani??
 
Kuna sababu yo yote ya kuwapa pole Waislamu

Kuna sababu yo yote ya kutaja Waislamu katika mada hii? Kama angekuwa amekufa Shehe hapo ingeeleweka; sawa na Padre au Askofu akifa itaeleweka kama ukiwafariji Wakristu. Tuache huu upuuzi wa kuingiza dini katika mambo yasiyohusika. Jambo hili ltatufikisha pabaya.
Mzee Waikela alikuwa kiongozi ndani ya East African Muslim Welfare Society (EAMWS) na alikuwa pia mstari wa mbele katika TANU.
 
Back
Top Bottom