Jackson Turary
Senior Member
- Jan 1, 2014
- 161
- 136
Ujumbe wa mtoa uzi umebezi kwenye udini zaidi , siyo poaItoshe kusema Watanzania sio waislamu na watanzania .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujumbe wa mtoa uzi umebezi kwenye udini zaidi , siyo poaItoshe kusema Watanzania sio waislamu na watanzania .
Usitulazimishe kuamini unachokitaka wewe kwa kumwaga misifa kibao.View attachment 2283255
Wanaukumbi.
Inna lillahi waina ilayhi rajiuun
Ndiyo Lugha pekee ambayo inaweza Kuliwaza Mtetemo wa Moyo, Huzuni na Simanzi Kubwa Waliyonayo Waislamu na Watanzania kwa Kuondokewa na Mzee wao, Mpigania Uhuru wa Tanganyika, Mpigania Uhuru aliyemhami Mwalimu Nyerere (Rais wa Kwanza wa Tanzania) kwa Kumpa Malazi na Usafiri katika Harakati za Kudai Uhuru katika Mkoa wa Tabora
Gwiji la Siasa na Mapambano ya Kudai Uhuru MZEE BILALI WAIKELA
POLENI WANA FAMILIA, POLENI WAISLAMU, POLENI WATANZANI, AMA HAKIKA ALLAH NDIYE MWENYE MAAMUZI YA MWISHO KATIKA YOOOTE TUYAFANYAYO
View attachment 2283246
Soma kuhusu Bilal Bilal Waikela ni nani?
Umepiga penyewe kwa huyo mleta uzi kishabikiItoshe kusema Watanzania sio waislamu na watanzania .