TANZIA Gwiji la Siasa na Mapambano ya Kudai Uhuru, Mzee Bilali Waikela amefariki dunia

Huyu mzee alikua ni mwamba sana. Inasikitisha kuwa Waislamu wenyewe ndio walioanza kuwadharau hawa wazee.
 
Usitulazimishe kuamini unachokitaka wewe kwa kumwaga misifa kibao.

Jambo la msingi ni kumuombea mwendazake aepushwe na adhabu ya kaburi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…