Ha ha ha mwalimu oyee..!!


Ndugu unautani sana aisee..............
 
Congs Munkari am happy for you. Sasa utafanya kazi kwa moyo mmoja maana akili imetulia na moyo umeridhika

kabisaaa!! Thanks much Hapa sasa kazi itaenda!
 
Last edited by a moderator:
daah all the best my dear hadi mimi nimefurahi nimepata pa kufikia full digital lol

ha ha ha! Best yangu uje na zanzi kabisaaaa tusherehekee btw- nimekumis sana ntakucall bdaye !!
 

ha ha ha yani wewe!! wanafunzi wenyewe hawa wa siku hizi ukiwapakia mamakeups si utakuta kibarua mezani 'mwalimu nimekuzimikia' loh BRN lazima ianzie kwa viongozi siye watendaji tu !!
 
ha ha usijali wala nini!

yaani we 'mbebez' ualimu ndo umeona ni kazi jamani!!..hako ka mshahara mnakopewa wengine ndo tunawapa pocket money watoto zetu eti nyie ndo mshahara!!..kwa mwanaume ni udhaifu sana kusomea 'kazi za kike' kama ualimu!!
 
yaani we 'mbebez' ualimu ndo umeona ni kazi jamani!!..hako ka mshahara mnakopewa wengine ndo tunawapa pocket money watoto zetu eti nyie ndo mshahara!!..kwa mwanaume ni udhaifu sana kusomea 'kazi za kike' kama ualimu!!
Hey,you just don't know,one of the cool bean zilizonifanya nimpende Munkari ni kazi yake aise so ---- that shit men.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…