AKILI TATU
JF-Expert Member
- Feb 10, 2016
- 2,659
- 2,827
- Thread starter
- #21
Hizi NI habari na zinafaaa ...lakini zile za sijui Rais WA Nigeria kasamehe wafungwa kwao...mara sijui Gambia wamefanya nini...nashanga Sana tukiletewa habari hizi...Leo nime sikiliza habari saa moja kamili clouds fm (habari za kimataifa) nimeipenda msomaji wa habari kasema Raisi wa congo DRC kamtuhumu wazi wazi Rwanda kwa kuvamia nchi yake.
Hii ili tokea baada ya Rwanda kuingiza majeshi yake nchini DRC kuwasaidia waasi wa M23 [emoji3] kinyume na makubaliano ya sheria ya kimataifa nime sahau sijui ni ya mwaka gani iliyo tungwa na kujadiliwa ... nimeasahau ali sema msomaji wa habari.
Hapo hapo Rwanda nao wana wa tuhumu serikali ya Tshekedi (Rasi wa DRC) kwa kufadhili kundi la waasi wa EFDL [emoji23][emoji23] ipo siku yaja hawa majirani zetu wata toana roho. [emoji30][emoji2296]
Kwa mtazamo wangu Rwanda ndio muonezi wa Congo nae ni kama ma beberu tu, ana waibia mali DRC ndio maana ana fadhili makundi kama M23 ili vita visiishe aendelee kupiga mali za DRC. Kagame ni boonge la snitch [emoji19]
NB: umbea kama huu kuupata kwenye Tv, Radio stations naona una faida kujua hali za majirani zetu na nini kinacho endelea huko over [emoji23][emoji482]