Habari hizi za kimataifa kwa manufaa ya nani hapa Tanzania?

Hizi NI habari na zinafaaa ...lakini zile za sijui Rais WA Nigeria kasamehe wafungwa kwao...mara sijui Gambia wamefanya nini...nashanga Sana tukiletewa habari hizi...
 
Kwakuwa mimi siishi huko nje ni vigumu kulijibu hilo swali lakini kwa muktadha wa nguo nikivaa mimi wengine wakaifanya mjadala mkubwa nguo yangu hiyo kutokana na uzuri ama ubaya wake SI lazima nami nifanye hivyo kwa nguo zao
Lakini NI sahihi Kwa maslahi ya jamii...ukizingatia hapa.ndani tuko na mambo mengi yanafaa kuripotiwa na kufanyiwa follow up lakini yanaishia hewani...kuna kesi chungu laki na matukio ya kutosha ambavyo yangefaa kufanyiwa ufuatiliaji kuliko kujidamkisha na habari local za Sijui wapi huko...
 
In short habari ni aina fulani ya propaganda, kutoka na principal control what people know.

Kuhusu habari za kimataifa. Niliwahi kufwatilia bbc swahili kama mwezi hivi. Nilibaki nashangaa sana, na nazani hata wenzangu wengine humu mliduwaa. Yule salimu zio mzima, yeye habari zake ni kinyume na maumbile kwa kwenda mbele, akitoka mapadre anakuja mashehe, mara huku wameruhusiwa kufunga ndoa. Sijajua ni kutoka msukumo wake au mwajiri wake.
 
Hahaha.. inawezekana haswa Kwa hizi media ambazo zinakuwa owned na other countries kama DW, BBC, VoA And so far ..!
 
Wakongwe wa tasnia ya habari akiwemo mkuu Pascal Mayalla mtanisaidia kujua ukweli wa hili.

Kwa muda mrefu redio na TV zimekuwa na hizi habari wanazoziita za kimataifa na wakati mwingine wanavuka na
Ni upuuzi tu. ni kama hapa jf, kuna majuha wako bize na issue za urusi na ukraine. na wanabishana kabisa walivyo mazuzu
 
Kumbuka hatuishi pekeyetu tuna rais wa hayo mataifa mengine wangependa pia kujua habari za kwao kama sisi tu tunapokuwa kwenye mataifa yao
 
Kumbuka hatuishi pekeyetu tuna rais wa hayo mataifa mengine wangependa pia kujua habari za kwao kama sisi tu tunapokuwa kwenye mataifa yao
Sawa..je media za huko nnje nako wanazingumzia hizi local news zetu kama ambavyo Sisi tunazizungumzia..!?
 
ni upuuzi tu. ni kama hapa jf, kuna majuha wako bize na issue za urusi na ukraine. na wanabishana kabisa walivyo mazuzu
Mkuu Utingo Hizi zina impacts Kwa uchumi WA dunia .so NI muhimu kujuzwa...nazozungumzia hapa NI zile local news za marekani, India kuzungumzwa hapa bongo kama habari za maana Sana kwetu...mfano WA hizo NI sijui Mbunge WA Washington amefariki dunia...mara sijui meya huko India ameoa kafanya sherekhe kubwa ...sijui mara huko afrika kusin kuna ajali ya malori,...sijui huko Canada kuna mvua imenyesha...hizi na zingine kama hizo zinafaida gani kwetu tukishajuu au kusikia..!?
 
Ndio sasa huko sio local news tena bali ni za kimataifa
Nakuelewa Sana bro . ...inamaana unataka kuniambia hizi habari za Mbunge kutumbuliwa...sijui kuzinduliwa Kwa kiwanda cha sukari bagamoyo ndio zisomwe UK au hata hapo Ghana kweli!?
 
Hazina impact tena. dunia imesha-jiadjust. kuzishupalia kama mnavyozishupalia ni kupoteza muda tu. hata news lines kama cnn na zingine hawazishobokei kama ilivyokuwa mwanzoni
 
Nakuelewa Sana bro . ...inamaana unataka kuniambia hizi habari za Mbunge kutumbuliwa...sijui kuzinduliwa Kwa kiwanda cha sukari bagamoyo ndio zisomwe UK au hata hapo Ghana kweli!?
Inategemea sina hakika
 
Mkuu una akili sanaaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…