Habari mbaya kwa walaji wa Kitimoto: Huenda wengi wao wakaja kupata kifafa!


Nyama yoyote isipoiva vzuri huleta madhara
 

Acha story za magenge ya kahawa na kashata
 

Mungu alikataza nguruwe isiliwe et oooooh mbuzi katoriki
 
Mungu alikataza nguruwe isiliwe et oooooh mbuzi katoriki
Wanaotaka kula mbuzi wa kikatoliki waache wamle tu Huyu Nguruwe wakipatwa na maradhi ya kifafa watibabu tuko na bei ya kutibu huo ugonjwa wa kifafa ni shillingi Millioni 2 wakiwa wengi wagonjwa ndipo na faida ya waganga wa kienyeji kazi kwao walaji Mbuzi wa kikatoliki Koi Jr
 
Last edited by a moderator:
Heri mimi ninayekula mara moja kwa mwezi chances ya kupata inakuwa ndogo. Ila sasa nitasimamia mwenyewe achomwe mpaka nisikie tishhhh! nitajua tayari weshakufa.
 
Walawi 11:7-8

Hakika ni kuwa Agano la Kale katika Biblia imekataza ulaji wa nguruwe na akafanywa kuwa ni haramu:

"
Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu ni najisi. Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama
yao wala msiguse mizoga yao" (Walawi 11: 7 – 8).
Agizo hilo limerudiwa katika

Kumbukumbu la Shari'ah 14: 7 – 8 na pia Isaya 66: 17. Na katika Agano Jipya, Yesu naye amesema
kuwa

hakuja kutangua shari'ah na mafundisho ya manabii bali kukamilisha
(Mathayo 5: 17). Kwa ibara hiyo ni

kuwa Yesu pia aliharamisha ulaji wa nguruwe.
Hata hivyo, Nabii Paulo ndiye aliyekuja akaenda kinyume na

shari'ah hiyo kwa kutoa agizo kwa barua aliyowaandikia Warumi:
"Basi, usiiharibu kazi ya Mungu kwa

sababu ya ubishi juu ya chakula. Vyakula vyote ni halali, lakini haifai kula chakula ambacho kitamfanya

aanguke katika dhambi"
(Waroma 14: 20).
Pia, "Katika kuungana na Bwana Yesu, nina hakika kwamba

hakuna kitu chochote kilicho najisi kwa asili yake"
(Waroma 14: 14).
Paulo amesema tena kuwa kila kitu

alichoumba Mungu ni chema wala hakuna kinachohitaji kukataliwa
(1 Timetheo 4: 3 – 5). Na Mwenyeezi

Mungu ndie anayejuwa zaidi.@
FALSAFA
 
Mimi nimefanya utafiti CHINA, POLAND,LONDON, AMERICA na JAPAN kuwa supu yakichwa cha nguruwe kinaongeza akili ya ziada kwa watumiaji utafiti huu umenifanya nipate PhD yangu pia ndiyo maana watu hawa niwagunduzi wazuri
 
Mimi nimefanya utafiti CHINA, POLAND,LONDON, AMERICA na JAPAN kuwa supu yakichwa cha nguruwe kinaongeza akili ya ziada kwa watumiaji utafiti huu umenifanya nipate PhD yangu pia ndiyo maana watu hawa niwagunduzi wazuri
utafiti huo si wa kweli kwa sababu nguruwe wana vimelea wa magonjwa wengi sana na hasa retroviruses ambao hawadhuriki hata baada ya kuchemsha/kukaanga/kupika nyama yake.Wengi wa hawa viruses wanaadhiri ubongo. kwa maana hiyo akili unayopigia chapuo itatoka wapi?
 
Kitimoto iliyoandaliwa vyema haina shida..huyo mdudu aliwe tu...
 
Nchini Tanzania nyama ya nguruwe ni maarufu katika maeneo mbali mbali ya starehe na imepewa majina mengi ,kama vile mkuu wa meza, kiti moto na mengineyo mengi.

Hata hivyo utafiti wa kisayansi kutoka chuo kikuu cha kilimo cha sokoine ( SUA), umebaini kuwa walaji wa nyama ya nguruwe wako katika hatari ya kupata magonjwa kama vile kifafa kutokana na mnyoo Tegu uliopo kwenye nyama ya nguruwe.

Mwandishi wa BBC Maximiliana Mtenga amezungumza na mtafiti wa magonjwa ya binadamu na wanyama Dkt. Boa Mathias Emanuel kutoka chuo kikuu cha SUA, na kwanza amemuuliza ueneaji wa ugonjwa huu.


Chanzo: BBC Swahili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…