Habari mbaya: Uwanja wa Uhuru Dar, Watu 45 wapoteza maisha kutoka na msongamano

Ulijitambulisha kuwa wew ni nani
 
Na huko mikoani watazidi idadi mnaojielewa mchukue tahdhari hata kwa wapendwa wenu, mimi nilienda lakini nguvu za kwenda kuaga nilizikosa
 
Hata msiba wa Bob marley kna watu walipoteza maisha

Ova
 
Yule Mzee wa Shipa la Kimkakati LwandaMagere Magere aje atujuze kidogo pengine kuna watu wameweka tego kwenye Nyomi hilo... and Eneo la uwanja wa Taifa halipo mbali sana na yale Makaburi ya Machinjioni eneo la Makaburi lililogeuzwa Barabara kuu damu inamwagika sana pale
 
Imefikia stage hiyo, kwanini hiyo shughuli ya kumuaga Magufuli isingepelekwa uwanja wa Mkapa? au hapakuwa na polisi wa kutosha kusimamia hilo zoezi? anyway now it's too late.

Wapumzike kwa amani wote waliofariki.
Mkuu soma signature yangu hapa chini πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
 
Jamani ila watu.Mimi nimeangalia nyumbani tu. Ya nini kwenda kwenye msongamano wote huo?Sasa wamefuata vifo vyao. Inasikitisha.
 
nyumbu lazima wafe sana!
sasa kama huyo mrembo lydia,ukute hatahakutumika vizuri,engine ilikuwa haijamwaga oil kivile,anakufa kizembe hivi!
dah,anyways mwisho wa maigizo haya ni 26/03/2021!
ahahaha,kuna watu wanataka kumfanyia siasa marehemu!
 
We journalist noma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…