Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vitu vingine uulize kwanzaHiyo kamati ya mazishi imefeli sana! Kwa nini waliruhusu watu kukaa mle uwanjani kama kuna mechi ya Yanga na Simba? Huo mwenge sasa si uzimwe tu? Kwani kuna haja ya kuutembeza mpaka Zenji?
Hawajui wanachopigania ila muda utaongea tu mkuuUtawaweza Wabongo! Kwenye kuhiji wanakufa watu wangapi kila mwaka?! Na watu bado wanaenda
Nilitegemea video kama vitano au Kumi mfalume Na Nabii Magufuri awezi kwenda peke yakeSo sad!
Hili nalo lawama ni kwa Magufuli au?
Hao unaowaona wamejazana hapo ndio wale unaowaona wamejazana kwenye daladala,pantoni,sokoni na hawafi mnakufa nyinyi matajiri mnaoshinda kwenye ac huku mmevaa barakoaUzembe tu, kwa hali ilivyo ya maambukizi ya covid kweli unaacha mambo yako unaenda ili hali tukio linaonyeahwa kwenye tv, hujavaa barakoa unasomba watoto, vifo vongine ni kujitakia
Lawama zote kwa JohnSo sad!
Hili nalo lawama ni kwa Magufuli au?
Hivi kuna nchi yenye majuha kama Tanzania dunia hii? Walikuwepo watu wazima wengi na watoto. Ujinga uliopitiliza.Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa Mimi nilishangaa kina Mama na watoto huko kwenye misongamano
Nini kinachokukalisha kwenye nchi ya majuha kama sio Shobo dundo? ?Hivi kuna nchi yenye majuha kama Tanzania dunia hii? Walikuwepo watu wazima wengi na watoto. Ujinga uliopitiliza.
Wanakufa sana tu, sema kwa sababu ni nobodies vifo vyao vinapita tuHao unaowaona wamejazana hapo ndio wale unaowaona wamejazana kwenye daladala,pantoni,sokoni na hawafi mnakufa nyinyi matajiri mnaoshinda kwenye ac huku mmevaa barakoa
Hivi kiherehere chao Kwenye mambo hayo yasio na msingi kinakuhusu nini wewe mwerevu ?Wa kulaumiwani hao nyumbu wanaokimbilia huko. Mtu mzima anatoka nyumbani kudu kudu kukimbilia mambo yasiyo ya msingi!
Jf huijui? Watu kujidai wana akili ndio sifa namba moja.Nini kinachokukalisha kwenye nchi ya majuha kama sio Shobo dundo? ?
Hasira za nini mkuu?Wafuasi wa lilesenge tayari wameshamrushia lawama kuwa ni serikali yake ndo inapaswa kulaumiwa!