Habari Naitaji mchumba awe ana miaka 19 -26 anaishi Dar Asiwe na mtoto wala alie wai kuolewa mengine tuta ongea privet emeli yangu zuherially8@gmail

Habari wakubwa zangu na wadogo zangu..Naitaji Mchumba awe na umri wa miaka 19-26,awe anaishi Dar-es-Salaam..awe ana mtoto wala ajawai kuolewa Mengine yote tutaongea private imel yangu Zuherially8@gmailcom...ASANTENI
uko kwenu uko ulimwengu gani ambako hamna wanawake mpaka uje JF
 
NAKAZIA
 
Mzee nimeandika mstari mmoja umejibu mistari 4,,sawa Mwenye miakili mingi kongole kwako.
Ujakosea kwasabb ya uwezo wa uwelewa wako ila jua tu kua Ata ukimwi aupimwi Kwa macho na tuna fanana jinsia ila Tabia na matendo tupo tofaut na ndiyo mana kila 1 ata hukumiwa kulingana na matendo yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeye mwenyewe ameona hapa Ni mahali sahii . Kila sehemu ambapo Kuna kutana watu Ni lazima wapenzi pamoja na wake wapatikane. Kwahiyo kuwa serious sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
Bc usimlaumu huwenda akujua yupo ktk group La MAHUSIANO kwa sababu gan au pia huwenda ana watoto wa kike weng nyumban alafu awaolewi anaishia kupokea mimba tu ndy asira zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…