Habari njema: Bei ya umeme kushuka kutoka Sh.600/= hadi Sh. 35/= kwa unit moja bwawa la Nyerere likikamilika

iyo ni ndoto ya mchana sio ndoto ya usiku kushuka kwa bei ya Umeme bongo labda Marehemu Magufuli arudi duniani aongoze tena sio rahisi kabisa kushuka kwa hiyo bei uliyotangaza.
 
Makato ya mwezi yamepanda hadi 2,000. Kazi iendelee. Serikali chini ya ccm has never been for wananchi, zaidi sana kuwaumiza na kodi, tozo kia siku.
Unamaanisha ile kodi ya majengo kwa sasa wanakata buku 2 ama?
 
 
 
iyo ni ndoto ya mchana sio ndoto ya usiku kushuka kwa bei ya Umeme bongo labda Marehemu Magufuli arudi duniani aongoze tena sio rahisi kabisa kushuka kwa hiyo bei uliyotangaza.
John alikuwa na nia njema sn taifa ila jamaa wakamrestisha ili wafaidi utamu wa keki..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…