Habari njema: Bei ya umeme kushuka kutoka Sh.600/= hadi Sh. 35/= kwa unit moja bwawa la Nyerere likikamilika

Habari njema: Bei ya umeme kushuka kutoka Sh.600/= hadi Sh. 35/= kwa unit moja bwawa la Nyerere likikamilika

Jamaa alikuwa na mipango mizuri

Ila ujinga wake wa kujifanya anajua kila kitu hapo ndo alipobugi
Jamaa abalikiwe sana alikuwa shujaa haswaa na alipenda kusaidia watu masikin hasa sisi ambao hatuna chochote

Abalikiwe sana

Ila tu alinikera sana alipoanza kunyamazisha wapinzan ambao hao wapinzan wao ndo walimfanya akae ikulu

Mbaya zaid kitendo cha kuua wapinzan wake ndo kiliniudh zaid
 
JPM alikuwa na mpango mzuri wa kushusha bei ya umeme kupitia bwawa ili kuiuza viwanda na uzalishaji na hatimae kuongeza ajira. Hawa wa sasa wanajikita kuuza nje ili pesa watie mfukoni, inauma sana..
 
Back
Top Bottom