Habari Njema: JF ina Jukwaa la kufichua maovu, Wafichuaji hawatajulikana

Habari Njema: JF ina Jukwaa la kufichua maovu, Wafichuaji hawatajulikana

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Screenshot_2023-11-26-13-13-22-1.png

Tunashukuru sana kwa kuongezewa eneo lingine la kuanikia uchafu .

======

Maxence Melo: JamiiForums Tumetengeneza "Jukwaa Maalum" la kusaidia wananchi kupaza sauti zao bila kuweka wazi utambulisho wao. Jukwaa hili linaitwa "Fichua Uovu"

Mwananchi yeyote anayetaka kutoa taarifa ya Uovu wowote, Matukio ya Rushwa au Uvunjwaji wa Haki za Binadamu anaweza kuandika kupitia #FichuaUovu bila kujulikana yeye ni nani


1701011207385.png
 
How far?
Maovu ni nini?
Nani anasema hili ovu na hili sio ovu?
Ni mapema sana kuzungumzia hilo swala
Wenye akili wanajua maovu na yasiyo maovu. Ukiacha mambo ya sheria ya criminal justice and to some extent civil justice ambayo ni technical, Guiding principle is this: Usichopenda kutendewa usimtendee mwenzako!....simple
 
Waovu wa kwanza Ni viongozi wakubwa serikalini kwa ufisadi wao lakini wakishafichuliwa Kama ambavyo inafanyika mara nyingi ni hatua gani zinachukuliwa dhidi yao?
 
Maovu ni yapi?

Hata usalama wa taifa wanafahamu mambo mengii, endapo hayahatarishi amani ya taifa wanapotezeaaa tuuu

Wekeni wazi taratibu, na kanuni la jukwaa husika, muhimu kufahamu b4 kufichua maovuu
 
How far?
Maovu ni nini?
Nani anasema hili ovu na hili sio ovu?
Ni mapema sana kuzungumzia hilo swala
I have been here since those tough and dark times from Jambo Forum to Jamii Forums.

Maovu mbalimbali yaliyowahi kuibuliwa humu kwa kumbukumbu zangu

1.Meremeta
2.Richmond
3.Aliyejiunganishia bomba la mafuta kutoka depot Kigamboni kule ..(hii mpaka waliombwa watu majina yao halisi ila hawakuwapata )

Ufisadi sana sana na mengine mengi yamevumbuliwa humu japo huoni tu kwa sasa kama yamepungua ila almost habari nyingi zimeibuliwa kutoka hapa na mapendekezo mengi serikali imeyachukua hapa nitakuweka link soon.


Tazama DOKEZO - Diwani Athuman kuondolewa TISS mwishoni mwa 2022. Mikutano ya Vyama vya Siasa kuruhusiwa

Thread 'Meremeta 00:00:00. EXTRA' Meremeta 00:00:00. EXTRA

Thread 'Kashfa ya Richmond: The FACTS' Kashfa ya Richmond: The FACTS

Huu wizi kwenye bomba la mafuta Kigamboni ni hatari | JamiiForums Huu wizi kwenye bomba la mafuta Kigamboni ni hatari


Thread 'Kashfa ya Richmond: Lowassa, Karamagi na Dr. Msabaha Wajiuzulu' Kashfa ya Richmond: Lowassa, Karamagi na Dr. Msabaha Wajiuzulu
 
Back
Top Bottom