Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usipeleke mimatusi yako huko😄😄😄Naomba mimi waniunge haraka sn kwenye hilo jukwaa
Uweke hapo kwenye jukwaa jipyaMbowe zile pesa za ruzuku alizojengea gorofa, nao ni uovu
lazima niuanike uovu wa MboweUweke hapo kwenye jukwaa jipya
Hii ingekuwa safi sana awamu ya Tano.
Tunashukuru sana kwa kuongezewa eneo lingine la kuanikia uchafu .
======
Maxence Melo: JamiiForums Tumetengeneza "Jukwaa Maalum" la kusaidia wananchi kupaza sauti zao bila kuweka wazi utambulisho wao. Jukwaa hili linaitwa "Fichua Uovu"
Mwananchi yeyote anayetaka kutoa taarifa ya Uovu wowote, Matukio ya Rushwa au Uvunjwaji wa Haki za Binadamu anaweza kuandika kupitia #FichuaUovu bila kujulikana yeye ni nani
Nyie polisi wa Tanzania ni weupe sanaHakuna technology hio duniani.
Mimi mtaalam wa php, javascript, AI, database with mysql, cyber security
Kwanini ?Hii ingekuwa safi sana awamu ya Tano.
Nadhani uwepo wa taarifa ni tofauti na kufahamika kwa taarifa.....nakazia
....ltena muda MUREFU kweli kweli!
Au aliiishiwa content huyu mleta taarifa?
Mkuu usihangaike na WajingaNadhani uwepo wa taarifa ni tofauti na kufahamika kwa taarifa.
Mfano taarifa za habari zipo kila siku, lakini kuna ambao hawazifahamu wanazipata kwa utaratibu kama alioufanya mleta mada.
Watanzania bhana daah! Kaazi kweli kweli.
Haujapendezwa na kitendo cha mleta mada kufahamisha wengi kuhusiana na taarifa hii?
Haijalishi. Bandiko kuu lishabadilishwa, hapo ndipo ungeelewa nilimaanisha nini. Itoshe mimi kusema "mleta taarifa " haikuwa na maana ya "Taarifa" per se.Nadhani uwepo wa taarifa ni tofauti na kufahamika kwa taarifa.
Mfano taarifa za habari zipo kila siku, lakini kuna ambao hawazifahamu wanazipata kwa utaratibu kama alioufanya mleta mada.
Watanzania bhana daah! Kaazi kweli kweli.
Haujapendezwa na kitendo cha mleta mada kufahamisha wengi kuhusiana na taarifa hii?
Umeishiwa wewe huna Content unaleta mambo ya hamaki...Itoshe wewe ni Mzushi, kibaraka na wakala wa makaburu unaejinasibu kuwa ni Mwana CHADEMA....mtoa taarifa tu!Mkuu usihangaike na Wajinga
Mmmh !!Hawajulikani kweli?