KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Jaribu babu...😂Hawajulikani kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jaribu babu...😂Hawajulikani kweli?
Mimi ni mtaalam wa COMPUTER lkn hicho sijakiona kama hata mmiliki asijueKabisa , na kwamba hata jf yenyewe haitawajua
Kuna kitu kinaitwa investigation sio polisi bali private investigators. Sidhani kama JF wataanika tu kila litakaloandikwa, watafanya uchunguzi before hawajaweka kwa public.How far?
Maovu ni nini?
Nani anasema hili ovu na hili sio ovu?
Ni mapema sana kuzungumzia hilo swala
Huna utaalam wowoteMimi ni mtaalam wa COMPUTER lkn hicho sijakiona kama hata mmiliki asijue
Hakuna technology hio duniani.Huna utaalam wowote
KusamehewaWaovu wa kwanza Ni viongozi wakubwa serikalini kwa ufisadi wao lakini wakishafichuliwa Kama ambavyo inafanyika mara nyingi ni hatua gani zinachukuliwa dhidi yao?
Au cyo developerHakuna technology hio duniani.
Mimi mtaalam wa php, javascript, AI, database with mysql, cyber security
Uliza swala lolote kuhusu ITAu cyo developer
HayaKuna uovu wa Chadema nataka niufichue wasije kunikataa tu kujiunga.
Mi mwenyewe nimesoma ITUliza swala lolote kuhusu IT
Basi, washarakabisha bandiko ati.Basi haya
How far?
Maovu ni nini?
Nani anasema hili ovu na hili sio ovu?
Ni mapema sana kuzungumzia hilo swala
Kuna uovu wa Chadema nataka niufichue wasije kunikataa tu kujiunga.
Mbowe zile pesa za ruzuku alizojengea gorofa, nao ni uovuKuunganishwa na Polisi kwani wao hawataanikwa kwa uovu ?