Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kabisa , na kwamba hata jf yenyewe haitawajuaHawajulikani kweli?
Wenye akili wanajua maovu na yasiyo maovu. Ukiacha mambo ya sheria ya criminal justice and to some extent civil justice ambayo ni technical, Guiding principle is this: Usichopenda kutendewa usimtendee mwenzako!....simpleHow far?
Maovu ni nini?
Nani anasema hili ovu na hili sio ovu?
Ni mapema sana kuzungumzia hilo swala
Duh. Sasa unatuhabarisha au?View attachment 2825806
Tunashukuru sana kwa kuongezewa eneo lingine la kuanikia uchafu .
....nakaziaMbona lipo muda mrefu tuu
Hilo dawati liunganishwe na Polisi, ila whistle blowers wasipelekwe kuonana na PolisiView attachment 2825806
Tunashukuru sana kwa kuongezewa eneo lingine la kuanikia uchafu .
Basi haya....nakazia
....ltena muda MUREFU kweli kweli!
Au aliiishiwa content huyu mleta taarifa?
Kuunganishwa na Polisi kwani wao hawataanikwa kwa uovu ?Hilo dawati liunganishwe na Polisi, ila whistle blowers wasipelekwe kuonana na Polisi
I have been here since those tough and dark times from Jambo Forum to Jamii Forums.How far?
Maovu ni nini?
Nani anasema hili ovu na hili sio ovu?
Ni mapema sana kuzungumzia hilo swala