Habari yenu Mimi ni kijana wa kitanzania elimu yangu kidato Cha nne ni mwalimu wa primary ngazi ya cheti bado sijaajiriwa serikalini

Habari yenu Mimi ni kijana wa kitanzania elimu yangu kidato Cha nne ni mwalimu wa primary ngazi ya cheti bado sijaajiriwa serikalini

Joined
Jan 26, 2025
Posts
23
Reaction score
44
Naishi Dar es salaam nimewahi kufanya kazi kwenye shule za private ili nilishndwa kuendlea kufanya kazi sabbu shule ambazo nilibahatika kufanya kazi hawalipi mishahara Kwa wakati unaweza kukaa hata miezi mitatu hujalipwa hivyo naombeni mnisaidie connection ya kazi yoyote ambayo itaniingizia kipato ili niendeshe maisha yangu pia nauzoefu wa kufanya kazi kwenye makampuni mbalimbali nchini kama ya usafirishaji pia ni kijana mwaminifu mwenye kujituma .
 
Naishi Dar es salaam nimewahi kufanya kazi kwenye shule za private ili nilishndwa kuendlea kufanya kazi sabbu shule ambazo nilibahatika kufanya kazi hawalipi mishahara Kwa wakati unaweza kukaa hata miezi mitatu hujalipwa hivyo naombeni mnisaidie connection ya kazi yoyote ambayo itaniingizia kipato ili niendeshe maisha yangu pia nauzoefu wa kufanya kazi kwenye makampuni mbalimbali nchini kama ya usafirishaji pia ni kijana mwaminifu mwenye kujituma .
Tuombe kheri utapata ajira.
NB;Rekebisha uandishi wako.Maelezo mengi namna hiyo umetumia sentensi moja na bila kuwa na kanuni kiuandishi?Teacher vipi?
 
Naishi Dar es salaam nimewahi kufanya kazi kwenye shule za private ili nilishndwa kuendlea kufanya kazi sabbu shule ambazo nilibahatika kufanya kazi hawalipi mishahara Kwa wakati unaweza kukaa hata miezi mitatu hujalipwa hivyo naombeni mnisaidie connection ya kazi yoyote ambayo itaniingizia kipato ili niendeshe maisha yangu pia nauzoefu wa kufanya kazi kwenye makampuni mbalimbali nchini kama ya usafirishaji pia ni kijana mwaminifu mwenye kujituma .
Pambana na hali yako.
 
Back
Top Bottom