juma athuman mbunda
Member
- Jan 26, 2025
- 23
- 44
Tuombe kheri utapata ajira.Naishi Dar es salaam nimewahi kufanya kazi kwenye shule za private ili nilishndwa kuendlea kufanya kazi sabbu shule ambazo nilibahatika kufanya kazi hawalipi mishahara Kwa wakati unaweza kukaa hata miezi mitatu hujalipwa hivyo naombeni mnisaidie connection ya kazi yoyote ambayo itaniingizia kipato ili niendeshe maisha yangu pia nauzoefu wa kufanya kazi kwenye makampuni mbalimbali nchini kama ya usafirishaji pia ni kijana mwaminifu mwenye kujituma .
🙌🙌Tuombe kheri utapata ajira.
NB;Rekebisha uandishi wako.Maelezo mengi namna hiyo umetumia sentensi moja na bila kuwa na kanuni kiuandishi?Teacher vipi?
Daaaah jamiii forums wadau mnaniuaTuombe kheri utapata ajira.
NB;Rekebisha uandishi wako.Maelezo mengi namna hiyo umetumia sentensi moja na bila kuwa na kanuni kiuandishi?Teacher vipi?
Nikiandka Kwa kifupi Kuna wadau wananiambia nijieleze vizuri wasifu wangu sawa nitarekebisha
Hufi.Unawekwa sawa na kukumbushwa umakini.Usikonde.Daaaah jamiii forums wadau mnaniua
Sawa nimekusoma BroHufi.Unawekwa sawa na kukumbushwa umakini.Usikonde.
@Mad Max achelewi kuja na solution za AI hapaMad Max kijana uyu mpe mchongo
Alivyokujibu inaonesha jamaa ni mkongwe humu na anaijua vizuri kamati ya roho mbaya ya jf🤣Hufi.Unawekwa sawa na kukumbushwa umakini.Usikonde.
Angekula makwenzi mpaka akohoe kilugha.Alivyokujibu inaonesha jamaa ni mkongwe humu na anaijua vizuri kamati ya roho mbaya ya jf🤣
Ndyo ninachoUna CHETI cha ualimu nimuunganishe na mkuu wa shule karagwe?
Pambana na hali yako.Naishi Dar es salaam nimewahi kufanya kazi kwenye shule za private ili nilishndwa kuendlea kufanya kazi sabbu shule ambazo nilibahatika kufanya kazi hawalipi mishahara Kwa wakati unaweza kukaa hata miezi mitatu hujalipwa hivyo naombeni mnisaidie connection ya kazi yoyote ambayo itaniingizia kipato ili niendeshe maisha yangu pia nauzoefu wa kufanya kazi kwenye makampuni mbalimbali nchini kama ya usafirishaji pia ni kijana mwaminifu mwenye kujituma .
Hufi.Unawekwa sawa na kukumbushwa umakini.Usikonde❌Hufi.Unawekwa sawa na kukumbushwa umakini.Usikonde.
akiziftwat zinamtoa@Mad Max achelewi kuja na solution za AI hapa
Sio uandike kwa kifupi ila at least uwe na hata sentensi tatu,sasa maelezo yote hayo umeyaweka kwenye sentensi mojaNikiandka Kwa kifupi Kuna wadau wananiambia nijieleze vizuri wasifu wangu sawa nitarekebisha
Kwanini usiende PM kwake?Weka namba nikupgie