Tetesi: Habari zaanza kuvuja kuhusu zilikoenda Trilioni 1.5 "zilizopotea"

Haya mambo walitakiwa wapate majibu kabla hawajawasirisha ripoti kwa wanachi. Walichokifanya utadhani ni waajiriwa wapya au hawana uzoefu na shughuli za serikali. Wanasema CAG aliwasilisha ripoti kwa rais na imekaa kwa muda wa siku 21 kabla ya kuwasirishwa bungeni. Kwa muda wote huo wangetafuta majibu ya kuridhisha kabla ya kujidhalilisha kiasi hicho.
 

Attachments

  • IMG-20180510-WA0010.jpg
    20 KB · Views: 32
Kumbe ni TETESI basi endelea na tetesi zako!!
 
Mkuu, tena umenikumbusha! Habari zilizopo zinasema pia kwamba pia kumekuwa na matumizi makubwa ya fedha kwa ajili ya mambo ya kishirikina, kutia ndani waganga wa kienyeji. Nimeona nikiweka hata hilo watu watadhani ni porojo! Lakini huo ndio ukweli!
Nasikia kila tarehe 15 ya kila mwezi waganga maarufu chini ya Bashite huenda Ikulu kufanya yao... Bashite ndio mtu aliyemtafutia hao waganga JIWE... Ndio maana Bashite na Jiwe ni kama chanda na Pete
 


Nanadhani hakujua km kuna kitu kinaitwa ukaguzi

Nauliza tuu hivi ule uwanja umeshakuwa tayari?
 

Kumbe zilichukuliwa ndani ya miezi miwili. Report haikusema haya wala hakuna mtu mwingine aliyewahi kusema haya. Hivyo unaelekea kuna kitu unajua, hebu funguka tusikie
 
Huo ni uongo! Ni ajira kiasi gani zimetengenezwa za kugharimu 1.5T Tzs hata kama mmenunua vifaa??? Wafanyakazi wote wa Umma wanalipwa fedha kiasi gani? Hapa mnajaribu kutengeneza mwelekeo mpya wa upepo.
 
Jana walikuja morogoro machinjioni walikusanya kama milion sita!
 

unajua one point five Wewe?
 
Ha ha haaaaaa,, wizi umehamishiwa JWTZ atakayehoji ajue anahoji kifaru cha jeshi!!
 
Hizi ni propaganda za kuwadanganya watanzania, ccm imekula hio hela kwa ajili ya uchaguzi mikuu 2020
 

Sawa sawa. Lakini mimi nawasubiri hawa wafuatao watuletee habari kamili ambayo imethibitishwa:

1. Evarist Chahali

2. Mzee wa "Sauti Kubwa" kipaza sauti cha yasiyoweza kuandikwa, Ansbert Ngurumo.

Nina hakika, wako "chimbo" na amini msiamini watakuja mpaka na majina ya benki ziwe za nje ama ndani na A/C No walikoficha hizo pesa za walala hoi, Watanzania!!

Namtahadharisha Gavana wa BoT wa wakati ule (2015 - 2017), akae mkao wa kuishi maisha ya ki - Daudi Balali tuliyeambiwa "alikufa" lakini mpaka leo hielweki kaburi lake liko wapi....!!

Tanzania ya leo inaongozwa na "mumiani", acheni kabisa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…