Kama ni mtafuta habari, read as widely as possible ili upate uwezo wa kuchuja real news na fake news! Mleta mada kabeba hearsay asizoweza kuzicredit popote isipokuwa watu wasiotaka kujitambilisha!Tuko Malawi au Tanznania?
Kuna wakati Mkulu hakubali kuandaliwa kiti au chakula akiwa ziara! Huenda pia waganga walisema epuka kupanda ndege!Nasikia kila tarehe 15 ya kila mwezi waganga maarufu chini ya Bashite huenda Ikulu kufanya yao... Bashite ndio mtu aliyemtafutia hao waganga JIWE... Ndio maana Bashite na Jiwe ni kama chanda na Pete
Mkuu, unataka tuseme hizi habari nani katoa ndio uamini? Na for as long as hautuweki ushahidi wa kimaandishi hapa basi tunapaswa kuziita tetesi. Kama ungekuwa wewe ndio umetoa hizi habari ungetaka niweke jina lako ili watu waziamini? Kubali kwamba nimesema habari kutoka chanzo cha kuaminika, japo tumezipa kichwa cha tetesi. Uliza wewe kama una ndugu kwenye system labda watakuthibitishia.Kama ni mtafuta habari, read as widely as possible ili upate uwezo wa kuchuja real news na fake news! Mleta mada kabeba hearsay asizoweza kuzicredit popote isipokuwa watu wasiotaka kujitambilisha!
Kuna watu kila mkiandika kitu manadhihirisha ukihiyo wenu. Hivi unajua gharama za operaesheni na intelijensia na usalama wewe? Ni pamoja na kuchoma moto Nissan Patrol mpya ikiwa inaweza kuhatarisha kutambuliwa kwa field agents. Angalau kaangalie picha za James Bond uone mabo ya usalama na intelijensia yanagharama kiasi gani. Wewe unafikiri gharama za intelijensia ni mishahara tu? Kweli unapaswa kuhurumiwa.Huo ni uongo! Ni ajira kiasi gani zimetengenezwa za kugharimu 1.5T Tzs hata kama mmenunua vifaa??? Wafanyakazi wote wa Umma wanalipwa fedha kiasi gani? Hapa mnajaribu kutengeneza mwelekeo mpya wa upepo.
Unajua gharama ya intelijensia wewe?unajua one point five Wewe?
vyanzo vipi mkuu !naona ramli chonganishi katika ubora wakeHabari kutoka vyanzo vinavyoaminika zimekuwa zikititirika juu ya ukweli kuhusu zilikoenda zile Trilion 1.5 ambazo zilionekana kama zimeyeyuka hewani, na kutolewa maelezo yasiyoridhisha na serikali.
Habari zilizopo ni kwamba sehemu kubwa ya fedha hizo zilipelekwa katika matumizi ambayo mamlaka toka juu iliamua yasiwekwe wazi, na kikubwa cha matumizi hayo yakiwa ni mambo ya ki intelijensia/usalama. Habari zimezidi kuanisha kwamba kwa mara ya kwanza toka nchi hii ipate uhuru, kumekuwa na matumizi ya kutisha katika idara zote zote za serikali zinazohusiana na mambo ya usalama zaidi sana ya fedha wanazokuwa wakitengewa.
Pia kumekuwa na ajira nyingi zisizofuata utaratibu na kuanzishwa kwa vitengo ndani ya vitengo ambavyo vingi sio rasmi na hivyo matumizi ya fedha za vitengo hivyo hayawezi kuwekwa wazi. Watu wengi wemeajiriwa katika idara hizi zisizo rasmi katika mazingira ya kibinafsi na maagizo kutoka juu badala ya kufuata taratibu rasmi za serikali, na wamekuwa wakitengewa fedha kwa ajili ya "kazi" zao.
Habari zimezidi kudai kwamba hata wakati wa awamu ya Nyerere ambapo kulikuwa na kiwango cha juu cha mambo ya intelijensia na usalama kutokana na Tanzania kuwa kitovu cha mambo ya ukombozi wa nchi za Afrika hatukufikia matumizi ya kiasi hiki. Mbaya zaidi mengi ni matumizi ambayo hayajainishwa na kufuata tarataibu za matumizi ya fedha za serikali, na hayawezi kuhojiwa na mtu yeyote wala kukaguliwa hata na CAG. Habari zimesema kuwa ni kama kwa sasa kuna "obsession" ya mambo ya usalama na intelijensia, na watu wanaotumikia katika sehemu hizi ambazo nyingine sio rasmi wamepewa uhuru wa kutumia fedha wanavyopenda.
Swali ni uhalali wa kutawala haujatoka kwa wapigakuraHabari kutoka vyanzo vinavyoaminika zimekuwa zikititirika juu ya ukweli kuhusu zilikoenda zile Trilion 1.5 ambazo zilionekana kama zimeyeyuka hewani, na kutolewa maelezo yasiyoridhisha na serikali.
Habari zilizopo ni kwamba sehemu kubwa ya fedha hizo zilipelekwa katika matumizi ambayo mamlaka toka juu iliamua yasiwekwe wazi, na kikubwa cha matumizi hayo yakiwa ni mambo ya ki intelijensia/usalama. Habari zimezidi kuanisha kwamba kwa mara ya kwanza toka nchi hii ipate uhuru, kumekuwa na matumizi ya kutisha katika idara zote zote za serikali zinazohusiana na mambo ya usalama zaidi sana ya fedha wanazokuwa wakitengewa.
Pia kumekuwa na ajira nyingi zisizofuata utaratibu na kuanzishwa kwa vitengo ndani ya vitengo ambavyo vingi sio rasmi na hivyo matumizi ya fedha za vitengo hivyo hayawezi kuwekwa wazi. Watu wengi wemeajiriwa katika idara hizi zisizo rasmi katika mazingira ya kibinafsi na maagizo kutoka juu badala ya kufuata taratibu rasmi za serikali, na wamekuwa wakitengewa fedha kwa ajili ya "kazi" zao.
Habari zimezidi kudai kwamba hata wakati wa awamu ya Nyerere ambapo kulikuwa na kiwango cha juu cha mambo ya intelijensia na usalama kutokana na Tanzania kuwa kitovu cha mambo ya ukombozi wa nchi za Afrika hatukufikia matumizi ya kiasi hiki. Mbaya zaidi mengi ni matumizi ambayo hayajainishwa na kufuata tarataibu za matumizi ya fedha za serikali, na hayawezi kuhojiwa na mtu yeyote wala kukaguliwa hata na CAG. Habari zimesema kuwa ni kama kwa sasa kuna "obsession" ya mambo ya usalama na intelijensia, na watu wanaotumikia katika sehemu hizi ambazo nyingine sio rasmi wamepewa uhuru wa kutumia fedha wanavyopenda.
Hahaha! Juzi hapa kuna watu walikuwa wanasifia watu wakomeshwee, wakajikuta wamekomeshwa na wao kunyimwa mikopo ya chuo kikuu kwa kuwa walisoma private. Leo wanamlaani Mkulu. Kwa hiyo na wewe zamu yako bado, patakuja tu pa kukukomesha. Tundu alishasema hakuna atakaekwepa kukomeshwa, usidhani wewe uko salama!Kama ni hivyo basi ni vizuri sana maana serikali ilibidi itulize ghasia na ujinga uliokithiri hapa nchini. Sina kinyongo hata kidogo na hizo hela, Mh. rais wakomeshe tu waropokaji.
Mkuu, hata huko huko ndani ya taasisi nyeti usidhani ni wote wanaofurahia haya mambo. Kina James Mbatia watakuambia wakati wa ule mgomo wa Mwinyi kutukanwa matusi ya nguoni chanzo kikuu cha habari za ndani za Mwinyi likuwa huko huko usalama!vyanzo vipi mkuu !naona ramli chonganishi katika ubora wake
Habari kutoka vyanzo vinavyoaminika zimekuwa zikititirika juu ya ukweli kuhusu zilikoenda zile Trilion 1.5 ambazo zilionekana kama zimeyeyuka hewani, na kutolewa maelezo yasiyoridhisha na serikali.
Habari zilizopo ni kwamba sehemu kubwa ya fedha hizo zilipelekwa katika matumizi ambayo mamlaka toka juu iliamua yasiwekwe wazi, na kikubwa cha matumizi hayo yakiwa ni mambo ya ki intelijensia/usalama. Habari zimezidi kuanisha kwamba kwa mara ya kwanza toka nchi hii ipate uhuru, kumekuwa na matumizi ya kutisha katika idara zote zote za serikali zinazohusiana na mambo ya usalama zaidi sana ya fedha wanazokuwa wakitengewa.
Pia kumekuwa na ajira nyingi zisizofuata utaratibu na kuanzishwa kwa vitengo ndani ya vitengo ambavyo vingi sio rasmi na hivyo matumizi ya fedha za vitengo hivyo hayawezi kuwekwa wazi. Watu wengi wemeajiriwa katika idara hizi zisizo rasmi katika mazingira ya kibinafsi na maagizo kutoka juu badala ya kufuata taratibu rasmi za serikali, na wamekuwa wakitengewa fedha kwa ajili ya "kazi" zao.
Habari zimezidi kudai kwamba hata wakati wa awamu ya Nyerere ambapo kulikuwa na kiwango cha juu cha mambo ya intelijensia na usalama kutokana na Tanzania kuwa kitovu cha mambo ya ukombozi wa nchi za Afrika hatukufikia matumizi ya kiasi hiki. Mbaya zaidi mengi ni matumizi ambayo hayajainishwa na kufuata tarataibu za matumizi ya fedha za serikali, na hayawezi kuhojiwa na mtu yeyote wala kukaguliwa hata na CAG. Habari zimesema kuwa ni kama kwa sasa kuna "obsession" ya mambo ya usalama na intelijensia, na watu wanaotumikia katika sehemu hizi ambazo nyingine sio rasmi wamepewa uhuru wa kutumia fedha wanavyopenda.
Umepanic.Unahasara wewe na nani!!
Unataka kuniambia nchi yetu ipo hatarini kuliko kipindi chochote kile cha uhuru?Unajua gharama ya intelijensia wewe?
Hahahaha! Nasikia kuna kivuko fulani kibovu kilinunuliwa kwa mabilioni. Kilipokufa kabla ya kufanya kazi jeshi likapewa zawadi ili watu wasihojiπππHa ha haaaaaa,, wizi umehamishiwa JWTZ atakayehoji ajue anahoji kifaru cha jeshi!!
No, ninataka kukuambia nchi yetu kwa mara ya kwanza ina kiongozi ambaye yuko paranoid, haamini mtu, anaogopa kila kitu hata kivuli chake, na ndio maana haachi kuomba aombewe. Yuko tayari hata kusikiliza ramli za waganga wa kienyeji kuhusu usalama wake.Unataka kuniambia nchi yetu ipo hatarini kuliko kipindi chochote kile cha uhuru?
Maelezo yako ya mwanzo yalikuwa yana ingia akilini lakini ulipoanza kuingizia habari za usalama kusaidiwa na nchi jirani umeanza kupunguza uzito wa maelezo yako ya awali.Kama unashindwa kuona kwamba maelezo yalitengenezwa rasmi ili "uelewe na kuamini", basi wewe na wengine kama wewe ni watu wa kuhurumia sana. Jiulize kwa nini maelezo hayo hakupewa CAG, na kama alipewa kwa nini hakuyaweka kwenye ripoti yake. Licha ya hivyuo, habari zinasema sehemu kubwa ya zile Trilioni 1.5, sio zote.
Na kama ni kweli nchi ya jirani wanasaidia mambo ya usalama, ni rahisi sana kufikisha Trilioni 1.5.
na ww apoUnahasara wewe na nani!!