mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 7,074
- 5,486
Hahaha! Juzi hapa kuna watu walikuwa wanasifia watu wakomeshwee, wakajikuta wamekomeshwa na wao kunyimwa mikopo ya chuo kikuu kwa kuwa walisoma private. Leo wanamlaani Mkulu. Kwa hiyo na wewe zamu yako bado, patakuja tu pa kukukomesha. Tundu alishasema hakuna atakaekwepa kukomeshwa, usidhani wewe uko salama!
Na wewe unajiweka kwenye kundi la ma GT?Nikiangalia idadi ya pesa na utumbo wako haviingiliani kabisa,ni mbingu na ardhi,porojo hizi wataelewa mashabiki wako tu,sio ma GT.
Majibu ya naibu waziri wa fedha yalijitosheleza kabisa
Mfia chama utamwona tu tunazungumzia pesa za umma ambazo kila mwananchi ametozwa kodi awe na chama au asiwe na chama, hivi mm hapa nitaanzaje kuwauliza Wana fisiem kua hizo hela mmetumiaje? Wakati ni za chama chenu?Ukiulizwa hela za mabilioni Chadema inazopewa Kama ruzuku huwa zimetumikaje unatoa mimacho tu Kama mjusi aliyefiwa na mkwewe kwani huna ulijualo.Nenda kahoji huko kwanza
Kwa jinsi mhutu anavyojihami na anajua watu wanavyomchukia inawezekana kweli ameajiri na watu wake kutoka uhutuni kwa mishahara minono.Hivi ulishawahi kushika zaidi ya elfu 35?
Trillion 1.5 ikitolewa kwenye system kwa uchumi kama wa Tanzania nchi lazima ifilisike Ile pesa ya escrow isiyozidi hata billion 350 ilianza kuchotwa kuanzia enzi za mwinyi hii trillion 1.5 ndio ichukuliwe kwa miezi 2?
Huu utumbo mwingine kwamba hiyo pesa inalipia mshahara ya mambo ya Usalama ndio utaahira kabisa, wafanyakazi wote Tanzania nzima zaidi ya laki 5 wanalipwa mshahara hauzidi billion 500 kwa mwezi
Nyie mataahira mnadanganyana hapa wafanyakazi wanaoajiriwa kwa siri na pesa anazotoa Rais kwa wananchi ndio zimegharimu trillion 1.5
Lazima uwe maiti ndio uamini hii mavi
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Hii ndio hasara na matokeo ya Mkuu kutumia "[HASHTAG]#CHAARUSHA[/HASHTAG]"
Heee! Huyu ni msiba mwingine na ni janga kwa Taifa.Kama ni hivyo basi ni vizuri sana maana serikali ilibidi itulize ghasia na ujinga uliokithiri hapa nchini. Sina kinyongo hata kidogo na hizo hela, Mh. rais wakomeshe tu waropokaji.
Habari kutoka vyanzo vinavyoaminika zimekuwa zikititirika juu ya ukweli kuhusu zilikoenda zile Trilion 1.5 ambazo zilionekana kama zimeyeyuka hewani, na kutolewa maelezo yasiyoridhisha na serikali.
Habari zilizopo ni kwamba sehemu kubwa ya fedha hizo zilipelekwa katika matumizi ambayo mamlaka toka juu iliamua yasiwekwe wazi, na kikubwa cha matumizi hayo yakiwa ni mambo ya ki intelijensia/usalama. Habari zimezidi kuanisha kwamba kwa mara ya kwanza toka nchi hii ipate uhuru, kumekuwa na matumizi ya kutisha katika idara zote zote za serikali zinazohusiana na mambo ya usalama zaidi sana ya fedha wanazokuwa wakitengewa.
Pia kumekuwa na ajira nyingi zisizofuata utaratibu na kuanzishwa kwa vitengo ndani ya vitengo ambavyo vingi sio rasmi na hivyo matumizi ya fedha za vitengo hivyo hayawezi kuwekwa wazi. Watu wengi wemeajiriwa katika idara hizi zisizo rasmi katika mazingira ya kibinafsi na maagizo kutoka juu badala ya kufuata taratibu rasmi za serikali, na wamekuwa wakitengewa fedha kwa ajili ya "kazi" zao.
Habari zimezidi kudai kwamba hata wakati wa awamu ya Nyerere ambapo kulikuwa na kiwango cha juu cha mambo ya intelijensia na usalama kutokana na Tanzania kuwa kitovu cha mambo ya ukombozi wa nchi za Afrika hatukufikia matumizi ya kiasi hiki. Mbaya zaidi mengi ni matumizi ambayo hayajainishwa na kufuata tarataibu za matumizi ya fedha za serikali, na hayawezi kuhojiwa na mtu yeyote wala kukaguliwa hata na CAG. Habari zimesema kuwa ni kama kwa sasa kuna "obsession" ya mambo ya usalama na intelijensia, na watu wanaotumikia katika sehemu hizi ambazo nyingine sio rasmi wamepewa uhuru wa kutumia fedha wanavyopenda.[/QUO
kwani nchi inakabiliwa na tishio gani LA kiusalama?
Pesa nyingi alipewa Naibu Rais ndugu Maliyamungu idd Amin Bashite ambaye anamiliki kikundi cha wasiojulikana na ambao wanajulikana sasa akina Cyprian Msiba, Le mutuz, Heri Kisanduku makapero, Jerry Muro, Lipumba na wengineo wasiojulikana, hicho kikundi chenye Tenda ya kudhoofisha upinzani na kuua CUF na chadema ili kurejesha mfumo wa chama kimoja kimekula pesa nyingi hakuna mfano, watanzania wakianza kudai pesa zao wajua wa kwanza kuwadai ni hao kisha wengineo wataendelea kuchunguza na kuwagundua taratibu baadae.Habari kutoka vyanzo vinavyoaminika zimekuwa zikititirika juu ya ukweli kuhusu zilikoenda zile Trilion 1.5 ambazo zilionekana kama zimeyeyuka hewani, na kutolewa maelezo yasiyoridhisha na serikali.
Habari zilizopo ni kwamba sehemu kubwa ya fedha hizo zilipelekwa katika matumizi ambayo mamlaka toka juu iliamua yasiwekwe wazi, na kikubwa cha matumizi hayo yakiwa ni mambo ya ki intelijensia/usalama. Habari zimezidi kuanisha kwamba kwa mara ya kwanza toka nchi hii ipate uhuru, kumekuwa na matumizi ya kutisha katika idara zote zote za serikali zinazohusiana na mambo ya usalama zaidi sana ya fedha wanazokuwa wakitengewa.
Pia kumekuwa na ajira nyingi zisizofuata utaratibu na kuanzishwa kwa vitengo ndani ya vitengo ambavyo vingi sio rasmi na hivyo matumizi ya fedha za vitengo hivyo hayawezi kuwekwa wazi. Watu wengi wemeajiriwa katika idara hizi zisizo rasmi katika mazingira ya kibinafsi na maagizo kutoka juu badala ya kufuata taratibu rasmi za serikali, na wamekuwa wakitengewa fedha kwa ajili ya "kazi" zao.
Habari zimezidi kudai kwamba hata wakati wa awamu ya Nyerere ambapo kulikuwa na kiwango cha juu cha mambo ya intelijensia na usalama kutokana na Tanzania kuwa kitovu cha mambo ya ukombozi wa nchi za Afrika hatukufikia matumizi ya kiasi hiki. Mbaya zaidi mengi ni matumizi ambayo hayajainishwa na kufuata tarataibu za matumizi ya fedha za serikali, na hayawezi kuhojiwa na mtu yeyote wala kukaguliwa hata na CAG. Habari zimesema kuwa ni kama kwa sasa kuna "obsession" ya mambo ya usalama na intelijensia, na watu wanaotumikia katika sehemu hizi ambazo nyingine sio rasmi wamepewa uhuru wa kutumia fedha wanavyopenda.
Naibu Rais ndugu Maliyamungu idd Amin Bashite ndiyo anatafuna pesa nyingi kutoka humo Trillion 1.5 kwa kazi ya kudidimiza chadema na kudhoofisha upinzani kwa ujumla.Mfia chama utamwona tu tunazungumzia pesa za umma ambazo kila mwananchi ametozwa kodi awe na chama au asiwe na chama, hivi mm hapa nitaanzaje kuwauliza Wana fisiem kua hizo hela mmetumiaje? Wakati ni za chama chenu?