Hivi ulishawahi kushika zaidi ya elfu 35?
Trillion 1.5 ikitolewa kwenye system kwa uchumi kama wa Tanzania nchi lazima ifilisike Ile pesa ya escrow isiyozidi hata billion 350 ilianza kuchotwa kuanzia enzi za mwinyi hii trillion 1.5 ndio ichukuliwe kwa miezi 2?
Huu utumbo mwingine kwamba hiyo pesa inalipia mshahara ya mambo ya Usalama ndio utaahira kabisa, wafanyakazi wote Tanzania nzima zaidi ya laki 5 wanalipwa mshahara hauzidi billion 500 kwa mwezi
Nyie mataahira mnadanganyana hapa wafanyakazi wanaoajiriwa kwa siri na pesa anazotoa Rais kwa wananchi ndio zimegharimu trillion 1.5
Lazima uwe maiti ndio uamini hii mavi
Mkuu uko sahii. Tatizo ninalo liona ni kwamba mtoa hoja na wachangia hoja hii wote humu, kwanza nahisi hawajakiona chuo na pili hata kama wamekiona basi sio watu ambao wana affinity kubwa na mahesabu.
Eti kweli mtu ambaye ana akili timamu ana amini kuwa 1.5 Trilion zimetumika kwa ajili ya usalama na intelligensia? Swali hapa linakuja wako wangapi? Na wanaweza wakatumia kiasi chochote wanachotaka kwenye nini?
[emoji3][emoji3][emoji3] Hicho kichekesho akamweleze shangazi yake. Hapo hata kuku watacheka.
Nchini Tanazania ina onekana mijitu iko iko tu. Mishipa mbele kichwani ni Zero. Mtu unashindwa hata kujiuliza mahesba ya relations ambayo yako katika topic ya Algebra? Na algebra iko hata shule ya msingi?Je tukienda kwenye mahesabu ya transcendent si ndiyo wanapotea kabisa? Kwenye ma-tangens hyperbolicus na differential equations zake na matumizi yake kwenye mambo kama contral system of may be a medium flow like water or air. Ukizingatia compresibility ya air na viscosity of the medium in a versel kama bomba na kadhalika. Any way, tuachane na hayo. Nilikuwa nachomekea tu kama Magufuli anavyosema.
Wanaume wazima kuongea mambo ya kanga kama wanawake vile. Hata haibu hawana. Hii nchi ndiyo Rais Magufuli anataka kuifanya iwe nchi ya viwanda. Ataimba sana! Itawezekana vipi kuwa nchi ya viwanda wakati hata discussion ya utaalam na wala business kwa vijana hakuna? Vijana ambao wako vyuoni na pengine kumaliza vyuo wana thubutu kuongelea nani humu amepata likes nyingi! It is absurd!
Nafikiri Rais Magufuli ana ota njozi za mchana. Nchi ya viwanda iko tu kwenye mawazo yake labda! Lakini sio kwenye mawazo ya watanzania. Watanzania hawako huko. Wako kwenye kusubiri viwanda vije lakini sio kwamba wao wenyewe ndiyo wahusika wakubwa wa kuvianzisha hivyo viwanda. Feelings hizo hazimo kwa watanzania. Asahau kabisa. Na atupilie mbali wazo hilo.
Rais atafanya makosa makubwa kuwalinganisha watanzania na wachina. Wachina wana discipline ya kazi. Walikwisha kuwa drilled toka enzi za Mao Zedong, lakini sio sisi. Hatujaandaliwa hivyo. Sisi tume andaliwa kupokea ambacho baba anatuletea na sio kutafuta. Sisi ni watu wa kusimama kando kando ya barabara na kushangilia baba wa taifa anavyo pita na kutegemea neema kutoka kwake.
Rais Magufuli atapita atasima atayasikiliza matatizo yetu na kujaribu kutatua matatizo ya mtu mmoja mmoja na mengi yao kuhusu dhulma ya mahakama na kadhalika. Ataondoka na kuendelea na safari yake.
Hivyo ndivyo Rais ana waandaa wananchi wake waje kuwa wajasiliamali na watu wenye vision na innovation ya kufungua viwanda Tanzania. Safi sana!