Zipo tumboni mwa Le mutuz na wenzake huko mitaani mkiwaona muwadai pesa zote ili iwe fundisho kwa wengineZimepelekwa jeshini kama meli ya bagamoyo,
Wenye lengo la kutafuna pesa za Umma kwa visingizio vya ajabu na hovyo hovyo kama vyao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zipo tumboni mwa Le mutuz na wenzake huko mitaani mkiwaona muwadai pesa zote ili iwe fundisho kwa wengineZimepelekwa jeshini kama meli ya bagamoyo,
Pesa nyingi inapigwa na Naibu Rais Maliyamungu Bashite na kikundi chake cha Akina Le mutuz, Jerry muro, Lipumba, Cyprian Msiba , Heri Kisanduku makapero na wenzao wasiojulikana, ukiwaona huko mitaani hata kwenye Bar au club wadai pesa zako za kodi na pesa za Umma ni bora watanzania waanze kuwadai popote wanapowaona itasaidia waache kutafuna pesa za Umma kwa mambo ya hovyo hovyo yasiyo na tija kwa Taifa.Kwa jinsi mhutu anavyojihami na anajua watu wanavyomchukia inawezekana kweli ameajiri na watu wake kutoka uhutuni kwa mishahara minono.
Mkuu uko sahii. Tatizo ninalo liona ni kwamba mtoa hoja na wachangia hoja hii wote humu, kwanza nahisi hawajakiona chuo na pili hata kama wamekiona basi sio watu ambao wana affinity kubwa na mahesabu.Hivi ulishawahi kushika zaidi ya elfu 35?
Trillion 1.5 ikitolewa kwenye system kwa uchumi kama wa Tanzania nchi lazima ifilisike Ile pesa ya escrow isiyozidi hata billion 350 ilianza kuchotwa kuanzia enzi za mwinyi hii trillion 1.5 ndio ichukuliwe kwa miezi 2?
Huu utumbo mwingine kwamba hiyo pesa inalipia mshahara ya mambo ya Usalama ndio utaahira kabisa, wafanyakazi wote Tanzania nzima zaidi ya laki 5 wanalipwa mshahara hauzidi billion 500 kwa mwezi
Nyie mataahira mnadanganyana hapa wafanyakazi wanaoajiriwa kwa siri na pesa anazotoa Rais kwa wananchi ndio zimegharimu trillion 1.5
Lazima uwe maiti ndio uamini hii mavi
Wapinzani wataisoma namba, sasa nao ccm wanaisoma kama wengine.Kale kawimbo ketu kanaimbwaje
mbona hakuna kiambatanisho katika habari yako?Habari kutoka vyanzo vinavyoaminika zimekuwa zikititirika juu ya ukweli kuhusu zilikoenda zile Trilion 1.5 ambazo zilionekana kama zimeyeyuka hewani, na kutolewa maelezo yasiyoridhisha na serikali.
Habari zilizopo ni kwamba sehemu kubwa ya fedha hizo zilipelekwa katika matumizi ambayo mamlaka toka juu iliamua yasiwekwe wazi, na kikubwa cha matumizi hayo yakiwa ni mambo ya ki intelijensia/usalama. Habari zimezidi kuanisha kwamba kwa mara ya kwanza toka nchi hii ipate uhuru, kumekuwa na matumizi ya kutisha katika idara zote zote za serikali zinazohusiana na mambo ya usalama zaidi sana ya fedha wanazokuwa wakitengewa.
Pia kumekuwa na ajira nyingi zisizofuata utaratibu na kuanzishwa kwa vitengo ndani ya vitengo ambavyo vingi sio rasmi na hivyo matumizi ya fedha za vitengo hivyo hayawezi kuwekwa wazi. Watu wengi wemeajiriwa katika idara hizi zisizo rasmi katika mazingira ya kibinafsi na maagizo kutoka juu badala ya kufuata taratibu rasmi za serikali, na wamekuwa wakitengewa fedha kwa ajili ya "kazi" zao.
Habari zimezidi kudai kwamba hata wakati wa awamu ya Nyerere ambapo kulikuwa na kiwango cha juu cha mambo ya intelijensia na usalama kutokana na Tanzania kuwa kitovu cha mambo ya ukombozi wa nchi za Afrika hatukufikia matumizi ya kiasi hiki. Mbaya zaidi mengi ni matumizi ambayo hayajainishwa na kufuata tarataibu za matumizi ya fedha za serikali, na hayawezi kuhojiwa na mtu yeyote wala kukaguliwa hata na CAG. Habari zimesema kuwa ni kama kwa sasa kuna "obsession" ya mambo ya usalama na intelijensia, na watu wanaotumikia katika sehemu hizi ambazo nyingine sio rasmi wamepewa uhuru wa kutumia fedha wanavyopenda.
Kwani kuna sehem CAG hiyo 1.5 kahoji?ktk hoja Zilizoorodheshwa na CAG hiyo ya 1.5 ipo page namba ngap?Hiyo ya 1.5 ni hoja zenu nyinyi sio CAG.Kama unashindwa kuona kwamba maelezo yalitengenezwa rasmi ili "uelewe na kuamini", basi wewe na wengine kama wewe ni watu wa kuhurumia sana. Jiulize kwa nini maelezo hayo hakupewa CAG, na kama alipewa kwa nini hakuyaweka kwenye ripoti yake. Licha ya hivyuo, habari zinasema sehemu kubwa ya zile Trilioni 1.5, sio zote.
Na kama ni kweli nchi ya jirani wanasaidia mambo ya usalama, ni rahisi sana kufikisha Trilioni 1.5.
Kwahiyo majibu ya NW fedha majibu yake hukuyaelewa?au unataka majibu ya kuendana na fikra zakoInaweza kuwa kweli lkn unatakiwa ujue matumizi yoote ya Usalama huwa yako chini ya Ofisi ya rais na hesabu zake zinapaswa kuwa huko hili siwezi kuliamini inapaswa waseme ukweli hizo 1.5 Trilion wamepeleka wapi
ETI cag KUNA 1.5 ZIMEIBIWA?Mie sio mtaalam ila kwa vyovyote vile, uwajibikaji kwenye hii 1.5 T hauwezi kukwepeka. Hapo kuna mawili, CAG ametudanganya (hajui kazi yake) au serikali wanaficha kitu.
Kama manunuzi ya ndege na matumizi mengine hayakupitishwa na bunge, unategemea repoti itakuwa sawa?
Kwa vyovyote vile. Kuna upande inabidi utoe maelezo. Hii ya kusingizia vyombo vya usalama itazima mjadala kirahisi sana. Ni kama ilivyotokea ile boat ya kwenda Bagamoyo, hairuhusiwi kujadili.
Nyie endeleeni tu kupiga domo si mlishatufanya sisi watz mazwazwa siku yenu yajaKwahiyo majibu ya NW fedha majibu yake hukuyaelewa?au unataka majibu ya kuendana na fikra zako
Mmepewa majibu bado mnaendelea kuhoji hela ziko wapi mara propaganda kibao.Basi tuambieni nyinyi ziko wapi?Hakuna CAG Alipohoji hicho kitu lkn nyinyi mnaforce iwe agenda licha ya kupewa majibu.Nyie endeleeni tu kupiga domo si mlishatufanya sisi watz mazwazwa siku yenu yaja
Nakwambia hivi siku yenu yajaMmepewa majibu bado mnaendelea kuhoji hela ziko wapi mara propaganda kibao.Basi tuambieni nyinyi ziko wapi?Hakuna CAG Alipohoji hicho kitu lkn nyinyi mnaforce iwe agenda licha ya kupewa majibu.
Hao wote ni vichwa maji hawaelewi hata nchi inaendaje kwa ss wamebakisha ushabiki mandazi
ETI cag KUNA 1.5 ZIMEIBIWA?
HAPANA MKUU