Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Unaambiwa kinaganaga kwamba kuna balaa inaendelea China,unasema,"Ah,hao Wahindi. Usiwaamini Wahindi."
Hizi nadhani ndizo habari alizokuwa anatabiri yule Mbunge wa Ujerumani, alikuwa anaongea Bungeni, anasema,wiki ijayo, tarehe 24, September,litatokea jambo,kila mtu atakumbuka alikuwa wapi siku hiyo,anafanya nini.
Hizi nadhani ndizo habari alizokuwa anatabiri yule Mbunge wa Ujerumani, alikuwa anaongea Bungeni, anasema,wiki ijayo, tarehe 24, September,litatokea jambo,kila mtu atakumbuka alikuwa wapi siku hiyo,anafanya nini.