Tetesi: Habari zakutisha, Marais wawili wa mataifa makubwa kiuchumi hawajulikani walipo ila mmoja inasemekana kapinduliwa

Unaambiwa kinaganaga kwamba kuna balaa inaendelea China,unasema,"Ah,hao Wahindi. Usiwaamini Wahindi."
Hizi nadhani ndizo habari alizokuwa anatabiri yule Mbunge wa Ujerumani, alikuwa anaongea Bungeni, anasema,wiki ijayo, tarehe 24, September,litatokea jambo,kila mtu atakumbuka alikuwa wapi siku hiyo,anafanya nini.
 
Ramli za kichawi hizi. Umefaidika nn kuleta hizi fix hapa JF?
 
Usiku wa saa saba mwana ndoa wa kike kuwa JF tena wa umri kama wako ni walakin!

Au ni mlinzi wa mali?
😎😎😎 nilikuwa zamu, lindoni 🀣🀣
 
Simuombei mabaya ila viongozi wababe wababe MUNGU awaone.
 
Umeandika kama unakimbizwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…