Mr Chloramphenicol
Member
- Dec 22, 2023
- 20
- 21
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeh tutajenga kweliNot less than 50million and might be more
Acha uogaEeh tutajenga kweli
Duuu....mbona parefu?Not less than 50million and might be more
Kama una 5m upe pole kwanza mwili upate mzuka wa kutafuta 50mEeh tutajenga kweli
Kwahiyo nyumba milioni 50 inaweza isitoshe labda kama atatumia materials cheap sana. Kuezeka tu hiyo paa inaweza kwenda mil 15Kama una 5m upe pole kwanza mwili upate mzuka wa kutafuta 50m
🤣🤣Kweli kabisaKama una 5m upe pole kwanza mwili upate mzuka wa kutafuta 50m
Nyumba haina shida ila ndan imekatwakatwa SanaHii nyumba ni ya miaka ya vita ya Kagera!! Kanopi za zege?? Tafuta ramani inayoeleweka. Konakona kibao sizizo maana. Vyumba lukuki na havieleweki. Public Toilet imetazamana na dining room, jiko sijui ndo liko wapi??
Huu ni ujinga
Tupa kule
Kwahiyo nyumba milioni 50 inaweza isitoshe labda kama atatumia materials cheap sana. Kuezeka tu hiyo paa inaweza kwenda mil
View attachment 2963464Habarini wakuu hivi hii nyumba inaweza gharimu sh ngapi mpaka finishings? Je inachukua tofali ngapi? Na kwa msingi (foundation) inaweza gharimu sh ngapi (ufundi+building materials). Msaada jamani nimechoka kuishi upangajini. Mimi ni kijana mpambanaji nipo mjini daslam.
Ingekuwa hivyo waTanzania wengi wasingekuwa na majengo.........Eeh tutajenga kweli
Mkuu una uhakika na hizo hesabu? umejenga nyumba karibuni?Nyumba kama hiyo kuijenga katika kiwango cha kawaida kabisa ni 60m. Material yamepanda sana bei
Kaka umeongea ukweli mtupu,mwenye akili akusililize,nimetoka kwenye ujenzi karibuni,kila ulichoongea hapo ni ukweli,milion 50 kwa hiyo nyumba HUMALIZI.Huyu aliyekuambia 50 tena kakuonea aibu. Nyumba hii ni kubwa na finishing yake ni ya kisasa.
Hesabu za haraka haraka za finishing
Tiles kama nazoziona kibarazani ni imported = nyumba nzima utatumia kwenye 15m
Kuezeka bati grade safi = 15m
Madirisha ya aluminium = weka chini sana 5m
Milango nyumba nzima = weka 5m
Ukiweka AC (Mfano) , kila chumba na sebule = 7 to 9m
Tuseme nyumba from msingi ulisimamisha kwa 35m
Jumla ndogo: 47 + 35 = 82
Hiyo landscaping hapo nje, weka 5 to 15m (sijui ukubwa wa eneo husika)
Hapa hakuna plaster, skimming, wiring ya umeme, plumbing, vifaa vya maji, umeme n.k
(Nina uzoefu kwenye kusimamia miradi ya aina hii kwa mkoa wa Dar es Salaam, Tanzania).
Ni zaidi ya hapo inaweza kuchukua hata zaidi ya milioni 60 kutegemea na location mtu alipo maana bei za materials hutofautiana na malipo kwa mafundi pia hutofautiana.Duuu....mbona parefu?
Kazi nzuri Injinia, ila siafikiani nawewe kulala kwenye viti sebuleniChagua ramani tukujengeeView attachment 2965364View attachment 2965355View attachment 2965352View attachment 2965353View attachment 2965354View attachment 2965356View attachment 2965357View attachment 2965359View attachment 2965362View attachment 2965363View attachment 2965361View attachment 2965365
Na choo chenyewe hakina dirishaHii nyumba ni ya miaka ya vita ya Kagera!! Kanopi za zege?? Tafuta ramani inayoeleweka. Konakona kibao sizizo maana. Vyumba lukuki na havieleweki. Public Toilet imetazamana na dining room, jiko sijui ndo liko wapi??
Huu ni ujinga
Tupa kule