Habib Halahala: Mwandishi wa habari wa Rais Nyerere na Rais Mwinyi aliyefariki kifo kibaya

Habib Halahala: Mwandishi wa habari wa Rais Nyerere na Rais Mwinyi aliyefariki kifo kibaya

Weee!! mzee acha uongo!! japo ni kweli lkn tukio hilo halikuwa km unavyosema weye!!! ilikuwa hivi; wooote abiria akiwemo Rais na mkewe walikuwa wamesha shuka chini ya helikopita....

sasa yeye huyo mwandishi akataka kuchukua picha ya matukio flani ya tukio...........ameshikilia kamera yake kwa mbele hivi ......anarudi nyuma sasa ili apate focus nzuri!! kwa bahati mbaya sana

akawa amefikia usawa wa yale mapanga boi ya helikopita! yakamkata faster ... kumbuka ile helikopita haikuzima mpaka mwisho wa tukio!....

Mwinyi na Mama siti mwinyi walikuwa wanaangalia hilo tukio kwa msisimko mkubwa na picha ile ni hii hapa!! sasa swali km alikuwa wa kwanza kuteremka yeye Rais na Mkewe na wenginewe

walisisimuka vipi wkt bado wako ndani ya helikopita??
...Picha alipoga Mwingine Ajali ilipotokea. Kwa kawaida Msafata wa Raisi una Wapiga Picha Wengi TU wa Magazeti. Wengine wanakuwa wameishatangulia na magari hio sehemu na hawapandi Ile Helicopter....
 
Habib Halahala alichaguliwa kuwa mwandishi wa habari na mpiga picha wa Rais Nyerere mwishoni mwa utawala wa Rais Nyerere kwenye miaka ya 1980.

Ilipofika mwaka 1985, Mwl Nyerere aling'atuka ofisini kama Rais wa kwanza wa Tanzania mara baada ya takribani miongo miwili na robo madarakani.

Habib Halahala aliendelea na majukumu yake ya uandishi wa habari katika awamu ya pili ya Rais Ali Hassan Mwinyi. Moja ya sifa ya yeye kuendelea ni uchapaji wake kazi mzuri uliomvutia Rais Mwinyi.

Mwanzoni mwa miaka 1990, Nchi ikakumbwa na mafuriko makubwa sana na kusababishaathari kubwa sana kwa wananchi hasa kusini mwa Tanzania.

Ikabidi Rais Mwinyi afanye ziara kuangalia athari hizo huku akitumia ziara hiyo kama sehemu ya kuwafariji wananchi waliokumbwa na kadhia ya mafuriko.

Siku ya ziara ilipofika, Rais Mwinyi alitumia usafiri wa helikopta, kuelekea kusini mwa Tanzania, katika msafara huo alikuwepo pia ndugu Habib Halahala. Walipofika eneo la tukio, Helikopta ilipotua tu, miongoni mwa watu wa mwanzo kushuka ni Habib Halahala, aliwahi kushuka ili kupiga picha ya Rais akishuka kwenye helikopta hiyo.

Bahati mbaya wakati anashuka panga za helikopta bado zilikuwa zinazunguka kwa kasi, bila kujua Habib Halahala hakuinamisha kichwa lile panga la helikopta likapita nae kwenye shingo. Akafariki kifo kibaya cha maumivu makubwa sana.

Nimeona niilete leo jukwaani kwa faida ya kizazi hiki ambao wengi wao hawamfahamu wala hawakuwahi kusikia tukio hilo...wasalaaam

Pia soma - Nini chanzo cha kifo cha Habibu Halahala aliyekuwa mpiga picha wa Hayati Mwalimu Nyerere?

kwan kuna kifo kizuri???
 
...Picha alipoga Mwingine Ajali ilipotokea. Kwa kawaida Msafata wa Raisi una Wapiga Picha Wengi TU wa Magazeti. Wengine wanakuwa wameishatangulia na magari hio sehemu na hawapandi Ile Helicopter....
Panga liliohusika ni la mkiani hawezi kimbilia pale macho mbele wkt anaona hatari! na helikopta inaunguruma pia! siyo mjinga wa level hiyo!! Narudia tena alikuwa akirudi kinyume nyume wkt akitafuta ku focus picha vizuri!

hayo ya wengine hayahusiki,,,ktk hii!
 
Wengine wanakuwa wameishatangulia na magari
Hivi yale mafuriko unayajua au ulisimuliwa??? yaani miundo mbinu yooote ilikuwa chali! mbaya zaidi Madaraja ni usiombe kusimuliwa! kifupi hapakufikika km unavo dhania na

usafiri wa Mtwara kabla ya Mkapa kuwa Rais siyo km unavo dhania weye kijana mdogo hata kabla na baada ya mafuriko!! ilikuwa ivi sehemu ndogo tu hasa Bonde la rufiji/Nangurukuru mnaweza safiri mwezi .......

kifupi kwa mafuriko yale hawakuokota hata kipande cha lami!! njia pekee kufikika ilikuwa ni Helikopita! Na Delaya za ki-jeshi tuu!...uliza wamakonde wa kusini wazee wakwambie muziki wake!!

ilichukua miezi saba kukamilisha ile ishu yoote!! na mwinyi alikwenda immediately eneo la tukio! kwa kutumia hiyo!
 
Mkewe, amemkumbatia kifuani akiwa na yeye ana Mshituko Mkuu!
Acha bana wee!! kifuani kabisaaa kwa Mumewe!...sasa hadharani au........walijificha kidogo!...asa kilicho kusisimuawewe na ukadhania woote tulisismka pale ni nini? Mkuu? kati ya haya mawili??

bila shaka weye akili yako iliishia kwa hicho kitendo cha Sitti Mwinyi tu!....akakusissimua halafu!!!! lete uhondo...... jua kipindi kile Mama Sitti alikuwa mdogo
 
Weee!! mzee acha uongo!! japo ni kweli lkn tukio hilo halikuwa km unavyosema weye!!! ilikuwa hivi; wooote abiria akiwemo Rais na mkewe walikuwa wamesha shuka chini ya helikopita....

sasa yeye huyo mwandishi akataka kuchukua picha ya matukio flani ya tukio...........ameshikilia kamera yake kwa mbele hivi ......anarudi nyuma sasa ili apate focus nzuri!! kwa bahati mbaya sana

akawa amefikia usawa wa yale mapanga boi ya helikopita! yakamkata faster ... kumbuka ile helikopita haikuzima mpaka mwisho wa tukio!....

Mwinyi na Mama siti mwinyi walikuwa wanaangalia hilo tukio kwa msisimko mkubwa na picha ile ni hii hapa!! sasa swali km alikuwa wa kwanza kuteremka yeye Rais na Mkewe na wenginewe

walisisimuka vipi wkt bado wako ndani ya helikopita??
Enzo hizo rais alienda na mkewe kwenye mafuriko?
 
Enzo hizo rais alienda na mkewe kwenye mafuriko?
siyo mafuriko tu!! mpaka UNO Huko!! mzee alikuwa ana tinga wkt huo akiwa kijana kijana hivi!
 
Mmh! Nimepata shaka sana hapo kwenye Rais kukikamata kichwa na kupigwa nacho picha. (...?)


Msitutajie picha, tuonesheni picha!

"Tunataka na sisi tusisimke"
 
Back
Top Bottom