Habibu Anga: Yericko Nyerere ameniibia makala zangu Facebook huyu dogo ni mweupe na hana Elimu yoyote kama kama ilivyo kwa Mbowe

Kitabu kitawekwa faceboooku ?nenda basi kamnyanganye ward yake
 
Hata kile kitabu cha ujasusi wa kidola na kiuchumi, ukisoma vizuri utagundua makosa ya kiuandishi mengi tu. Ni kama alkua anakopi sentensi za kzungu kuja kiswahili sasa hzo tafsiri zenyewe ni kama unasoma lugha ngeni usioijua kabisa kumbe kiswahili.....lakini mbaka anauza vtabu mbaka viishe hawa walalamikaji walikua wapi??

Hivi vitabu ameuza sana hasa mitandaoni huko nadhani, kapiga hela sanaa tu huyu jamaa
 
Kwani Nifah asemaje kuhusu ili
 
Leo ndio mmejua Yericko ni kanjanja tu??
Mkuu kuropoka ndio strategy ya mtu wao kuupata uwenyekiti. Sasa jiulize, vitabu vya Yericko Nyerere toka ameanza kuvitangaza ni lini? Yeye Habib B. Anga ni plagiarist number Moja. Niliwahi kumwambia huko Jamii Intelligence akaniblock maana nilimwekea hadi makala alizokopi akijifanya zake!
 
Wakati anaanza hizi harakati alikuwa anacopy wikipedia. Nakumbuka niliwahi kuifuatilia makala moja nikafanya utafiti wangu nikagundua ni tafsiri ya kiswahili ya makala ya wiki pedia kuhusu uhasusi nadhani ilikuwa israel. Tangu siku hizo simzingatii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…