Basi kuwa Mpole. Sio kila mtu ana connection. Ndio maana hata Wananchi wa wanawakilishi bungeni..Sina interest ya kuleta humu ndani ila jua na access nyingi tu za kupata hizo information zilizochambuliwa kwa kina zaidi mnazoleta humu ndani kwa wadau.
Hakuna mtu aliyemzodoa zaidi ya watu kuhoji mbona amekuwa muongo kupitiliza. Maana baada ya kuleta simulizi yake (sehemu ya kwanza) alisema sehemu ya pili itatoka jumatatu lakni haikuwa hivyo. Angekuwa muungwana hata kama kapata dharula angekuja kutia neno kuliko kukaa kimya, ndio maana baadhi ya watu wamemjia juu kuhoji kulikoni.Sote Tupo hapa Jamiiforums kupashana habari/kufundishana/kujulishana na sio kuumbuana/kukomoana/kuzodoana
Ni simulizi unalalamika kama umepigwa moyo uankosa Mapigo ya Moyo. Uliza napataje muendelezo wa SimuliziHakuna mtu aliyemzodoa zaidi ya watu kuhoji mbona amekuwa muongo kupitiliza. Maana baada ya kuleta simulizi yake (sehemu ya kwanza) alisema sehemu ya pili itatoka jumatatu lakni haikuwa hivyo. Angekuwa muungwana hata kama kapata dharula angekuja kutia neno kuliko kukaa kimya, ndio maana baadhi ya watu wamemjia juu kuhoji kulikoni.
AminaShikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Ndugu zangu Watanzania huyu Habibu B. Anga (The Bold) Mungu ampe maisha marefu sana, afya njema pamoja na baraka tele. I sincerely appreciate his writings here on JF. I wish him all the best.
Ninapenda kutumia wasaa huu kutuma salama zangu za pongezi pamoja na heartfelt appreciation kwa ndugu yangu Habibu B. Anga kwa makala zake nzuri sana humu JF ambazo honestly nimekuwa nikijifunza mambo mengi sana mema na mazuri ambayo nilikuwa sijawahi kuyafahamu hapo kabla.
Mimi pia ni muandishi wa makala kule jukwaa la Jamii Intelligence ila Habibu B. Anga anajua sana kusimulia na kupangilia story zake. Kwa kweli ananikosha sana.
Mkuu, endelea kutupa ladha pasipo kuchoka.
Long live Habibu. Long live JamiiForums.
🙏🙏Amina
Kwa sisi wakristo tunasema Mungu ni mmoja ila anazo nafsi tatu. Ninaomba nisiingie zaidi katika mijadala ya kidiniSi ni mmoja, Yesu ndo Mungu na Mungu ndo yesu,au mimi naelewa tofauti?
Poa mkuu.kwa hayo machache nimekusoma.Kwa sisi wakristo tunasema Mungu ni mmoja ila anazo nafsi tatu. Ninaomba nisiingie zaidi katika mijadala ya kidini
Alaaa kumbe naota haya![emoji23][emoji23]
Kaangalie vizuri labda unaota wewe..
kaa kimya mkuu,unajiaibishaSina interest ya kuleta humu ndani ila jua na access nyingi tu za kupata hizo information zilizochambuliwa kwa kina zaidi mnazoleta humu ndani kwa wadau.
Najiabisha kwa lipi! Kwanza badili hiyo profile picture inatia kichefuchefukaa kimya mkuu,unajiaibisha
Ila nimekuhamu...😉Alaaa kumbe naota haya!
Hata mimiUmenishtua nikajua kafa aargh!
Sio mbembers wa kawaida unamaanisha nin mkuu?Jana nilisoma stori yake moja hivi. Ghafla nikatamani kuwa kama yeye. It is too late
The bold na zitto junior sio members wa kawaida
Anaehitaji soft copy ya Prisoner X aniambie maana naona jamaa ni bingwa wa kunakiri na kutafasiri kazi za watu na kuzileta humu ndani.
Baada ya wanazengo kugundua janja yake katokomea kusikojulikana na kuna kipindi alijinasibu ana taarifa nyeti za nchi kumbe janja janja tu hana lolote.
Ila ninachomkubali ni mzuri wa kucheza na google kupata taarifa zaidi ya matukio mbalimbali anazokuja kusimulia humu.
Hakika. Well said brotherNawewe nakiri then ucheze na Google halafu tutupie tupate madini sio mnapondaponda wakati nyinyi wenyewe hamna faida na JF.
Hahahaaaa Wewe zamu yako bado mzee baba. Kaza butiMkuu mbona Mimi haunishukuru? Bold anastahili heshima