Hachafuliki: Tunampenda Rais Dikteta na Kichaa Aliyefanya haya

Hachafuliki: Tunampenda Rais Dikteta na Kichaa Aliyefanya haya

Ili wananchi milioni 60 waweze kuishi kwa amani ni lazima wasiokuwa na upendo na nchi wafe. Uingereza ili prince Diana, kwa kuwa alitaka kuolewa na mwarabu
Waarabu walimua Mwandishi wa habari Kashoki kulinda Taifa Lao. Hivyo hakuna uongozi unaochekea upumbavu.
Okay, wewe unaangalia mambaya mbona husifii mazuri km SGR, Bwana la Umeme na miradi mingine ya kimkakati?
Malipo ni hapa hapa duniani. Hata yeye kanali fuvu tu shimoni huku kina Kiasi na Kabendera wakila ugali. Nadhani ungeuliwa mama yako usingekuwa humu kukenua

Wewe hutoshi kusifia mpaka utaka support yangu? Wewe umechagua kusifia mimi nitapakaza. Ni mgawanyo wa majukumu tu.
 
Hakuna raisi asiyemwaga damu, nitajie ni raisi yupi toka Nyerere hadi Samia hajawahi kumwaga damu za watu. Unadhani kuongoza nchi ni sawa na kuiongoza familia yako ya watu watano?
Akimwaga damu yako na kukuua kwa sababu hakuna rais asiyemwaga damu itakuwa sawa tu?

Au ni sawa kwa damu ya wenzako tu, yako si sawa?
 
1. Alikuta marais wenye akili wameua shirika la ndege, yeye akalifufua na kununua ndege 11 tena kwa cash. Huyu ni kichaa mzuri.
2. Alikuta wenye akili wameshindwa kuja na suluhu ya kudumu ya tatizo la umeme. Kichaa huyu akajenga Bwawa la Mwl Nyerere.
3. Alikuta maelfu ya watumishi hewa na matapeli waliokuwa na vyeti feki. Kichaa akawatembezea rungu, wakaanguka chalii.
4. Alikuta Reli yakati ikiwa hoi bin taaban baada ya marais wenye akili kushindwa kuiendesha. Kichaa akaanza kujenga reli ya SGR ili wenye akili wasafiri kwa raha.
5. Alikuta changamoto kubwa ya foleni Dar baada ya wenye akili kusema kuwa foleni ni kipimo cha maendeleo. Kichaa akajenga Kijazi, Mfugale na Tanzanite ili wenye akili wawahi kufika waendapo.
6. Alikuta wenye akili wanaendelea kuendesha serikali yenye ofisi Dar wakati makao makuu ni Dodoma. Kichaa akawahamishia wote Dodoma kwa lazima na kuanzisha ujenzi wa mji wa serikali.
7. Alikuta wenye akili wanatumia ikulu waliyojengewa na wakoloni, Kichaa akaamua kujenga ikulu mpya Chamwino tena ikajengwa na Wanajeshi wazalendo.
8. Alikuta huduma mbovu za Afya. Kichaa akajenga Hospitali kubwa za kanda Njombe, Mtwara, Mara na Geita + Hospitali za rufaa 67 na vituo vya Afya 1000+. Huyu kweli alikuwa chizi.
9. Alikuta watumishi wa Afya na Matajiri wanaishi kwa mazoea na kuwadharau raia wenye hali duni. Kichaa akafanya matajiri wawaogope na kuwaheshimu maskini vibaya mno.
10. Alikuta wenye akili wanatumia saa kadhaa toka Kigongo kwenda Busisi akawajengea daraja wapite fasta.
11. Alikuta tatizo kubwa sana la maji mkoani Arusha, akawajengea wajanga wa R chuga mradi wa bilioni 500 sahivi lema anaogelea tu huku anamtukana kichaa.
12. Alipanua bandari zote na kusisitiza kuwa tunaweza kutumia akili zetu kuziendesha kwa ufanisi lakini wenye akili wakasema sisi hatuwezi wakawapa waarabu na lile tapeli la India linalotafutwa na Marekani, yes lile lililofukuzwa hapo Kenya.

Hapo sijazungumzia barabara, meli n.k
Tunamhitaji sana kichaa wa kutuletea maendeleo ya namna hiyo. !

Wenye Akili hoi ! Goli 3 - 0 😱 !
 
Hii ni kampeni ya October 2025. Tutasikia mengi Sana ili Samia aonekane ana unafuu, mwema, muadilifu. JPM anatumiwa kama ngazi na awamu hii ya sita.

Huyu makamu na genge lake waliokuwa wanavujisha siri za kila aina kwa kigogo, mange wangekaa kimya miaka mitatu wakijua haya?

Mmejaribu kila kitu. Malizieni kwamba alibaka wanawake, watoto, wazee na wapinzani wake ikulu.
Hawawaoni kina mzee Kibao wameuawa kwa kuchukuliwa mchana kweupe na bado ushungi akapigilia kifo ni kifo tu, kina Sativa wamevunjwa taya ila kwakuwa kafanya sponsor wao wanakenua meno, kina Soka na wenzake hawajulikani mpaka leo ila kwa kuwa kafanya mama wa nchi jirani wanaona kheri tu. Bandari zinapigwa mnada na bahari na maziwa vinamilikishwa kwa wageni sisi tuko busy kunanga asiyeweza kujitetea.
 
Akimwaga damu yako na kukuua kwa sababu hakuna rais asiyemwaga damu itakuwa sawa tu?

Au ni sawa kwa damu ya wenzako tu, yako si sawa?
Itakuwa sawa tu, au unadhani namuongelea binadamu wa kufikirika?
 
Greatest Of All Time nimekutukana tusi la nguoni kubwa kabisa. Wewe aiza ulikuwa fisadi, vyeti fake. Wazalendo ambao ndiyo tupo wengi Dkt Magufuli atabaki kuwa kielelezo cha uzalendo. Pole sana kwa chuki yako ila sisi ndiyo tunampenda sana tena sana.
 
Tunampenda/Tutampenda/ yaan HAPA KAZI TU ilikua ni bonge la slogan ever..

Enzi izo mpaka safari za nje canceled ✖️ ❌
Mambo ya chai 😁 semina/ warsha canceled ❌ ✖️

Alisafisha safishaa balaaa Bado vyeti FEKI 🏃🏃🏃

Mtu mmoja anaingia kwenye bodi mpaka 5 na ana sign mamilioni..

Dili..mtu anamiliki nyumba mpaka 90...anahonga ma IST..Anasafiri nje mpaka familia Ina m miss mpaka Ina m miss place kwenda ulaya kuliko kijijini kwao..

Alionyeshwa kompyuta mbovu alipo fanya ziara ya kushitukizaa BANDARINI 😊😊 aka lala nao mbeleee

Mazuri ya JPM ni mengi Sanaa ALIJIPUNGUZIA MPAKA MSHAHARA WAKEE MWENYEWE..

MAGUFURI ALIKUA NI MTU WA PEKEE SANAA SHOW ALIYO WAPA MPAKA SASA INAWALEVYA

MAGUFURI alipinga ushoga na shisha na vilainishi...watetea mashogaaa wakanunaa..

FOR ALL HATERS 😤
.
 
1. Alikuta marais wenye akili wameua shirika la ndege, yeye akalifufua na kununua ndege 11 tena kwa cash. Huyu ni kichaa mzuri.
2. Alikuta wenye akili wameshindwa kuja na suluhu ya kudumu ya tatizo la umeme. Kichaa huyu akajenga Bwawa la Mwl Nyerere.
3. Alikuta maelfu ya watumishi hewa na matapeli waliokuwa na vyeti feki. Kichaa akawatembezea rungu, wakaanguka chalii.
4. Alikuta Reli yakati ikiwa hoi bin taaban baada ya marais wenye akili kushindwa kuiendesha. Kichaa akaanza kujenga reli ya SGR ili wenye akili wasafiri kwa raha.
5. Alikuta changamoto kubwa ya foleni Dar baada ya wenye akili kusema kuwa foleni ni kipimo cha maendeleo. Kichaa akajenga Kijazi, Mfugale na Tanzanite ili wenye akili wawahi kufika waendapo.
6. Alikuta wenye akili wanaendelea kuendesha serikali yenye ofisi Dar wakati makao makuu ni Dodoma. Kichaa akawahamishia wote Dodoma kwa lazima na kuanzisha ujenzi wa mji wa serikali.
7. Alikuta wenye akili wanatumia ikulu waliyojengewa na wakoloni, Kichaa akaamua kujenga ikulu mpya Chamwino tena ikajengwa na Wanajeshi wazalendo.
8. Alikuta huduma mbovu za Afya. Kichaa akajenga Hospitali kubwa za kanda Njombe, Mtwara, Mara na Geita + Hospitali za rufaa 67 na vituo vya Afya 1000+. Huyu kweli alikuwa chizi.
9. Alikuta watumishi wa Afya na Matajiri wanaishi kwa mazoea na kuwadharau raia wenye hali duni. Kichaa akafanya matajiri wawaogope na kuwaheshimu maskini vibaya mno.
10. Alikuta wenye akili wanatumia saa kadhaa toka Kigongo kwenda Busisi akawajengea daraja wapite fasta.
11. Alikuta tatizo kubwa sana la maji mkoani Arusha, akawajengea wajanga wa R chuga mradi wa bilioni 500 sahivi lema anaogelea tu huku anamtukana kichaa.
12. Alipanua bandari zote na kusisitiza kuwa tunaweza kutumia akili zetu kuziendesha kwa ufanisi lakini wenye akili wakasema sisi hatuwezi wakawapa waarabu na lile tapeli la India linalotafutwa na Marekani, yes lile lililofukuzwa hapo Kenya.

Hapo sijazungumzia barabara, meli n.k
Alikuta wasimamizi wa migodi yote Tanzania Yaani Barrick wakichukua faida yote iliyokuwa ikipatikana pekeyao akaunda Kampuni ya Twiga Ili faida mgao uwe 59% 50%, aisee huyu alikuwa chizi kupitiliza
 
1. Alikuta marais wenye akili wameua shirika la ndege, yeye akalifufua na kununua ndege 11 tena kwa cash. Huyu ni kichaa mzuri.
2. Alikuta wenye akili wameshindwa kuja na suluhu ya kudumu ya tatizo la umeme. Kichaa huyu akajenga Bwawa la Mwl Nyerere.
3. Alikuta maelfu ya watumishi hewa na matapeli waliokuwa na vyeti feki. Kichaa akawatembezea rungu, wakaanguka chalii.
4. Alikuta Reli yakati ikiwa hoi bin taaban baada ya marais wenye akili kushindwa kuiendesha. Kichaa akaanza kujenga reli ya SGR ili wenye akili wasafiri kwa raha.
5. Alikuta changamoto kubwa ya foleni Dar baada ya wenye akili kusema kuwa foleni ni kipimo cha maendeleo. Kichaa akajenga Kijazi, Mfugale na Tanzanite ili wenye akili wawahi kufika waendapo.
6. Alikuta wenye akili wanaendelea kuendesha serikali yenye ofisi Dar wakati makao makuu ni Dodoma. Kichaa akawahamishia wote Dodoma kwa lazima na kuanzisha ujenzi wa mji wa serikali.
7. Alikuta wenye akili wanatumia ikulu waliyojengewa na wakoloni, Kichaa akaamua kujenga ikulu mpya Chamwino tena ikajengwa na Wanajeshi wazalendo.
8. Alikuta huduma mbovu za Afya. Kichaa akajenga Hospitali kubwa za kanda Njombe, Mtwara, Mara na Geita + Hospitali za rufaa 67 na vituo vya Afya 1000+. Huyu kweli alikuwa chizi.
9. Alikuta watumishi wa Afya na Matajiri wanaishi kwa mazoea na kuwadharau raia wenye hali duni. Kichaa akafanya matajiri wawaogope na kuwaheshimu maskini vibaya mno.
10. Alikuta wenye akili wanatumia saa kadhaa toka Kigongo kwenda Busisi akawajengea daraja wapite fasta.
11. Alikuta tatizo kubwa sana la maji mkoani Arusha, akawajengea wajanga wa R chuga mradi wa bilioni 500 sahivi lema anaogelea tu huku anamtukana kichaa.
12. Alipanua bandari zote na kusisitiza kuwa tunaweza kutumia akili zetu kuziendesha kwa ufanisi lakini wenye akili wakasema sisi hatuwezi wakawapa waarabu na lile tapeli la India linalotafutwa na Marekani, yes lile lililofukuzwa hapo Kenya.

Hapo sijazungumzia barabara, meli n.k
Na wewe kichaa umepost akili kubwa... Hongera!!!



...Ni Hayo Tu!!
 
Hawawaoni kina mzee Kibao wameuawa kwa kuchukuliwa mchana kweupe na bado ushungi akapigilia kifo ni kifo tu, kina Sativa wamevunjwa taya ila kwakuwa kafanya sponsor wao wanakenua meno, kina Soka na wenzake hawajulikani mpaka leo ila kwa kuwa kafanya mama wa nchi jirani wanaona kheri tu. Bandari zinapigwa mnada na bahari na maziwa vinamilikishwa kwa wageni sisi tuko busy kunanga asiyeweza kujitetea.
Yoyote anakayekata mirija ya wapigaji atafanyiwa kampeni kama hii. Wengi CCM, Samia Wengi Chadema, Mbowe, Zitto, Act adui wao mkubwa ni JPM sio ufisadi, uzembe, rushwa, kutowajibikaji wala kulinda maliadili za Taifa.

Umemuona Zitto, Mbowe, Samia wanakemea ufisadi, rushwa, uzembe, wizi wa maliasili za nchi hii?
 
1. Alikuta marais wenye akili wameua shirika la ndege, yeye akalifufua na kununua ndege 11 tena kwa cash. Huyu ni kichaa mzuri.
2. Alikuta wenye akili wameshindwa kuja na suluhu ya kudumu ya tatizo la umeme. Kichaa huyu akajenga Bwawa la Mwl Nyerere.
3. Alikuta maelfu ya watumishi hewa na matapeli waliokuwa na vyeti feki. Kichaa akawatembezea rungu, wakaanguka chalii.
4. Alikuta Reli yakati ikiwa hoi bin taaban baada ya marais wenye akili kushindwa kuiendesha. Kichaa akaanza kujenga reli ya SGR ili wenye akili wasafiri kwa raha.
5. Alikuta changamoto kubwa ya foleni Dar baada ya wenye akili kusema kuwa foleni ni kipimo cha maendeleo. Kichaa akajenga Kijazi, Mfugale na Tanzanite ili wenye akili wawahi kufika waendapo.
6. Alikuta wenye akili wanaendelea kuendesha serikali yenye ofisi Dar wakati makao makuu ni Dodoma. Kichaa akawahamishia wote Dodoma kwa lazima na kuanzisha ujenzi wa mji wa serikali.
7. Alikuta wenye akili wanatumia ikulu waliyojengewa na wakoloni, Kichaa akaamua kujenga ikulu mpya Chamwino tena ikajengwa na Wanajeshi wazalendo.
8. Alikuta huduma mbovu za Afya. Kichaa akajenga Hospitali kubwa za kanda Njombe, Mtwara, Mara na Geita + Hospitali za rufaa 67 na vituo vya Afya 1000+. Huyu kweli alikuwa chizi.
9. Alikuta watumishi wa Afya na Matajiri wanaishi kwa mazoea na kuwadharau raia wenye hali duni. Kichaa akafanya matajiri wawaogope na kuwaheshimu maskini vibaya mno.
10. Alikuta wenye akili wanatumia saa kadhaa toka Kigongo kwenda Busisi akawajengea daraja wapite fasta.
11. Alikuta tatizo kubwa sana la maji mkoani Arusha, akawajengea wajanga wa R chuga mradi wa bilioni 500 sahivi lema anaogelea tu huku anamtukana kichaa.
12. Alipanua bandari zote na kusisitiza kuwa tunaweza kutumia akili zetu kuziendesha kwa ufanisi lakini wenye akili wakasema sisi hatuwezi wakawapa waarabu na lile tapeli la India linalotafutwa na Marekani, yes lile lililofukuzwa hapo Kenya.

Hapo sijazungumzia barabara, meli n.k
13.Ali fanya elimu kuwa bure ili wananchi wote wenye navyo na wasio kuanavyo waweze kupata huduma hii muhimu kwaajili ya ukombozi wa fikra zao na kufungua maisha yao mi ni shuhuda wa jinsi elimu bure ilivo nisadia had leo hii nilipo mimi hilo tu linanitosha kumtaja kama kiongozi bora kabisa ktk historia ya nchi hii
 
Back
Top Bottom