Hachafuliki: Tunampenda Rais Dikteta na Kichaa Aliyefanya haya

Hachafuliki: Tunampenda Rais Dikteta na Kichaa Aliyefanya haya

Na ukiwa na akili huwezi kumuona mwenye akili mwenzako
Unaona lakini unaangalia mapungufu zaidi.

Ndiyo maana Nyerere alivyowalalamikia Watanzania wanaangalia mabaya yake sana badala ya mazuri yake, nilimuona hana akili.

Tunatakiwa kuangalia mabaya ili tuyarekebishe, mazuri hayahitaji kurekebishwa sana kama mabaya.
 
Hata kina Stalin, Hitler, Idd Amin na madikteta wengine walifanya maendeleo ya vitu ila tunawakumbuka kwa ukatili wao. Binadamu atakukumbuka kwa hisia ulizomwachia nafsini na sio vitu ulivyomwachia. Kama uliumiza nafsi yake atakukumbukwa kwa maumivu uliyompa. Kwa mfano Mbowe ni kiongozi bora wa CHADEMA kuwahi kutokea ila anaweza akakumbukwa kama kiongozi wa hovyo endapo anguko la CHADEMA litatokea mikononi mwake. Magu atakumbukwa na maskini wengi kwa jinsi alivyokuwa anawafurahisha kwa kuwaumiza matajiri na watumishi wa umma. Maskini wengi hufurahia sana maumivu ya watu waliofanikiwa kiuchumi. Magu alilifahamu hilo ndo maana akaweza kukamata wajinga/maskini wengi.
 
Kwa hiyo vipindi vingine walioua walijulikana, kipindi chake ndio likaja neno "wasiojulikana"? Tofauti iko wapi kama wote waliua?
Kipindi chake hakutaka mkosoaji alibambikia watu kesi, kuminya wapinzani, kupendelea chato.
 
Kama mnajua alifanya hayo yote msingesimama kwenye Majukwaa na kuanza kupiga kelele kwa kumsifu Mama! Mama kajenga barabara,Mama kaleta Maji,Mama kajenga Hospitali,Mama kajenga madaraja,nk kumbe Mengi kafanya Magu!
 
1. Alikuta marais wenye akili wameua shirika la ndege, yeye akalifufua na kununua ndege 11 tena kwa cash. Huyu ni kichaa mzuri.
2. Alikuta wenye akili wameshindwa kuja na suluhu ya kudumu ya tatizo la umeme. Kichaa huyu akajenga Bwawa la Mwl Nyerere.
3. Alikuta maelfu ya watumishi hewa na matapeli waliokuwa na vyeti feki. Kichaa akawatembezea rungu, wakaanguka chalii.
4. Alikuta Reli yakati ikiwa hoi bin taaban baada ya marais wenye akili kushindwa kuiendesha. Kichaa akaanza kujenga reli ya SGR ili wenye akili wasafiri kwa raha.
5. Alikuta changamoto kubwa ya foleni Dar baada ya wenye akili kusema kuwa foleni ni kipimo cha maendeleo. Kichaa akajenga Kijazi, Mfugale na Tanzanite ili wenye akili wawahi kufika waendapo.
6. Alikuta wenye akili wanaendelea kuendesha serikali yenye ofisi Dar wakati makao makuu ni Dodoma. Kichaa akawahamishia wote Dodoma kwa lazima na kuanzisha ujenzi wa mji wa serikali.
7. Alikuta wenye akili wanatumia ikulu waliyojengewa na wakoloni, Kichaa akaamua kujenga ikulu mpya Chamwino tena ikajengwa na Wanajeshi wazalendo.
8. Alikuta huduma mbovu za Afya. Kichaa akajenga Hospitali kubwa za kanda Njombe, Mtwara, Mara na Geita + Hospitali za rufaa 67 na vituo vya Afya 1000+. Huyu kweli alikuwa chizi.
9. Alikuta watumishi wa Afya na Matajiri wanaishi kwa mazoea na kuwadharau raia wenye hali duni. Kichaa akafanya matajiri wawaogope na kuwaheshimu maskini vibaya mno.
10. Alikuta wenye akili wanatumia saa kadhaa toka Kigongo kwenda Busisi akawajengea daraja wapite fasta.
11. Alikuta tatizo kubwa sana la maji mkoani Arusha, akawajengea wajanga wa R chuga mradi wa bilioni 500 sahivi lema anaogelea tu huku anamtukana kichaa.
12. Alipanua bandari zote na kusisitiza kuwa tunaweza kutumia akili zetu kuziendesha kwa ufanisi lakini wenye akili wakasema sisi hatuwezi wakawapa waarabu na lile tapeli la India linalotafutwa na Marekani, yes lile lililofukuzwa hapo Kenya.

Hapo sijazungumzia barabara, meli n.k
Anamsifia kichaa nae ni kichaa
 
1. Alikuta marais wenye akili wameua shirika la ndege, yeye akalifufua na kununua ndege 11 tena kwa cash. Huyu ni kichaa mzuri.
2. Alikuta wenye akili wameshindwa kuja na suluhu ya kudumu ya tatizo la umeme. Kichaa huyu akajenga Bwawa la Mwl Nyerere.
3. Alikuta maelfu ya watumishi hewa na matapeli waliokuwa na vyeti feki. Kichaa akawatembezea rungu, wakaanguka chalii.
4. Alikuta Reli yakati ikiwa hoi bin taaban baada ya marais wenye akili kushindwa kuiendesha. Kichaa akaanza kujenga reli ya SGR ili wenye akili wasafiri kwa raha.
5. Alikuta changamoto kubwa ya foleni Dar baada ya wenye akili kusema kuwa foleni ni kipimo cha maendeleo. Kichaa akajenga Kijazi, Mfugale na Tanzanite ili wenye akili wawahi kufika waendapo.
6. Alikuta wenye akili wanaendelea kuendesha serikali yenye ofisi Dar wakati makao makuu ni Dodoma. Kichaa akawahamishia wote Dodoma kwa lazima na kuanzisha ujenzi wa mji wa serikali.
7. Alikuta wenye akili wanatumia ikulu waliyojengewa na wakoloni, Kichaa akaamua kujenga ikulu mpya Chamwino tena ikajengwa na Wanajeshi wazalendo.
8. Alikuta huduma mbovu za Afya. Kichaa akajenga Hospitali kubwa za kanda Njombe, Mtwara, Mara na Geita + Hospitali za rufaa 67 na vituo vya Afya 1000+. Huyu kweli alikuwa chizi.
9. Alikuta watumishi wa Afya na Matajiri wanaishi kwa mazoea na kuwadharau raia wenye hali duni. Kichaa akafanya matajiri wawaogope na kuwaheshimu maskini vibaya mno.
10. Alikuta wenye akili wanatumia saa kadhaa toka Kigongo kwenda Busisi akawajengea daraja wapite fasta.
11. Alikuta tatizo kubwa sana la maji mkoani Arusha, akawajengea wajanga wa R chuga mradi wa bilioni 500 sahivi lema anaogelea tu huku anamtukana kichaa.
12. Alipanua bandari zote na kusisitiza kuwa tunaweza kutumia akili zetu kuziendesha kwa ufanisi lakini wenye akili wakasema sisi hatuwezi wakawapa waarabu na lile tapeli la India linalotafutwa na Marekani, yes lile lililofukuzwa hapo Kenya.

Hapo sijazungumzia barabara, meli n.k
Naunga mkono hoja.Hivi kichaa anawezaje kufanya yote hayo manzuri
 
Vijana wako jobless ten years. sababu ni yeye, wengine umri wa kustaafu wanahesabu vidole tu. Tena bado mwanga wa kuajiriwa haupo.
 
Tunampenda/Tutampenda/ yaan HAPA KAZI TU ilikua ni bonge la slogan ever..

Enzi izo mpaka safari za nje canceled ✖️ ❌
Mambo ya chai 😁 semina/ warsha canceled ❌ ✖️

Alisafisha safishaa balaaa Bado vyeti FEKI 🏃🏃🏃

Mtu mmoja anaingia kwenye bodi mpaka 5 na ana sign mamilioni..

Dili..mtu anamiliki nyumba mpaka 90...anahonga ma IST..Anasafiri nje mpaka familia Ina m miss mpaka Ina m miss place kwenda ulaya kuliko kijijini kwao..

Alionyeshwa kompyuta mbovu alipo fanya ziara ya kushitukizaa BANDARINI 😊😊 aka lala nao mbeleee

Mazuri ya JPM ni mengi Sanaa ALIJIPUNGUZIA MPAKA MSHAHARA WAKEE MWENYEWE..

MAGUFURI ALIKUA NI MTU WA PEKEE SANAA SHOW ALIYO WAPA MPAKA SASA INAWALEVYA

MAGUFURI alipinga ushoga na shisha na vilainishi...watetea mashogaaa wakanunaa..

FOR ALL HATERS 😤
For all haters, I salute you brother!
 
1. Alikuta marais wenye akili wameua shirika la ndege, yeye akalifufua na kununua ndege 11 tena kwa cash. Huyu ni kichaa mzuri.
2. Alikuta wenye akili wameshindwa kuja na suluhu ya kudumu ya tatizo la umeme. Kichaa huyu akajenga Bwawa la Mwl Nyerere.
3. Alikuta maelfu ya watumishi hewa na matapeli waliokuwa na vyeti feki. Kichaa akawatembezea rungu, wakaanguka chalii.
4. Alikuta Reli yakati ikiwa hoi bin taaban baada ya marais wenye akili kushindwa kuiendesha. Kichaa akaanza kujenga reli ya SGR ili wenye akili wasafiri kwa raha.
5. Alikuta changamoto kubwa ya foleni Dar baada ya wenye akili kusema kuwa foleni ni kipimo cha maendeleo. Kichaa akajenga Kijazi, Mfugale na Tanzanite ili wenye akili wawahi kufika waendapo.
6. Alikuta wenye akili wanaendelea kuendesha serikali yenye ofisi Dar wakati makao makuu ni Dodoma. Kichaa akawahamishia wote Dodoma kwa lazima na kuanzisha ujenzi wa mji wa serikali.
7. Alikuta wenye akili wanatumia ikulu waliyojengewa na wakoloni, Kichaa akaamua kujenga ikulu mpya Chamwino tena ikajengwa na Wanajeshi wazalendo.
8. Alikuta huduma mbovu za Afya. Kichaa akajenga Hospitali kubwa za kanda Njombe, Mtwara, Mara na Geita + Hospitali za rufaa 67 na vituo vya Afya 1000+. Huyu kweli alikuwa chizi.
9. Alikuta watumishi wa Afya na Matajiri wanaishi kwa mazoea na kuwadharau raia wenye hali duni. Kichaa akafanya matajiri wawaogope na kuwaheshimu maskini vibaya mno.
10. Alikuta wenye akili wanatumia saa kadhaa toka Kigongo kwenda Busisi akawajengea daraja wapite fasta.
11. Alikuta tatizo kubwa sana la maji mkoani Arusha, akawajengea wajanga wa R chuga mradi wa bilioni 500 sahivi lema anaogelea tu huku anamtukana kichaa.
12. Alipanua bandari zote na kusisitiza kuwa tunaweza kutumia akili zetu kuziendesha kwa ufanisi lakini wenye akili wakasema sisi hatuwezi wakawapa waarabu na lile tapeli la India linalotafutwa na Marekani, yes lile lililofukuzwa hapo Kenya.

Hapo sijazungumzia barabara, meli n.k
Hata wafanyeje😎
 
Unaona lakini unaangalia mapungufu zaidi.

Ndiyo maana Nyerere alivyowalalamikia Watanzania wanaangalia mabaya yake sana badala ya mazuri yake, nilimuona hana akili.

Tunatakiwa kuangalia mabaya ili tuyarekebishe, mazuri hayahitaji kurekebishwa sana kama mabaya.
Kwa hiyo unataka mazuri uyaangalie katika awamu Moja tu hebu Anza na mbaya toka awamu ya kwanza Hadi tulipo Ili ueleweke zaidi.
 
Hakuna utawala usiomwaga damu!
Ukweli kwamba hakuna utawala usiomwaga damu haimaanishi kuwa watawala kumwaga damu ni kitu kizuri, tukikubali tu.

Kama vile ilivyo kwamba hakuna mtu asiyeumwa haimaanishi kuumwa ni kitu kizuri, tukikubali tu.
 
1. Alikuta marais wenye akili wameua shirika la ndege, yeye akalifufua na kununua ndege 11 tena kwa cash. Huyu ni kichaa mzuri.
2. Alikuta wenye akili wameshindwa kuja na suluhu ya kudumu ya tatizo la umeme. Kichaa huyu akajenga Bwawa la Mwl Nyerere.
3. Alikuta maelfu ya watumishi hewa na matapeli waliokuwa na vyeti feki. Kichaa akawatembezea rungu, wakaanguka chalii.
4. Alikuta Reli yakati ikiwa hoi bin taaban baada ya marais wenye akili kushindwa kuiendesha. Kichaa akaanza kujenga reli ya SGR ili wenye akili wasafiri kwa raha.
5. Alikuta changamoto kubwa ya foleni Dar baada ya wenye akili kusema kuwa foleni ni kipimo cha maendeleo. Kichaa akajenga Kijazi, Mfugale na Tanzanite ili wenye akili wawahi kufika waendapo.
6. Alikuta wenye akili wanaendelea kuendesha serikali yenye ofisi Dar wakati makao makuu ni Dodoma. Kichaa akawahamishia wote Dodoma kwa lazima na kuanzisha ujenzi wa mji wa serikali.
7. Alikuta wenye akili wanatumia ikulu waliyojengewa na wakoloni, Kichaa akaamua kujenga ikulu mpya Chamwino tena ikajengwa na Wanajeshi wazalendo.
8. Alikuta huduma mbovu za Afya. Kichaa akajenga Hospitali kubwa za kanda Njombe, Mtwara, Mara na Geita + Hospitali za rufaa 67 na vituo vya Afya 1000+. Huyu kweli alikuwa chizi.
9. Alikuta watumishi wa Afya na Matajiri wanaishi kwa mazoea na kuwadharau raia wenye hali duni. Kichaa akafanya matajiri wawaogope na kuwaheshimu maskini vibaya mno.
10. Alikuta wenye akili wanatumia saa kadhaa toka Kigongo kwenda Busisi akawajengea daraja wapite fasta.
11. Alikuta tatizo kubwa sana la maji mkoani Arusha, akawajengea wajanga wa R chuga mradi wa bilioni 500 sahivi lema anaogelea tu huku anamtukana kichaa.
12. Alipanua bandari zote na kusisitiza kuwa tunaweza kutumia akili zetu kuziendesha kwa ufanisi lakini wenye akili wakasema sisi hatuwezi wakawapa waarabu na lile tapeli la India linalotafutwa na Marekani, yes lile lililofukuzwa hapo Kenya.

Hapo sijazungumzia barabara, meli n.k
Umeongea kweli yote Mkuu.
Wenye akili tumeelewa.
Bahati mbaya, haya yote sidhani kama yameongelewa kwenye Kitabu cha Ka-flag
 
Kwa hiyo unataka mazuri uyaangalie katika awamu Moja tu hebu Anza na mbaya toka awamu ya kwanza Hadi tulipo Ili ueleweke zaidi.
Kwani wapi nimetetea awamu yoyote? Unaleta Whataboutism fallacy.

Mabaya ya Magufuli ni matokeo ya mabaya ya Nyerere.

Nyerere alichukua sheria za kikoloni akazirithi, akazitumia yeye. Jaji Nyalali kaziandika sheria 40 kandamizi.

Nyerere kafunga wapinzani wake kwa indefinite detention. Nyerere kapiga marufuku vyama vya siasa vya upinzani, miaka ya 1960s. Nyerere kalambisha asali za ubalozi kina Christopher Kassanga Tumbo tangu miaka ya 1960s.

Magufuli kaendeleza.

That does not make either right.

They are both wrong. Two wrongs do not make a right.
 
Hata kina Stalin, Hitler, Idd Amin na madikteta wengine walifanya maendeleo ya vitu ila tunawakumbuka kwa ukatili wao. Binadamu atakukumbuka kwa hisia ulizomwachia nafsini na sio vitu ulivyomwachia. Kama uliumiza nafsi yake atakukumbukwa kwa maumivu uliyompa. Kwa mfano Mbowe ni kiongozi bora wa CHADEMA kuwahi kutokea ila anaweza akakumbukwa kama kiongozi wa hovyo endapo anguko la CHADEMA litatokea mikononi mwake. Magu atakumbukwa na maskini wengi kwa jinsi alivyokuwa anawafurahisha kwa kuwaumiza matajiri na watumishi wa umma. Maskini wengi hufurahia sana maumivu ya watu waliofanikiwa kiuchumi. Magu alilifahamu hilo ndo maana akaweza kukamata wajinga/maskini wengi.
Samia ameumiza Watanzania wengi zaidi kuliko Rais yoyote.

Wengi wametekwa, kuna wangapi wameuwawa? ameuza maliasili nyingi za Taifa, waulize Wamasai, familia ya Kibao, Soka.

Sera zake zimepandisha Kodi, tozo, being ya umeme, vifaa vyao ujenzi, chakula, mafuta na kuwafanya Watanzania wengi makini zaidi.

Amewakumbatia wezi, mafisadi wote anawaambia kuleni kwa urefu wa kamba zenu.

Vilio kila sehemu wizi, uporaji wa viwanja mashamba, nyumba za maskini kila sehemu pamoja na ubakaji umeshamiri, uchomaji masoko, umeshamiri.
 
Back
Top Bottom