Hachafuliki: Tunampenda Rais Dikteta na Kichaa Aliyefanya haya

Hachafuliki: Tunampenda Rais Dikteta na Kichaa Aliyefanya haya

1. Alikuta marais wenye akili wameua shirika la ndege, yeye akalifufua na kununua ndege 11 tena kwa cash. Huyu ni kichaa mzuri.

2. Alikuta wenye akili wameshindwa kuja na suluhu ya kudumu ya tatizo la umeme. Kichaa huyu akajenga Bwawa la Mwl Nyerere.

3. Alikuta maelfu ya watumishi hewa na matapeli waliokuwa na vyeti feki. Kichaa akawatembezea rungu, wakaanguka chalii.

4. Alikuta Reli yakati ikiwa hoi bin taaban baada ya marais wenye akili kushindwa kuiendesha. Kichaa akaanza kujenga reli ya SGR ili wenye akili wasafiri kwa raha.

5. Alikuta changamoto kubwa ya foleni Dar baada ya wenye akili kusema kuwa foleni ni kipimo cha maendeleo. Kichaa akajenga Kijazi, Mfugale na Tanzanite ili wenye akili wawahi kufika waendapo.

6. Alikuta wenye akili wanaendelea kuendesha serikali yenye ofisi Dar wakati makao makuu ni Dodoma. Kichaa akawahamishia wote Dodoma kwa lazima na kuanzisha ujenzi wa mji wa serikali.

7. Alikuta wenye akili wanatumia ikulu waliyojengewa na wakoloni, Kichaa akaamua kujenga ikulu mpya Chamwino tena ikajengwa na Wanajeshi wazalendo.

8. Alikuta huduma mbovu za Afya. Kichaa akajenga Hospitali kubwa za kanda Njombe, Mtwara, Mara na Geita + Hospitali za rufaa 67 na vituo vya Afya 1000+. Huyu kweli alikuwa chizi.

9. Alikuta watumishi wa Afya na Matajiri wanaishi kwa mazoea na kuwadharau raia wenye hali duni. Kichaa akafanya matajiri wawaogope na kuwaheshimu maskini vibaya mno.

10. Alikuta wenye akili wanatumia saa kadhaa toka Kigongo kwenda Busisi akawajengea daraja wapite fasta.

11. Alikuta tatizo kubwa sana la maji mkoani Arusha, akawajengea wajanga wa R chuga mradi wa bilioni 500 sahivi lema anaogelea tu huku anamtukana kichaa.

12. Alipanua bandari zote na kusisitiza kuwa tunaweza kutumia akili zetu kuziendesha kwa ufanisi lakini wenye akili wakasema sisi hatuwezi wakawapa waarabu na lile tapeli la India linalotafutwa na Marekani, yes lile lililofukuzwa hapo Kenya.

13. Kichaa aliyevunja mikataba ya kitapeli na makampuni yanayotuibia rasilimali za nchi na kuzuia usafirishaji wa makinikia mpaka mafisadi wakapanda ndege kuja kukubaliana upya na kufikia win-win situation.

Huyu ni kichaa mzuri, naam Kichaa wa nguvu.

Hapo sijazungumzia barabara, meli n.k
Asante mkuu.🙏🙏
 
This logical fallacy is called appeal to authority.
Leo sina morari ya kuandika kiingereza; kwa manufaa ya wanaotaka kujua Sankara alisema nini juu ya ukichaa ni kuwa Sakara alisema wakati mwingine unaweza kuamua kuonekana kichaa ili uweze kuleta maendeleo ya kweli kwa wananchi. Hii ilitokana na Sankara Mwenyewe kukakataa mbinu za maendeleo zilizokuwa zimeamriwa na wahisani wa nje ikiwemo wb na nchi za magharibi kuwa zitumike nchini Burkina Faso huku mbinu hizo zikiwa zimeishathibitisha hazina manufaa huko zilipokuwa zimetumika!
 
Mwendawazimu huwa anamuona Kichaa ni mzima.
 
Tokea miaka ya 80 katikati shule za Dar almost zote, wanafunzi walikua wanakaa chini; mwamba alivopata madaraka tu, hata miezi sita haikufika, madarasa yote yakapata madawati, hospital ya muhimbuli Citiscan ilikua haifanyi kazi, MRI as well; mwezi mmoja tu ikaanza kufanya kazi; nenda kwenye ofisi yeyote ya serikali, fasta tulikua tunapata huduma, tena watoa huduma wanakuogopa. The only think ambacho Magufuli hakua nacho ni "demokrasia" yule jamaa hakua mwamini wa demokrasia kabisa BUT ndiye rais anaekumbukwa na wananchi wa kawaida miaka mingi. Anaebisha, weka link hapa, halafu ndani ya saa 24 uje utangaze matokeo. Day 1 anaingia Ikulu hadi kifo chake, hakukuwahi kua na kitu kinaitwa mgao wa umeme, what about maji majumbano? Lipa bill, maji yapo.
 
1. Alikuta marais wenye akili wameua shirika la ndege, yeye akalifufua na kununua ndege 11 tena kwa cash. Huyu ni kichaa mzuri.

2. Alikuta wenye akili wameshindwa kuja na suluhu ya kudumu ya tatizo la umeme. Kichaa huyu akajenga Bwawa la Mwl Nyerere.

3. Alikuta maelfu ya watumishi hewa na matapeli waliokuwa na vyeti feki. Kichaa akawatembezea rungu, wakaanguka chalii.

4. Alikuta Reli yakati ikiwa hoi bin taaban baada ya marais wenye akili kushindwa kuiendesha. Kichaa akaanza kujenga reli ya SGR ili wenye akili wasafiri kwa raha.

5. Alikuta changamoto kubwa ya foleni Dar baada ya wenye akili kusema kuwa foleni ni kipimo cha maendeleo. Kichaa akajenga Kijazi, Mfugale na Tanzanite ili wenye akili wawahi kufika waendapo.

6. Alikuta wenye akili wanaendelea kuendesha serikali yenye ofisi Dar wakati makao makuu ni Dodoma. Kichaa akawahamishia wote Dodoma kwa lazima na kuanzisha ujenzi wa mji wa serikali.

7. Alikuta wenye akili wanatumia ikulu waliyojengewa na wakoloni, Kichaa akaamua kujenga ikulu mpya Chamwino tena ikajengwa na Wanajeshi wazalendo.

8. Alikuta huduma mbovu za Afya. Kichaa akajenga Hospitali kubwa za kanda Njombe, Mtwara, Mara na Geita + Hospitali za rufaa 67 na vituo vya Afya 1000+. Huyu kweli alikuwa chizi.

9. Alikuta watumishi wa Afya na Matajiri wanaishi kwa mazoea na kuwadharau raia wenye hali duni. Kichaa akafanya matajiri wawaogope na kuwaheshimu maskini vibaya mno.

10. Alikuta wenye akili wanatumia saa kadhaa toka Kigongo kwenda Busisi akawajengea daraja wapite fasta.

11. Alikuta tatizo kubwa sana la maji mkoani Arusha, akawajengea wajanga wa R chuga mradi wa bilioni 500 sahivi lema anaogelea tu huku anamtukana kichaa.

12. Alipanua bandari zote na kusisitiza kuwa tunaweza kutumia akili zetu kuziendesha kwa ufanisi lakini wenye akili wakasema sisi hatuwezi wakawapa waarabu na lile tapeli la India linalotafutwa na Marekani, yes lile lililofukuzwa hapo Kenya.

13. Kichaa aliyevunja mikataba ya kitapeli na makampuni yanayotuibia rasilimali za nchi na kuzuia usafirishaji wa makinikia mpaka mafisadi wakapanda ndege kuja kukubaliana upya na kufikia win-win situation.

Huyu ni kichaa mzuri, naam Kichaa wa nguvu.

Hapo sijazungumzia barabara, meli n.k
Ameacha alama ya maendeleo ya kiuchumi yenye kuthibitika, ijapokuwa ilikuwa kupitia alama na gharama za machozi, jasho, na damu kwa wanademokrasia.

Hakika, huyu alikuwa "benevolent dictator" ambaye alikuwa ni shabiki wa matokeo chanya kwa watu wa hali chini na kwa nchi yake. Pumzika kwa amani Hayati John Pombe. Viwqngo na matamanio yako ni kipimo tosha kwa yeyote yule ambaye ataishika nafasi ya cheo cha urais kwa nchi hii.
 
1. Alikuta marais wenye akili wameua shirika la ndege, yeye akalifufua na kununua ndege 11 tena kwa cash. Huyu ni kichaa mzuri.

2. Alikuta wenye akili wameshindwa kuja na suluhu ya kudumu ya tatizo la umeme. Kichaa huyu akajenga Bwawa la Mwl Nyerere.

3. Alikuta maelfu ya watumishi hewa na matapeli waliokuwa na vyeti feki. Kichaa akawatembezea rungu, wakaanguka chalii.

4. Alikuta Reli yakati ikiwa hoi bin taaban baada ya marais wenye akili kushindwa kuiendesha. Kichaa akaanza kujenga reli ya SGR ili wenye akili wasafiri kwa raha.

5. Alikuta changamoto kubwa ya foleni Dar baada ya wenye akili kusema kuwa foleni ni kipimo cha maendeleo. Kichaa akajenga Kijazi, Mfugale na Tanzanite ili wenye akili wawahi kufika waendapo.

6. Alikuta wenye akili wanaendelea kuendesha serikali yenye ofisi Dar wakati makao makuu ni Dodoma. Kichaa akawahamishia wote Dodoma kwa lazima na kuanzisha ujenzi wa mji wa serikali.

7. Alikuta wenye akili wanatumia ikulu waliyojengewa na wakoloni, Kichaa akaamua kujenga ikulu mpya Chamwino tena ikajengwa na Wanajeshi wazalendo.

8. Alikuta huduma mbovu za Afya. Kichaa akajenga Hospitali kubwa za kanda Njombe, Mtwara, Mara na Geita + Hospitali za rufaa 67 na vituo vya Afya 1000+. Huyu kweli alikuwa chizi.

9. Alikuta watumishi wa Afya na Matajiri wanaishi kwa mazoea na kuwadharau raia wenye hali duni. Kichaa akafanya matajiri wawaogope na kuwaheshimu maskini vibaya mno.

10. Alikuta wenye akili wanatumia saa kadhaa toka Kigongo kwenda Busisi akawajengea daraja wapite fasta.

11. Alikuta tatizo kubwa sana la maji mkoani Arusha, akawajengea wajanga wa R chuga mradi wa bilioni 500 sahivi lema anaogelea tu huku anamtukana kichaa.

12. Alipanua bandari zote na kusisitiza kuwa tunaweza kutumia akili zetu kuziendesha kwa ufanisi lakini wenye akili wakasema sisi hatuwezi wakawapa waarabu na lile tapeli la India linalotafutwa na Marekani, yes lile lililofukuzwa hapo Kenya.

13. Kichaa aliyevunja mikataba ya kitapeli na makampuni yanayotuibia rasilimali za nchi na kuzuia usafirishaji wa makinikia mpaka mafisadi wakapanda ndege kuja kukubaliana upya na kufikia win-win situation.

Huyu ni kichaa mzuri, naam Kichaa wa nguvu.

Hapo sijazungumzia barabara, meli n.k
Natamani nikupe like million
 
Leo sina morari ya kuandika kiingereza; kwa manufaa ya wanaotaka kujua Sankara alisema nini juu ya ukichaa ni kuwa Sakara alisema wakati mwingine unaweza kuamua kuonekana kichaa ili uweze kuleta maendeleo ya kweli kwa wananchi. Hii ilitokana na Sankara Mwenyewe kukakataa mbinu za maendeleo zilizokuwa zimeamriwa na wahisani wa nje ikiwemo wb na nchi za magharibi kuwa zitumike nchini Burkina Faso huku mbinu hizo zikiwa zimeishathibitisha hazina manufaa huko zilipokuwa zimetumika!
Hayo hata Nyerere aliyasema, kabla ya Sankara, labda wewe hujui ndiyo maana unaona Sankara kasema something original.

Lakini pia, jilo halimaanishi kuwa hakuna kiongozi atakayekuwa na ukichaa wa kweli, sio huu ukichaa strategic.
 
1. Alikuta marais wenye akili wameua shirika la ndege, yeye akalifufua na kununua ndege 11 tena kwa cash. Huyu ni kichaa mzuri.

2. Alikuta wenye akili wameshindwa kuja na suluhu ya kudumu ya tatizo la umeme. Kichaa huyu akajenga Bwawa la Mwl Nyerere.

3. Alikuta maelfu ya watumishi hewa na matapeli waliokuwa na vyeti feki. Kichaa akawatembezea rungu, wakaanguka chalii.

4. Alikuta Reli yakati ikiwa hoi bin taaban baada ya marais wenye akili kushindwa kuiendesha. Kichaa akaanza kujenga reli ya SGR ili wenye akili wasafiri kwa raha.

5. Alikuta changamoto kubwa ya foleni Dar baada ya wenye akili kusema kuwa foleni ni kipimo cha maendeleo. Kichaa akajenga Kijazi, Mfugale na Tanzanite ili wenye akili wawahi kufika waendapo.

6. Alikuta wenye akili wanaendelea kuendesha serikali yenye ofisi Dar wakati makao makuu ni Dodoma. Kichaa akawahamishia wote Dodoma kwa lazima na kuanzisha ujenzi wa mji wa serikali.

7. Alikuta wenye akili wanatumia ikulu waliyojengewa na wakoloni, Kichaa akaamua kujenga ikulu mpya Chamwino tena ikajengwa na Wanajeshi wazalendo.

8. Alikuta huduma mbovu za Afya. Kichaa akajenga Hospitali kubwa za kanda Njombe, Mtwara, Mara na Geita + Hospitali za rufaa 67 na vituo vya Afya 1000+. Huyu kweli alikuwa chizi.

9. Alikuta watumishi wa Afya na Matajiri wanaishi kwa mazoea na kuwadharau raia wenye hali duni. Kichaa akafanya matajiri wawaogope na kuwaheshimu maskini vibaya mno.

10. Alikuta wenye akili wanatumia saa kadhaa toka Kigongo kwenda Busisi akawajengea daraja wapite fasta.

11. Alikuta tatizo kubwa sana la maji mkoani Arusha, akawajengea wajanga wa R chuga mradi wa bilioni 500 sahivi lema anaogelea tu huku anamtukana kichaa.

12. Alipanua bandari zote na kusisitiza kuwa tunaweza kutumia akili zetu kuziendesha kwa ufanisi lakini wenye akili wakasema sisi hatuwezi wakawapa waarabu na lile tapeli la India linalotafutwa na Marekani, yes lile lililofukuzwa hapo Kenya.

13. Kichaa aliyevunja mikataba ya kitapeli na makampuni yanayotuibia rasilimali za nchi na kuzuia usafirishaji wa makinikia mpaka mafisadi wakapanda ndege kuja kukubaliana upya na kufikia win-win situation.

Huyu ni kichaa mzuri, naam Kichaa wa nguvu.

Hapo sijazungumzia barabara, meli n.k
Good article.
 
Back
Top Bottom