Hachafuliki: Tunampenda Rais Dikteta na Kichaa Aliyefanya haya

Malipo ni hapa hapa duniani. Hata yeye kanali fuvu tu shimoni huku kina Kiasi na Kabendera wakila ugali. Nadhani ungeuliwa mama yako usingekuwa humu kukenua

Wewe hutoshi kusifia mpaka utaka support yangu? Wewe umechagua kusifia mimi nitapakaza. Ni mgawanyo wa majukumu tu.
 
Hakuna raisi asiyemwaga damu, nitajie ni raisi yupi toka Nyerere hadi Samia hajawahi kumwaga damu za watu. Unadhani kuongoza nchi ni sawa na kuiongoza familia yako ya watu watano?
Akimwaga damu yako na kukuua kwa sababu hakuna rais asiyemwaga damu itakuwa sawa tu?

Au ni sawa kwa damu ya wenzako tu, yako si sawa?
 
Tunamhitaji sana kichaa wa kutuletea maendeleo ya namna hiyo. !

Wenye Akili hoi ! Goli 3 - 0 😱 !
 
Hawawaoni kina mzee Kibao wameuawa kwa kuchukuliwa mchana kweupe na bado ushungi akapigilia kifo ni kifo tu, kina Sativa wamevunjwa taya ila kwakuwa kafanya sponsor wao wanakenua meno, kina Soka na wenzake hawajulikani mpaka leo ila kwa kuwa kafanya mama wa nchi jirani wanaona kheri tu. Bandari zinapigwa mnada na bahari na maziwa vinamilikishwa kwa wageni sisi tuko busy kunanga asiyeweza kujitetea.
 
Akimwaga damu yako na kukuua kwa sababu hakuna rais asiyemwaga damu itakuwa sawa tu?

Au ni sawa kwa damu ya wenzako tu, yako si sawa?
Itakuwa sawa tu, au unadhani namuongelea binadamu wa kufikirika?
 
Greatest Of All Time nimekutukana tusi la nguoni kubwa kabisa. Wewe aiza ulikuwa fisadi, vyeti fake. Wazalendo ambao ndiyo tupo wengi Dkt Magufuli atabaki kuwa kielelezo cha uzalendo. Pole sana kwa chuki yako ila sisi ndiyo tunampenda sana tena sana.
 
.
 
Alikuta wasimamizi wa migodi yote Tanzania Yaani Barrick wakichukua faida yote iliyokuwa ikipatikana pekeyao akaunda Kampuni ya Twiga Ili faida mgao uwe 59% 50%, aisee huyu alikuwa chizi kupitiliza
 
Na wewe kichaa umepost akili kubwa... Hongera!!!



...Ni Hayo Tu!!
 
Yoyote anakayekata mirija ya wapigaji atafanyiwa kampeni kama hii. Wengi CCM, Samia Wengi Chadema, Mbowe, Zitto, Act adui wao mkubwa ni JPM sio ufisadi, uzembe, rushwa, kutowajibikaji wala kulinda maliadili za Taifa.

Umemuona Zitto, Mbowe, Samia wanakemea ufisadi, rushwa, uzembe, wizi wa maliasili za nchi hii?
 
13.Ali fanya elimu kuwa bure ili wananchi wote wenye navyo na wasio kuanavyo waweze kupata huduma hii muhimu kwaajili ya ukombozi wa fikra zao na kufungua maisha yao mi ni shuhuda wa jinsi elimu bure ilivo nisadia had leo hii nilipo mimi hilo tu linanitosha kumtaja kama kiongozi bora kabisa ktk historia ya nchi hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…