Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,582
- 26,053
mshamba_hachekwiWhite hat hackers mpo wapi?
Cyber security experts let us meet here and exchange different ideas.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mshamba_hachekwiWhite hat hackers mpo wapi?
Cyber security experts let us meet here and exchange different ideas.
Wabongo tuna tabu sana aisee, ukishajua kuchezea intanet unajiona hackers
OkayPia wanatuma sana hizi sms inbox be careful about this
Hatari Sana.Wabongo tuna tabu sana aisee, ukishajua kuchezea intanet unajiona hackers
Huyo alikuwa anatumia Window hahaha Ransomware Virus Haiingii kwenye Linux yoyoteHatari Sana.
Nna ndugu alikua akija home mtu wa Wire shark Mara Kali Linux Mara man of Oracle ...alijichangnya sijui akaingia wapi PC ikapigwa kitu kugeuka Lugha ni kutoka kwa Putin ...neno lililosomeka ni namba za hela alizotakiwa kutoa ( Ransomware )
Hatari Sana.
Nna ndugu alikua akija home mtu wa Wire shark Mara Kali Linux Mara man of Oracle ...alijichangnya sijui akaingia wapi PC ikapigwa kitu kugeuka Lugha ni kutoka kwa Putin ...neno lililosomeka ni namba za hela alizotakiwa kutoa ( Ransomware )
Wabongo mkishaweza kurudisha akaunti za Facebook zilizoibiwa bc mnajiona hackers 😂
Tulikuwa hatupumui akija hamkai kwa Raha.Linux haiwezi kusumbulia na virus hovyo
Hivi pale UDOM wanaosimamia system wapo kweli ?UDOM Kuna cyber security, MUST,UDSM,DIT,ATC hawa computer science wote wanaosoma huku unataka kusema ni washamba
Mm nataka hacker aweze kufanya kitu mpaka umma ukamjua na sio mambo ya kudukua sms ya mpenziUDOM Kuna cyber security, MUST,UDSM,DIT,ATC hawa computer science wote wanaosoma huku unataka kusema ni washamba
Mm nataka hacker aweze kufanya kitu mpaka umma ukamjua na sio mambo ya kudukua sms ya mpenzi
Mm nataka hacker aweze kufanya kitu mpaka umma ukamjua na sio mambo ya kudukua sms ya mpenzi
Sifahamu kwa kweli ila lazima wawepoHivi pale UDOM wanaosimamia system wapo kweli ?
😂ni Kali Linux auTulikuwa hatupumui akija hamkai kwa Raha.
Tafuta Discord channel au telegram huku wambea ni wengi sana
Course za Udem possible but not website za E-commerceMkuu waweza hack app ya vitabu?, ni ya kulipia ila 60k a month.
Sio lazima ajulikane kwa jina au sura, bc tuu ht tusikie kuna mbongo kafanya jamboMoja ya sifa ya ma hackers ni anonymous Sasa wewe unataka public wamjue ili nini?