Hackers tukutane hapa!

Hackers tukutane hapa!

Wabongo tuna tabu sana aisee, ukishajua kuchezea intanet unajiona hackers
Hatari Sana.
Nna ndugu alikua akija home mtu wa Wire shark Mara Kali Linux Mara man of Oracle ...alijichangnya sijui akaingia wapi PC ikapigwa kitu kugeuka Lugha ni kutoka kwa Putin ...neno lililosomeka ni namba za hela alizotakiwa kutoa ( Ransomware )
 
Hatari Sana.
Nna ndugu alikua akija home mtu wa Wire shark Mara Kali Linux Mara man of Oracle ...alijichangnya sijui akaingia wapi PC ikapigwa kitu kugeuka Lugha ni kutoka kwa Putin ...neno lililosomeka ni namba za hela alizotakiwa kutoa ( Ransomware )
Huyo alikuwa anatumia Window hahaha Ransomware Virus Haiingii kwenye Linux yoyote
 
Linux haiwezi kusumbulia na virus hovyo
Hatari Sana.
Nna ndugu alikua akija home mtu wa Wire shark Mara Kali Linux Mara man of Oracle ...alijichangnya sijui akaingia wapi PC ikapigwa kitu kugeuka Lugha ni kutoka kwa Putin ...neno lililosomeka ni namba za hela alizotakiwa kutoa ( Ransomware )
 
UDOM Kuna cyber security, MUST,UDSM,DIT,ATC hawa computer science wote wanaosoma huku unataka kusema ni washamba
Mm nataka hacker aweze kufanya kitu mpaka umma ukamjua na sio mambo ya kudukua sms ya mpenzi
 
Back
Top Bottom