Uchaguzi 2020 Hadhi ya Lissu ni sawa na wagombea ubunge, tusimlinganishe na Rais Magufuli

Uchaguzi 2020 Hadhi ya Lissu ni sawa na wagombea ubunge, tusimlinganishe na Rais Magufuli

Tuwe wawazi japo kwa mara moja...

Tundu Lissu ni msomi kweli kweli.

Ukimsikiliza katikati ya mstari unabaini kweli ni mtu anayezungumza kweli kweli.

Hata lugha yake ina ujazo na uzito!


Kwahiyo unataka kuniambia mgombea wetu hajui lugha ya malkia sawa sawa !.
 
Ndugu zangu,

Kuna baadhi ya kikundi wanalazimisha kwa kufanya propaganda kuwa Tundu Lissu ni sawa na Raisi Magufuli, wanaenda mbali kwa kutaka ''mdahalo'', sijui nini na nini. Tuweke taarifa sawa, Tundu Lissu sifa zake ni hizi;
  1. Anagombea urais kutafuta ruzuku ya chadema ili angalau baada ya uchaguzi aweze kupata chochote
  2. Anaogombea urais ili kuwaridhisha wafadhili wake; mfano mzuri hata hadhira na mambo anayozungumza yanahusu wakenya na wazungu.
  3. Tundu Lissu anaamini miundombinu, hospitali,shule nk ni maendeleo ya vitu sio watu; sasa hapa kufanya naye mjadala wenye akili watakushangaa. Ni sawa na kumkimbiza kichaa.
Kwa hoja hizo tatu itoshe kusema inashangaza kuona baadhi ya watu wanaoamini kuwa Tundu Lissu anamaanisha analolofanya kiasi cha kumlinganisha na Rais John Magufuli ambaye ametekeleza kwa kufanya mambo makubwa kwenye ujenzi wa nchi. Magufuli anapaswa kufanya yafuatayo;
  1. Anapaswa kwa makini kutulia na kuona ni jinsi gani atatimiza manifesto (ilani) ya Chama cha Mapinduzi (CCM), ikumbukwe mambo mengi ametekeleza kuzidi matarajio (2015-2020) na sio kujadili mdahalo wa kujadili kuwa miundombinu ni maendeleo ya watu au vitu?
  2. Huyu ni mtu anayetumia akili kufikiri namna ya kuwaletea wananchi kwa kutumia rasilimali zilizopo na sio kufurahisha watu wa nje.
Aah itoshe kusema, Raisi Magufuli hahitaji kujieleza, yeye keshatenda. Ni jukumu la Lissu kuwaambia watanzani Je Barrick/Accacia wameshinda kesi MIGA?

Wasalaam.
Kama wanataka mdahalo saizi yake Lissu ni Mzee Rungwe Sipunda,hao wanaotaka mdahalo waambieni hatuli midahalo,sisi tunajua utendaji uliotukuka wa serikali ya CCM,ilani zinatekelezwa huyo wa midahalo akafanye na Sackur
 
Ndugu zangu,

Kuna baadhi ya kikundi wanalazimisha kwa kufanya propaganda kuwa Tundu Lissu ni sawa na Raisi Magufuli, wanaenda mbali kwa kutaka ''mdahalo'', sijui nini na nini. Tuweke taarifa sawa, Tundu Lissu sifa zake ni hizi;
  1. Anagombea urais kutafuta ruzuku ya chadema ili angalau baada ya uchaguzi aweze kupata chochote
  2. Anaogombea urais ili kuwaridhisha wafadhili wake; mfano mzuri hata hadhira na mambo anayozungumza yanahusu wakenya na wazungu.
  3. Tundu Lissu anaamini miundombinu, hospitali,shule nk ni maendeleo ya vitu sio watu; sasa hapa kufanya naye mjadala wenye akili watakushangaa. Ni sawa na kumkimbiza kichaa.
Kwa hoja hizo tatu itoshe kusema inashangaza kuona baadhi ya watu wanaoamini kuwa Tundu Lissu anamaanisha analolofanya kiasi cha kumlinganisha na Rais John Magufuli ambaye ametekeleza kwa kufanya mambo makubwa kwenye ujenzi wa nchi. Magufuli anapaswa kufanya yafuatayo;
  1. Anapaswa kwa makini kutulia na kuona ni jinsi gani atatimiza manifesto (ilani) ya Chama cha Mapinduzi (CCM), ikumbukwe mambo mengi ametekeleza kuzidi matarajio (2015-2020) na sio kujadili mdahalo wa kujadili kuwa miundombinu ni maendeleo ya watu au vitu?
  2. Huyu ni mtu anayetumia akili kufikiri namna ya kuwaletea wananchi kwa kutumia rasilimali zilizopo na sio kufurahisha watu wa nje.
Aah itoshe kusema, Raisi Magufuli hahitaji kujieleza, yeye keshatenda. Ni jukumu la Lissu kuwaambia watanzani Je Barrick/Accacia wameshinda kesi MIGA?

Wasalaam.


Watu wa usalama wote tunawajua fanyeni Kazi kwa nchi sio matumbo yenu🤣 makada
 
Mm nashawashangaa watu wanaosema watakula ma fryover hivi mnajua kero ya foreni iliyokuwepo kabla? Umetoka zako pengine bukoba au kigoma umechoka na safari unaanza kukutana na foreni mula ndizi mpaka kufika ubungo unajisikia je? Acheni kupinga kila kitu munajiabisha leteni hoja namna gani upinzani utatutoa hapa tulipo kwenda sehemu nyingine nzuri zaidi ili watu tuvutiwe na sera, sio malalamiko tu ambayo hayana tija,wa suruhu vinginevyo tutawaona kama kundi la wahuni tu wasio itakia mema inchi yetu kwa kupinga kila kitu hata kitu ambacho kina manufaa kwenye jamii nikupinga tu.
 
Ndugu zangu,

Kuna baadhi ya kikundi wanalazimisha kwa kufanya propaganda kuwa Tundu Lissu ni sawa na Raisi Magufuli, wanaenda mbali kwa kutaka ''mdahalo'', sijui nini na nini. Tuweke taarifa sawa, Tundu Lissu sifa zake ni hizi;
  1. Anagombea urais kutafuta ruzuku ya chadema ili angalau baada ya uchaguzi aweze kupata chochote
  2. Anaogombea urais ili kuwaridhisha wafadhili wake; mfano mzuri hata hadhira na mambo anayozungumza yanahusu wakenya na wazungu.
  3. Tundu Lissu anaamini miundombinu, hospitali,shule nk ni maendeleo ya vitu sio watu; sasa hapa kufanya naye mjadala wenye akili watakushangaa. Ni sawa na kumkimbiza kichaa.
Kwa hoja hizo tatu itoshe kusema inashangaza kuona baadhi ya watu wanaoamini kuwa Tundu Lissu anamaanisha analolofanya kiasi cha kumlinganisha na Rais John Magufuli ambaye ametekeleza kwa kufanya mambo makubwa kwenye ujenzi wa nchi. Magufuli anapaswa kufanya yafuatayo;
  1. Anapaswa kwa makini kutulia na kuona ni jinsi gani atatimiza manifesto (ilani) ya Chama cha Mapinduzi (CCM), ikumbukwe mambo mengi ametekeleza kuzidi matarajio (2015-2020) na sio kujadili mdahalo wa kujadili kuwa miundombinu ni maendeleo ya watu au vitu?
  2. Huyu ni mtu anayetumia akili kufikiri namna ya kuwaletea wananchi kwa kutumia rasilimali zilizopo na sio kufurahisha watu wa nje.
Aah itoshe kusema, Raisi Magufuli hahitaji kujieleza, yeye keshatenda. Ni jukumu la Lissu kuwaambia watanzani Je Barrick/Accacia wameshinda kesi MIGA?

Wasalaam.

Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana huwezi kulinganisha na jf members. Kutoa maoni kwenye Uzi kama huu ni kujidhalilisha.
 
Miga vipi? Nyie barrick mmeshinda kesi?

..barrick wameshinda.

..walikuwa wanadaiwa usd 191 billion na wameweza kuteremsha deni hilo mpaka usd 300 million.

..na tangu 2017 mpaka leo bado hawajamaliza kulipa.
 
Ndugu zangu,

Kuna baadhi ya kikundi wanalazimisha kwa kufanya propaganda kuwa Tundu Lissu ni sawa na Raisi Magufuli, wanaenda mbali kwa kutaka ''mdahalo'', sijui nini na nini. Tuweke taarifa sawa, Tundu Lissu sifa zake ni hizi;
  1. Anagombea urais kutafuta ruzuku ya chadema ili angalau baada ya uchaguzi aweze kupata chochote
  2. Anaogombea urais ili kuwaridhisha wafadhili wake; mfano mzuri hata hadhira na mambo anayozungumza yanahusu wakenya na wazungu.
  3. Tundu Lissu anaamini miundombinu, hospitali,shule nk ni maendeleo ya vitu sio watu; sasa hapa kufanya naye mjadala wenye akili watakushangaa. Ni sawa na kumkimbiza kichaa.
Kwa hoja hizo tatu itoshe kusema inashangaza kuona baadhi ya watu wanaoamini kuwa Tundu Lissu anamaanisha analolofanya kiasi cha kumlinganisha na Rais John Magufuli ambaye ametekeleza kwa kufanya mambo makubwa kwenye ujenzi wa nchi. Magufuli anapaswa kufanya yafuatayo;
  1. Anapaswa kwa makini kutulia na kuona ni jinsi gani atatimiza manifesto (ilani) ya Chama cha Mapinduzi (CCM), ikumbukwe mambo mengi ametekeleza kuzidi matarajio (2015-2020) na sio kujadili mdahalo wa kujadili kuwa miundombinu ni maendeleo ya watu au vitu?
  2. Huyu ni mtu anayetumia akili kufikiri namna ya kuwaletea wananchi kwa kutumia rasilimali zilizopo na sio kufurahisha watu wa nje.
Aah itoshe kusema, Raisi Magufuli hahitaji kujieleza, yeye keshatenda. Ni jukumu la Lissu kuwaambia watanzani Je Barrick/Accacia wameshinda kesi MIGA?

Wasalaam.
Tuliza mshono huo ili dawa ya mh Lissu ikuingie vizuri na upone
 
Ndugu zangu,

Kuna baadhi ya kikundi wanalazimisha kwa kufanya propaganda kuwa Tundu Lissu ni sawa na Raisi Magufuli, wanaenda mbali kwa kutaka ''mdahalo'', sijui nini na nini. Tuweke taarifa sawa, Tundu Lissu sifa zake ni hizi;
  1. Anagombea urais kutafuta ruzuku ya chadema ili angalau baada ya uchaguzi aweze kupata chochote
  2. Anaogombea urais ili kuwaridhisha wafadhili wake; mfano mzuri hata hadhira na mambo anayozungumza yanahusu wakenya na wazungu.
  3. Tundu Lissu anaamini miundombinu, hospitali,shule nk ni maendeleo ya vitu sio watu; sasa hapa kufanya naye mjadala wenye akili watakushangaa. Ni sawa na kumkimbiza kichaa.
Kwa hoja hizo tatu itoshe kusema inashangaza kuona baadhi ya watu wanaoamini kuwa Tundu Lissu anamaanisha analolofanya kiasi cha kumlinganisha na Rais John Magufuli ambaye ametekeleza kwa kufanya mambo makubwa kwenye ujenzi wa nchi. Magufuli anapaswa kufanya yafuatayo;
  1. Anapaswa kwa makini kutulia na kuona ni jinsi gani atatimiza manifesto (ilani) ya Chama cha Mapinduzi (CCM), ikumbukwe mambo mengi ametekeleza kuzidi matarajio (2015-2020) na sio kujadili mdahalo wa kujadili kuwa miundombinu ni maendeleo ya watu au vitu?
  2. Huyu ni mtu anayetumia akili kufikiri namna ya kuwaletea wananchi kwa kutumia rasilimali zilizopo na sio kufurahisha watu wa nje.
Aah itoshe kusema, Raisi Magufuli hahitaji kujieleza, yeye keshatenda. Ni jukumu la Lissu kuwaambia watanzani Je Barrick/Accacia wameshinda kesi MIGA?

Wasalaam.
Mwaka huu lazima urudi kwenu mwambani ukaanze tena kazi yako ya kuuza mabichi na samaki wa ziwa rukwa
 
Achieni media zitangaze habari zake, uoga wa nini? Au ndio mnaelewa sasa hivi kuwa wananchi hawali ndege wala flyover
Wanamuogopa utadhani yeye ndiye alikuwa anaendelea na kampeini kwa miaka mitano.
 
Alishasema ye ana damu ya kenya..maana alipoumwa aliwekewa damu nyingi ya wakenya..kwa hiyo hatupambani tu na mpinzani ndani ya nchi ila pia tunapambana na nchi jirani.
Mlivyo mpiga marisasi yote yale hamkujua kuwa angemwagika damu?
 
Media zina wengi wa kutangaza..sio yeye peke yake maana halipii airtime.
Sasa tulieni hiyo mishono yenu mh Lissu awajuze watanzania jinsi mnavyo iendesha nchi kiimla
 
Na wale waliokatisha ghafla. Mkuu jiulize kwa nini pamojana madai ya kunyoosha nchi miaka minne wananchi hawana kabisa hamu na CCM, hapa ndio swali la msingi. Ukijiuliza hili swali litasaidia kwenye masuala ya sera na vipaumbele kama Taifa. Huwezi kutumia matrilioni kununua ndege zaidi ya 10 wakati hali ya maisha ya watumishi haiboreshwi kimaslahi. Sasa tunakopa tu kila siku hito stigler mpaka leo, hata nyumbani huwezi kukazania kununua sofa zuri halafu mnashindia mihogo hata protein hampati ili tu akija mgeni aone unaishi pazuri. Mtapata utapia mlo afya izorote mpate na magonjwa mwisho mfe.

Na amini ndugu uchaguzi ukiwa huru na haki kutatokea mshangao mkubwa sana
Ccm kwa sasa hivi ndiyo inazidi kuchukiwa kila mahali hapa nchini na nje ya nchi.

Watu waliikuta nchi yenye watu wenye furaha wakaivuruga tu kwa ujeuri tu.
 
Hamtakaa msahau kosa mlilofanya kwakumzuia mbwa kubweka ndani ya miaka mitano wakati ndo tabia yake mkisingizoa kuwa bado ni mchana. Sasa usiku umefika kaamua kubweka kwa lazima mmeanza kuona ni kelele na zinawakera ili hali mlikubaliana naye usiku awe anabweka.
Wamesahau kuwa majuto ni mjukuu
 
****.... ACHA KUWEWESEKA! NEC HAWAJAFUNGULIA KAMPENI! LISSU HAFANYI KAMPENI. ANATAFUTA WADHAMINI. KWAIO HATAKIWI KUFANYA KAMPENI YOYOTE. SASA ULITAKA AWAAHIDI MAJI AU UMEME WANANCHI WAKATI MUDA WA KAMPENI BADO??
Point
 
Back
Top Bottom