Hadi Juni 2024, zimeripotiwa taarifa za watu zaidi ya 50 waliotekwa na kupotezwa kabisa

Sawa lakini usifanye ushindani kama huwezi kushinda
Dunia bado inakumbuka ujasiri wa mtu mmoja aliyeokoa maisha ya mamilioni ya Wachina kwa kusimama mbele ya matenki ya kivita huko China wakati wa mapinduzi kuzuia yasisonge mbele.


Alikuwa tayari kutoa uhai wake kutetea wananchi wenzake waliokuwa wanauawa kama panzi!​
 
Kila ubaya utalipwa
 
Lakini hata Mungu aliwasahaulisha tu kwenye lile Pori mbele ya Inyonga lina Fisi wengi kuliko Katavi proper.

Hiyo njia nimepita sana.
Nadhani utakuwa unamaanisha Hifadhi ya ipembampazi labda, iliyoungana na Wilaya ya Sikonge mkoa wa Tabora na imeingia kidogo upande wa katabi?
 
Kama ni kweli kuwa watu wanatelekezwa kwenye mbunga basi tatizo Ili litaleta madhara makubwa sana awa wanyama wataanza kuizoea nyama ya binadamu na itakuwa tatizo kubwa sana
 
MaCCM ni mauaji makubwa. Hizi mbinuza kiboya ndiyo yanatumia miaka nenda rudi kuua raia wasiokuwa na hatia na kupoteza ushahidi wote. MiCCM ni misenge sana
 
We mtu mbona una roho mbaya sana?
 
Kuna namna ya kudeal na haya mambo ya mifumo ya kidunia .... Vijana tuna jiamini sana na kusahau penye maslahi ya watu uhai hua ni chembe ya haradani.... Hii ni principal sehemu zote zenye maslahi ukicheza kidogo umepotea...

Sio Kila vita ni ya kupigana na usipigane kama humjui adui Yako vizuri, ukiwajua watanzania hasa WA mitandaoni sidhani kama unaweza kupigana vita Kwa kuwategemea utashindwa tu.

Mtasema sana ila wahusika washafikisha ujumbe Kwa wote waliokua Arusha na Katavi....

Dunia ya Leo inahitaji uelewa mapana sana ukijipambanua tu kama adui wa mifumo UTATUMIKA kupima nguvu ya mifumo ikoje. Na hapa jua UTAUMIZWA tu hata kama mchakato WA kukutumia ulikua unaendelea na haujatimia

Kabla ya kuingia pima kina Cha maji kwanza na ukianza kupokea simu za deals mbalimbali Kwa sababu unamovement flani inayo husisha kuliumiza kundi flani jua umeshajaa kwenye MIFUMO ya wenye uwezo zaidi Yako.

Wakuelewa na aelewe.
 
Unatekwa, unapigwa, unaminywa kolozidad, yote hayo kwa faida ya nani?

Ukisema, eti, unapigania haki za Watanzania, hapana. Mimi na familia yangu hatujakutuma ukatupiganie.
 
Wapi huko maana kama ni pale Tiananen Square Serikali ilizima maandamano Kwa vikosi vya Jeshi
 
Umefafanua vyema. Vijana wakubali tu kuna wababe ambao ukigusa maslahi yao hawana huruma. Pia hawa wanaharakati na viongozi wa upinzani zile ndo kazi zao ila na wao nyuma ya pazia wanakula na hao hao wanaowapinga. Vijana wanajazana ujinga Twitter na matokeo yake baadhi huumia. Hakuna mtoto wa kiongozi mkubwa wa upinzani utamkuta mahakamani kijinga au kwenye mabalaa yoyote kwasababu wazazi wao wanawazuia wasijiingize kwenye kazi zao.
 
Inamaana hapo Dar es salaam hakuna mahala kuna chatu? Walishindwa kumtupa deep sea hapo na kumonitor survival yake in 30mins tu.

Nahisi Arusha na Katavi bado kulikuwa na project inayoendelea, kuna walichokuwa wanatafuta.
Uhai wa binadamu usidhani ni kama wa mnyama? Unakumbuka dokta ulimboka alivyopona kuuawawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…