Hadi Juni 2024, zimeripotiwa taarifa za watu zaidi ya 50 waliotekwa na kupotezwa kabisa

Hadi Juni 2024, zimeripotiwa taarifa za watu zaidi ya 50 waliotekwa na kupotezwa kabisa

"Uchambuzi huu Kwa hisani ya Boniyai"

Mwaka huu 2024 pekee yake binafsi nime’ ripoti taarifa za watu zaidi ya 50 waliotekwa na kupotezwa kabisa.

Hawa ni baadhi tu ya watu waliopotea kwa kutekwa na kisha taarifa zao kutopatikana mahala popote ikiwemo vituo vya Polisi na Hospitali katika vyumba vya kuhifadhia maiti.

1. Herman William
2. David Gasper Lema
3. Ridhiwani Hemed Msangi
4. ⁠Hamza Said
5. ⁠Paul Jerome Kisoka
6. ⁠Gidion Michael Mwihumbo
7. Kelvin Sebastian Mkabai
8. Benson Erasto Arbogast Ishungisa
9. Casian Mazambo
10. Charles Aden Mwampyate na wengine zaidi ya 40

Tofauti na tulivyozoea kuona matukio ya Jinai mengine ambapo mtu akiuwawa au Kutekwa baada ya muda ndugu na jamaa zake wanaweza kuokota mwili au mabaki ya mwili baada ya kuuwawa.

Miaka ya hivi karibuni imekuwa ni tofauti kidogo, ndugu au Jamaa yako akitekwa akapotea na kuuwawa

Basi uwezekano wa kupata taarifa juu ya kifo cha ndugu yenu ni mdogo sana

Na uwezekano hata wa kupatikana kwa mwili au mabaki ya mwili umekuwa ni mgumu sana.

Bila shaka wauaji wameacha ile mbinu ya zamani ya kuua na kupeleka maiti vyumba vya kuhifadhia maiti

Kuua na kuteleleza mwili barabarani, kuua na kutupa mwili ukiwa katika mifuko ya sandarusi au viroba.Kuua na Kutupa mwili katika bahari au mito

Kwa tukio hili la Edger Edson Mwakabela (Sativa) limetufundisha kuwa watekaji na wauwaji wana mbinu mpya ambayo inapoteza ushahidi kwa 100%.

Mbinu hii ni ya kupeleka watu matika mbuga za wanyama au hifadhi za taifa zenye wanyama wakali, ili baada ya kukuua mwili wako utafunwe na wanyama wa porini.

Edger Edson Mwakabela (SATIVA ) anasema watesi wake walio mteka siku ya tarehe 23 June 2024 walimchukua Dar es saalam kisha kumpaki katika karakana za Kituo cha polisi Oysterbay, Mkoa wa kipolisi wa Kinondoni na baadae kuanza kuelekea naye mkoani Arusha.

Kwanini Arusha? Kwa akili za haraka utagundua walielekea mkoa wenye Mbuga nyingi za Jirani za Wanyama wakali wenye uwezo wa kula mwili na mifupa yake kama Serengeti, Ngorongoro,Manyara na Tarangire.

Lakini huenda kwa sababu ya msimu wa watalii na ubize wa wageni katika mbuga hizi,Wauwaji wa Edger Edson Mwakabela waliamua kuchagua eneo lingine mbali kabisa baada yabkuona mbuga za Arusha hazina utulivu nyakati hizi

Wakaanza safari ya masaa 15 yenye umbali wa Kilomita 1091 ya kutoka Arusha kuelekea huko hifadhi ya ya Taifa ya Katavi wilaya ya Mlele

Sababu ni moja tu.Walifuata Fisi wenye madoa madoa (Spotted hyena) ambao wanasifa ya kunusa mzoga kuutafuna wote hadi mifupa ikaisha

Hifadhi ya Taifa ya Katavi ina ukubwa wa kilomita za mraba 4,471 (maili za mraba 1,727) ipo Kusini Magharibi mwa Tanzania,kaskazini mwa ziwa Tanganyika, Kilomita 40 kutoka Mji wa mpanda.

"an estimated 4,000 elephants might converge on the area,together with several herds of 1,000-plus buffalo, while an abundance of giraffe, zebra,impala and reedbuck provide easy pickings for the numerous lion prides and spotted hyena clans."

Spotted hyena ndiyo siri ya wauaji ya Edger Edson Mwakabela kutembea umbali wa Kilomita 1,091 kutafuta hifadhi ya Taifa ya Katavi wanakopatika Fisi wa aina hiyo.

Walikuwa wana uhakika wa kuua na kupoteza ushahidi kwa haraka sana, ndani ya masaa 12 tu pasingebaki mabaki ya mwili.

Na ili wasibahatishe kazi yao wakahakikisha wanatekeleza mauaji pembeni ya Mto Ikuu unaosifika kwa Mamba wakali sana pamoja viboko wengi.

Kwa mujibu wa wenyeji wanaoishi pembezoni mwa msitu wa hifadhi wa Katavi wanashangaa imekuwaje mtu huyo ameweza kupatikana akiwa hai bila kutafunwa na fisi au Mamba

Wenyeji wanasema Jamaa ana bahati sana,aende akatoe sadaka,ule msitu nusu saa tu ni nyingi sana sana kuishi,wanyama wanakutafuna

Sasa nimejiridhisha kwa mbinu hii miili ya watu waliopotea kwa miaka ya hivi karibuni tusiwe na matumaini ya kuja kupatikana.

Au kupata ushahidi wa mabaki yao, kama wauaji wanatumia mbinu ya Kuua ndani ya hifadhi na kutelekeza mwili wako ili utafunwe na wanyama.

View attachment 3028293View attachment 3028294View attachment 3028295
Jamaa ka-connect dots kijinga sana! Wala hata haina uhusiano. Yaani watembee na kimzoga chako kutoka Dar mpaka kote huko kwani mamba wa mto Wami wameisha kama walitaka kupoteza ushahidi? Mapinzani kuna wakati yanakuwa majinga majinga tu!
 
Hii inaitwa dunia ndugu yangu, usiongee Sana Hadi unakufuru kiasi hiki maana hujui kesho inaweza kumkuta ndugu yako au Mtoto wako.
Akitukana hata km ni ndugu yangu ashikishwe adabu TU huko huko aliko mnapenda sana kutukana ovyo mnatukana mpaka MAJINI Jini unakutana nalo mtandaoni unaanza kulitukana mitusi mibovu mibovu alafu ukitegemea utatetewa kwa upumbavu wako
 
"Uchambuzi huu Kwa hisani ya Boniyai"

Mwaka huu 2024 pekee yake binafsi nime’ ripoti taarifa za watu zaidi ya 50 waliotekwa na kupotezwa kabisa.

Hawa ni baadhi tu ya watu waliopotea kwa kutekwa na kisha taarifa zao kutopatikana mahala popote ikiwemo vituo vya Polisi na Hospitali katika vyumba vya kuhifadhia maiti.

1. Herman William
2. David Gasper Lema
3. Ridhiwani Hemed Msangi
4. ⁠Hamza Said
5. ⁠Paul Jerome Kisoka
6. ⁠Gidion Michael Mwihumbo
7. Kelvin Sebastian Mkabai
8. Benson Erasto Arbogast Ishungisa
9. Casian Mazambo
10. Charles Aden Mwampyate na wengine zaidi ya 40

Tofauti na tulivyozoea kuona matukio ya Jinai mengine ambapo mtu akiuwawa au Kutekwa baada ya muda ndugu na jamaa zake wanaweza kuokota mwili au mabaki ya mwili baada ya kuuwawa.

Miaka ya hivi karibuni imekuwa ni tofauti kidogo, ndugu au Jamaa yako akitekwa akapotea na kuuwawa

Basi uwezekano wa kupata taarifa juu ya kifo cha ndugu yenu ni mdogo sana

Na uwezekano hata wa kupatikana kwa mwili au mabaki ya mwili umekuwa ni mgumu sana.

Bila shaka wauaji wameacha ile mbinu ya zamani ya kuua na kupeleka maiti vyumba vya kuhifadhia maiti

Kuua na kuteleleza mwili barabarani, kuua na kutupa mwili ukiwa katika mifuko ya sandarusi au viroba.Kuua na Kutupa mwili katika bahari au mito

Kwa tukio hili la Edger Edson Mwakabela (Sativa) limetufundisha kuwa watekaji na wauwaji wana mbinu mpya ambayo inapoteza ushahidi kwa 100%.

Mbinu hii ni ya kupeleka watu matika mbuga za wanyama au hifadhi za taifa zenye wanyama wakali, ili baada ya kukuua mwili wako utafunwe na wanyama wa porini.

Edger Edson Mwakabela (SATIVA ) anasema watesi wake walio mteka siku ya tarehe 23 June 2024 walimchukua Dar es saalam kisha kumpaki katika karakana za Kituo cha polisi Oysterbay, Mkoa wa kipolisi wa Kinondoni na baadae kuanza kuelekea naye mkoani Arusha.

Kwanini Arusha? Kwa akili za haraka utagundua walielekea mkoa wenye Mbuga nyingi za Jirani za Wanyama wakali wenye uwezo wa kula mwili na mifupa yake kama Serengeti, Ngorongoro,Manyara na Tarangire.

Lakini huenda kwa sababu ya msimu wa watalii na ubize wa wageni katika mbuga hizi,Wauwaji wa Edger Edson Mwakabela waliamua kuchagua eneo lingine mbali kabisa baada yabkuona mbuga za Arusha hazina utulivu nyakati hizi

Wakaanza safari ya masaa 15 yenye umbali wa Kilomita 1091 ya kutoka Arusha kuelekea huko hifadhi ya ya Taifa ya Katavi wilaya ya Mlele

Sababu ni moja tu.Walifuata Fisi wenye madoa madoa (Spotted hyena) ambao wanasifa ya kunusa mzoga kuutafuna wote hadi mifupa ikaisha

Hifadhi ya Taifa ya Katavi ina ukubwa wa kilomita za mraba 4,471 (maili za mraba 1,727) ipo Kusini Magharibi mwa Tanzania,kaskazini mwa ziwa Tanganyika, Kilomita 40 kutoka Mji wa mpanda.

"an estimated 4,000 elephants might converge on the area,together with several herds of 1,000-plus buffalo, while an abundance of giraffe, zebra,impala and reedbuck provide easy pickings for the numerous lion prides and spotted hyena clans."

Spotted hyena ndiyo siri ya wauaji ya Edger Edson Mwakabela kutembea umbali wa Kilomita 1,091 kutafuta hifadhi ya Taifa ya Katavi wanakopatika Fisi wa aina hiyo.

Walikuwa wana uhakika wa kuua na kupoteza ushahidi kwa haraka sana, ndani ya masaa 12 tu pasingebaki mabaki ya mwili.

Na ili wasibahatishe kazi yao wakahakikisha wanatekeleza mauaji pembeni ya Mto Ikuu unaosifika kwa Mamba wakali sana pamoja viboko wengi.

Kwa mujibu wa wenyeji wanaoishi pembezoni mwa msitu wa hifadhi wa Katavi wanashangaa imekuwaje mtu huyo ameweza kupatikana akiwa hai bila kutafunwa na fisi au Mamba

Wenyeji wanasema Jamaa ana bahati sana,aende akatoe sadaka,ule msitu nusu saa tu ni nyingi sana sana kuishi,wanyama wanakutafuna

Sasa nimejiridhisha kwa mbinu hii miili ya watu waliopotea kwa miaka ya hivi karibuni tusiwe na matumaini ya kuja kupatikana.

Au kupata ushahidi wa mabaki yao, kama wauaji wanatumia mbinu ya Kuua ndani ya hifadhi na kutelekeza mwili wako ili utafunwe na wanyama.

View attachment 3028293View attachment 3028294View attachment 3028295
The case should be immediately filed at any cost, this time around the rogue gang should be identified and blacklisted for reprisal.

Tanzanians are fed up with these kinds of unlawful bodily harm and inhumane atrocities.

Coco Beach at public socialization..........route to Ubungo by motorbike taxi flanked by his brother.........part each other............victim takes another motorbike taxi to his residence...........en route intercepted by unknown gang........bundled in a van to a workshop next to US Embassy!!!..........at dawn the unknown kidnappers bundled again the helpless victim trekking him through the scrub to Arusha about 623Km....................there had been a temporary stop..........unconstitutional torturing was initiated.................the convoy drove to Mtimbwe within Katavi national park destined about 1,094Km at which an innocent soul was offloaded as a waste product for disposal................torturing climaxed beyond perseverance while the victim lamenting amid the wild animals...................the dark agents waited for a while to confirm demise of the critic but in vain.

The hungry wild animals boycotted to be incriminated for taking a human soul.......the dark agent could not hold the call for repentance..............
The motive to exterminate another life was eminent.............mechanized ball was discharged...................the rolling ball went astray smashing the victim through his mandible.....................the victim collapsed on the ground...............the dark agent fled from the scene being assured the prey had been consumed.

Shortly, the soft wind brings inhalation to the victim.............the sensory nerves recuperate, and slight energy is restored...............the victim opens up his eyes, it was too dark for his vision to imagine where he was abandoned. The hunting wild animals walked past him distantly until it was dawn when a passerby found him lying off-road side.................in the presence of a smartphone configured to navigate the media network, the victim's where-about was at last uncovered...

1. Who are the kidnappers of the victim?
2. Who planned, ordered execution, facilitated, and accomplished the kidnapping process?
2. How did they conveniently manage to intercept the victim, bundle him in their vehicle, and drive him through a journey that takes not less than 17 hours to accomplish the mission?
3. Why was the victim a target by the kidnappers and taken through Arusha located in the north, and thereafter trekked through to the west past the central zone without being challenged by the security agencies while en route?
 
Akitukana hata km ni ndugu yangu ashikishwe adabu TU huko huko aliko mnapenda sana kutukana ovyo mnatukana mpaka MAJINI Jini unakutana nalo mtandaoni unaanza kulitukana mitusi mibovu mibovu alafu ukitegemea utatetewa kwa upumbavu wako
Amemtukana Nani
 
"Uchambuzi huu Kwa hisani ya Boniyai"

Mwaka huu 2024 pekee yake binafsi nime’ ripoti taarifa za watu zaidi ya 50 waliotekwa na kupotezwa kabisa.

Hawa ni baadhi tu ya watu waliopotea kwa kutekwa na kisha taarifa zao kutopatikana mahala popote ikiwemo vituo vya Polisi na Hospitali katika vyumba vya kuhifadhia maiti.

1. Herman William
2. David Gasper Lema
3. Ridhiwani Hemed Msangi
4. ⁠Hamza Said
5. ⁠Paul Jerome Kisoka
6. ⁠Gidion Michael Mwihumbo
7. Kelvin Sebastian Mkabai
8. Benson Erasto Arbogast Ishungisa
9. Casian Mazambo
10. Charles Aden Mwampyate na wengine zaidi ya 40

Tofauti na tulivyozoea kuona matukio ya Jinai mengine ambapo mtu akiuwawa au Kutekwa baada ya muda ndugu na jamaa zake wanaweza kuokota mwili au mabaki ya mwili baada ya kuuwawa.

Miaka ya hivi karibuni imekuwa ni tofauti kidogo, ndugu au Jamaa yako akitekwa akapotea na kuuwawa

Basi uwezekano wa kupata taarifa juu ya kifo cha ndugu yenu ni mdogo sana

Na uwezekano hata wa kupatikana kwa mwili au mabaki ya mwili umekuwa ni mgumu sana.

Bila shaka wauaji wameacha ile mbinu ya zamani ya kuua na kupeleka maiti vyumba vya kuhifadhia maiti

Kuua na kuteleleza mwili barabarani, kuua na kutupa mwili ukiwa katika mifuko ya sandarusi au viroba.Kuua na Kutupa mwili katika bahari au mito

Kwa tukio hili la Edger Edson Mwakabela (Sativa) limetufundisha kuwa watekaji na wauwaji wana mbinu mpya ambayo inapoteza ushahidi kwa 100%.

Mbinu hii ni ya kupeleka watu matika mbuga za wanyama au hifadhi za taifa zenye wanyama wakali, ili baada ya kukuua mwili wako utafunwe na wanyama wa porini.

Edger Edson Mwakabela (SATIVA ) anasema watesi wake walio mteka siku ya tarehe 23 June 2024 walimchukua Dar es saalam kisha kumpaki katika karakana za Kituo cha polisi Oysterbay, Mkoa wa kipolisi wa Kinondoni na baadae kuanza kuelekea naye mkoani Arusha.

Kwanini Arusha? Kwa akili za haraka utagundua walielekea mkoa wenye Mbuga nyingi za Jirani za Wanyama wakali wenye uwezo wa kula mwili na mifupa yake kama Serengeti, Ngorongoro,Manyara na Tarangire.

Lakini huenda kwa sababu ya msimu wa watalii na ubize wa wageni katika mbuga hizi,Wauwaji wa Edger Edson Mwakabela waliamua kuchagua eneo lingine mbali kabisa baada yabkuona mbuga za Arusha hazina utulivu nyakati hizi

Wakaanza safari ya masaa 15 yenye umbali wa Kilomita 1091 ya kutoka Arusha kuelekea huko hifadhi ya ya Taifa ya Katavi wilaya ya Mlele

Sababu ni moja tu.Walifuata Fisi wenye madoa madoa (Spotted hyena) ambao wanasifa ya kunusa mzoga kuutafuna wote hadi mifupa ikaisha

Hifadhi ya Taifa ya Katavi ina ukubwa wa kilomita za mraba 4,471 (maili za mraba 1,727) ipo Kusini Magharibi mwa Tanzania,kaskazini mwa ziwa Tanganyika, Kilomita 40 kutoka Mji wa mpanda.

"an estimated 4,000 elephants might converge on the area,together with several herds of 1,000-plus buffalo, while an abundance of giraffe, zebra,impala and reedbuck provide easy pickings for the numerous lion prides and spotted hyena clans."

Spotted hyena ndiyo siri ya wauaji ya Edger Edson Mwakabela kutembea umbali wa Kilomita 1,091 kutafuta hifadhi ya Taifa ya Katavi wanakopatika Fisi wa aina hiyo.

Walikuwa wana uhakika wa kuua na kupoteza ushahidi kwa haraka sana, ndani ya masaa 12 tu pasingebaki mabaki ya mwili.

Na ili wasibahatishe kazi yao wakahakikisha wanatekeleza mauaji pembeni ya Mto Ikuu unaosifika kwa Mamba wakali sana pamoja viboko wengi.

Kwa mujibu wa wenyeji wanaoishi pembezoni mwa msitu wa hifadhi wa Katavi wanashangaa imekuwaje mtu huyo ameweza kupatikana akiwa hai bila kutafunwa na fisi au Mamba

Wenyeji wanasema Jamaa ana bahati sana,aende akatoe sadaka,ule msitu nusu saa tu ni nyingi sana sana kuishi,wanyama wanakutafuna

Sasa nimejiridhisha kwa mbinu hii miili ya watu waliopotea kwa miaka ya hivi karibuni tusiwe na matumaini ya kuja kupatikana.

Au kupata ushahidi wa mabaki yao, kama wauaji wanatumia mbinu ya Kuua ndani ya hifadhi na kutelekeza mwili wako ili utafunwe na wanyama.

View attachment 3028293View attachment 3028294View attachment 3028295
Hawa watekaji dawa yao imeisha chemka bado kuinywa pumbavu zao
 
Tutawataja majina yao yote soon, Tushaanza kazi
Watajua hawajii , mzazi anasema mwanangu nitumie pesa ya sukari , kumbe mwanae yupo kuteka watu na kuumiza watu , alafu anamtumia mzazi wake pesa ya lahana ,punbavu , Mungu nipe uvumikivu nikutane na machawa zitapigwa sana na kama hiotoshi ,nitakufa na wawili au wote tufe pumbavu zao
 
Hii ripoti ni aibu kubwa sana kwa Nape Nnauye na Makamba
 
20240628_213025.jpg
 
Mungu amezuia kifo Cha huyo ndugu Ili Mbinu ya wauaji ijulikane.
Ni kweli Mungu amezuia kifo, hatari iliyopo sasa ni hao Wauaji kubadili mbinu na kupoteza ushahidi kabisa.
 
Back
Top Bottom