Hadi Juni 2024, zimeripotiwa taarifa za watu zaidi ya 50 waliotekwa na kupotezwa kabisa

Jamaa ka-connect dots kijinga sana! Wala hata haina uhusiano. Yaani watembee na kimzoga chako kutoka Dar mpaka kote huko kwani mamba wa mto Wami wameisha kama walitaka kupoteza ushahidi? Mapinzani kuna wakati yanakuwa majinga majinga tu!
 
Hii inaitwa dunia ndugu yangu, usiongee Sana Hadi unakufuru kiasi hiki maana hujui kesho inaweza kumkuta ndugu yako au Mtoto wako.
Akitukana hata km ni ndugu yangu ashikishwe adabu TU huko huko aliko mnapenda sana kutukana ovyo mnatukana mpaka MAJINI Jini unakutana nalo mtandaoni unaanza kulitukana mitusi mibovu mibovu alafu ukitegemea utatetewa kwa upumbavu wako
 
The case should be immediately filed at any cost, this time around the rogue gang should be identified and blacklisted for reprisal.

Tanzanians are fed up with these kinds of unlawful bodily harm and inhumane atrocities.

Coco Beach at public socialization..........route to Ubungo by motorbike taxi flanked by his brother.........part each other............victim takes another motorbike taxi to his residence...........en route intercepted by unknown gang........bundled in a van to a workshop next to US Embassy!!!..........at dawn the unknown kidnappers bundled again the helpless victim trekking him through the scrub to Arusha about 623Km....................there had been a temporary stop..........unconstitutional torturing was initiated.................the convoy drove to Mtimbwe within Katavi national park destined about 1,094Km at which an innocent soul was offloaded as a waste product for disposal................torturing climaxed beyond perseverance while the victim lamenting amid the wild animals...................the dark agents waited for a while to confirm demise of the critic but in vain.

The hungry wild animals boycotted to be incriminated for taking a human soul.......the dark agent could not hold the call for repentance..............
The motive to exterminate another life was eminent.............mechanized ball was discharged...................the rolling ball went astray smashing the victim through his mandible.....................the victim collapsed on the ground...............the dark agent fled from the scene being assured the prey had been consumed.

Shortly, the soft wind brings inhalation to the victim.............the sensory nerves recuperate, and slight energy is restored...............the victim opens up his eyes, it was too dark for his vision to imagine where he was abandoned. The hunting wild animals walked past him distantly until it was dawn when a passerby found him lying off-road side.................in the presence of a smartphone configured to navigate the media network, the victim's where-about was at last uncovered...

1. Who are the kidnappers of the victim?
2. Who planned, ordered execution, facilitated, and accomplished the kidnapping process?
2. How did they conveniently manage to intercept the victim, bundle him in their vehicle, and drive him through a journey that takes not less than 17 hours to accomplish the mission?
3. Why was the victim a target by the kidnappers and taken through Arusha located in the north, and thereafter trekked through to the west past the central zone without being challenged by the security agencies while en route?
 
Akitukana hata km ni ndugu yangu ashikishwe adabu TU huko huko aliko mnapenda sana kutukana ovyo mnatukana mpaka MAJINI Jini unakutana nalo mtandaoni unaanza kulitukana mitusi mibovu mibovu alafu ukitegemea utatetewa kwa upumbavu wako
Amemtukana Nani
 
Hawa watekaji dawa yao imeisha chemka bado kuinywa pumbavu zao
 
Tutawataja majina yao yote soon, Tushaanza kazi
Watajua hawajii , mzazi anasema mwanangu nitumie pesa ya sukari , kumbe mwanae yupo kuteka watu na kuumiza watu , alafu anamtumia mzazi wake pesa ya lahana ,punbavu , Mungu nipe uvumikivu nikutane na machawa zitapigwa sana na kama hiotoshi ,nitakufa na wawili au wote tufe pumbavu zao
 
Hii ripoti ni aibu kubwa sana kwa Nape Nnauye na Makamba
 
Kama siku yako haijafika, hakuna namna we utakufa.
 
Mungu amezuia kifo Cha huyo ndugu Ili Mbinu ya wauaji ijulikane.
Ni kweli Mungu amezuia kifo, hatari iliyopo sasa ni hao Wauaji kubadili mbinu na kupoteza ushahidi kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…