Hadi leo najiuliza, ilikuwaje tukajenga SGR kwenda Burundi na kuacha kuboresha TAZARA kuwa SGR ambapo tungefika Congo kirahisi sana

Hadi leo najiuliza, ilikuwaje tukajenga SGR kwenda Burundi na kuacha kuboresha TAZARA kuwa SGR ambapo tungefika Congo kirahisi sana

Siku Saba zilizopita shirika la habari la Ujerumani DW wametoa makala nzuri sana kuelezea upekee wa Reli ya Tazara inayotoka Tanzania hadi Ndola nchini Zambia.

Wameelezea upekee wa reli hii na namna inavyopita kwenye mbuga maarufu za Selous na Mikumi na inavyopita mwenye milima ya Iringa hadi kuingia Zambia.

Waandaaji wa Makala hii wamehoji sana uchakavu wa reli hii na namna ambavyo serikali za nchi zetu zimeipuuza na kiufanya ichakae sana na kutoleta matunda yaliyokusudiwa!

Baada ya kuiona Makala hii nimegundua kuwa Reli ya Tazara inafika hadi Zambia ambapo Kuna urefu wa kilomita chache sana Kwenda Congo ambazo Pia zimeunganishwa na reli nyingine Kwenda Congo, Mji wa Lubumbashi ambao ni mji Mkuu wa kibiashara.

Kwa ninavyojua reli ya kati kwa Kiwango cha SGR mpaka mwanza na Kigoma itagharimu kiasi cha Trilioni si chini ya 25 kwa ujumla wa vipande vyote.

Jambo lililonishangaza ni kuwa tayari Reli ya Tazara inafika hadi Ndola Zambia na kuna Reli nyingine inafika hadi Lubumbashi , Congo kutoka Zambia.

Je haikuwa sahihi kwetu kuboresha Reli ya Tazara kwa Kiwango cha SGR na kuiwekea umeme na kuongea na Zambia kidiplomasia tukawakopesha hela za kuboresha reli kutoka Zambia hadi Lubumbashi Congo kwa Kiwango cha SGR?

Kwa mtazamo wangu naona gharama za kuboresha Reli ya Tazara kwenda Congo kwa Kiwango cha SGR ingekuwa ndogo sana kuliko kuijenga upya hadi Burundi na kuanza kuongea na Burundi ili waifikishe Congo jambo ambalo sidhani kama litakamilika hivi karibuni kutokana na hali ya kiuchumi ya Burundi! Na uhohehae wao kutokana na vita!

Nauliza swali hili kwenu wadau! Je kulikuwa na haja Kweli ya kujenga Reli ya SGR kwenda Kigoma na Mwanza? Au Tungeboresha tu TAZARA kuwa Kiwango cha SGR ambapo tungetumia gharama ndogo na kufika Congo kirahisi sana?



Hii ndo ramani ya Zambia inavyoonesha ukaribu wa Zambia na Lubumbashi Congo na urahisi wa kufika Congo kupitia reli ya TAZARA

Kwahiyo baada ya kujiuliza umepata jibu gani, hebu tujuze chap chap!
 
Reli inajengwa kwa mkopo! Kwa pesa za Watanzania si utalipa de I kwa miaka 300?
Itatuhudumia sisi wenyewe, Sasa shida iko wapi tukilipa hata kwa miaka buku? Huku tukisafiri Mwanza to dar kwa masaa 10 kwa Elfu 25 badala ya masaa 18 kwa Elfu 45, mtu wa shinyanga kununua simenti kwa 17,000 badala ya 22,000, nk.
 
Siku Saba zilizopita shirika la habari la Ujerumani DW wametoa makala nzuri sana kuelezea upekee wa Reli ya Tazara inayotoka Tanzania hadi Ndola nchini Zambia.

Wameelezea upekee wa reli hii na namna inavyopita kwenye mbuga maarufu za Selous na Mikumi na inavyopita mwenye milima ya Iringa hadi kuingia Zambia.

Waandaaji wa Makala hii wamehoji sana uchakavu wa reli hii na namna ambavyo serikali za nchi zetu zimeipuuza na kiufanya ichakae sana na kutoleta matunda yaliyokusudiwa!

Baada ya kuiona Makala hii nimegundua kuwa Reli ya Tazara inafika hadi Zambia ambapo Kuna urefu wa kilomita chache sana Kwenda Congo ambazo Pia zimeunganishwa na reli nyingine Kwenda Congo, Mji wa Lubumbashi ambao ni mji Mkuu wa kibiashara.

Kwa ninavyojua reli ya kati kwa Kiwango cha SGR mpaka mwanza na Kigoma itagharimu kiasi cha Trilioni si chini ya 25 kwa ujumla wa vipande vyote.

Jambo lililonishangaza ni kuwa tayari Reli ya Tazara inafika hadi Ndola Zambia na kuna Reli nyingine inafika hadi Lubumbashi , Congo kutoka Zambia.

Je haikuwa sahihi kwetu kuboresha Reli ya Tazara kwa Kiwango cha SGR na kuiwekea umeme na kuongea na Zambia kidiplomasia tukawakopesha hela za kuboresha reli kutoka Zambia hadi Lubumbashi Congo kwa Kiwango cha SGR?

Kwa mtazamo wangu naona gharama za kuboresha Reli ya Tazara kwenda Congo kwa Kiwango cha SGR ingekuwa ndogo sana kuliko kuijenga upya hadi Burundi na kuanza kuongea na Burundi ili waifikishe Congo jambo ambalo sidhani kama litakamilika hivi karibuni kutokana na hali ya kiuchumi ya Burundi! Na uhohehae wao kutokana na vita!

Nauliza swali hili kwenu wadau! Je kulikuwa na haja Kweli ya kujenga Reli ya SGR kwenda Kigoma na Mwanza? Au Tungeboresha tu TAZARA kuwa Kiwango cha SGR ambapo tungetumia gharama ndogo na kufika Congo kirahisi sana?



Hii ndo ramani ya Zambia inavyoonesha ukaribu wa Zambia na Lubumbashi Congo na urahisi wa kufika Congo kupitia reli ya TAZARA

Kwanza hii reli haiishii Ndola, bali New Kapiri Mposhi.
 
nadhani TAZARA kuna kitu na wachina huwa hatukijui, kwasababu umiliki wake naona hadi wazambia ndio lazima wawe MD na anakaa hapahapa dsm, wachini ndio anakuwa mbongo. alafu hiyo reli wachina wanasafirishia sana copper toka zambia na ni kama ili kuijenga kivyetu lazima wao waruhusu. manake ingekuwa sio lazima wao waruhusu (ambao ndio waliijenga kwa masharti fulani bila shaka) kwanini mbona hela hata sio nyingi ya kuliko kujenga, tungeweka tu line za nyaya za umeme na kuagiza train za umeme tuwe tunapiga dsm - mbeya kwa masaa manne, hadi zambia masaa 6, unaenda zambia na kurudi. kama kweli sisi tunaimiliki hiyo reli, kwanini hatuiboreshi?

jambo lingine, kuna ugonjwa wa kisukuma uliingia kwenye awamu iliyopita kila kitu kilikuwa kinaelekea chattle. ndio maana hata mimi hadi leo sioni umuhimu wowote wa lile daraja la kuvuka kwenye sengerema kama kuna meli/vivuko vilikuwa vinavusha pale, yale mamia ya mabilioni tungetumia kuboresha reli ya tazara ili tupige mizigo ya zambia, malawi, congo na zimbabwe.
 
Reli inatoka mkoa wa kwanza unachangia pato la taifa kwenda mkoa wa pili unachangia pato la taifa, wanaotoa hela nyingi kwanza wanaochangia hela kidogo baadae.
Hiyo takataka ya Mwanza inaweza rudisha hata 1/8 ya gharama za mradi?
 
Reli ya TAZARA alijenga kihistoria, Mkopo wa ujenzi wa Reli hii ulikamilika kulipwa awamu ya 5 ila hatujui mikataba iliyokaingiwa huko nyuma maana mchina nae mjanja lazima alichungulia fursa ya miaka 100 mbele.

Reli ya kati mkakati wake ni mizigo pamoja na abiria, ni Rahisi sana kupata abiri kwa reli ya kati kuliko Tazara japo sisemi kuwa si bora.

Reli ya kati itaenda kutuunganisha na kuboresha biashara kati ya Tanzania na Uganda, Tanzania na Rwanda, Tanzania na Burunduni pamoja na Congo

Kuna inchi kama 4 hapo ambazo zitarahusisha biashara na ndiyo maana awamu iliyopita iliwekeza sana kwenye miundombinu na usafirisha mpaka kwenye maji na ndiyo maana uliona MV Victoria kule Ziwa Victoria inaanza na nyingine inaendelea kuundwa, Ziwa Nyasa pia na Tanganyika.

Issue ni Strategic Plan tu
'Iliyokaingiwa' unatoka kusini weye.
 
Siku Saba zilizopita shirika la habari la Ujerumani DW wametoa makala nzuri sana kuelezea upekee wa Reli ya Tazara inayotoka Tanzania hadi Ndola nchini Zambia.

Wameelezea upekee wa reli hii na namna inavyopita kwenye mbuga maarufu za Selous na Mikumi na inavyopita mwenye milima ya Iringa hadi kuingia Zambia.

Waandaaji wa Makala hii wamehoji sana uchakavu wa reli hii na namna ambavyo serikali za nchi zetu zimeipuuza na kiufanya ichakae sana na kutoleta matunda yaliyokusudiwa!

Baada ya kuiona Makala hii nimegundua kuwa Reli ya Tazara inafika hadi Zambia ambapo Kuna urefu wa kilomita chache sana Kwenda Congo ambazo Pia zimeunganishwa na reli nyingine Kwenda Congo, Mji wa Lubumbashi ambao ni mji Mkuu wa kibiashara.

Kwa ninavyojua reli ya kati kwa Kiwango cha SGR mpaka mwanza na Kigoma itagharimu kiasi cha Trilioni si chini ya 25 kwa ujumla wa vipande vyote.

Jambo lililonishangaza ni kuwa tayari Reli ya Tazara inafika hadi Ndola Zambia na kuna Reli nyingine inafika hadi Lubumbashi , Congo kutoka Zambia.

Je haikuwa sahihi kwetu kuboresha Reli ya Tazara kwa Kiwango cha SGR na kuiwekea umeme na kuongea na Zambia kidiplomasia tukawakopesha hela za kuboresha reli kutoka Zambia hadi Lubumbashi Congo kwa Kiwango cha SGR?

Kwa mtazamo wangu naona gharama za kuboresha Reli ya Tazara kwenda Congo kwa Kiwango cha SGR ingekuwa ndogo sana kuliko kuijenga upya hadi Burundi na kuanza kuongea na Burundi ili waifikishe Congo jambo ambalo sidhani kama litakamilika hivi karibuni kutokana na hali ya kiuchumi ya Burundi! Na uhohehae wao kutokana na vita!

Nauliza swali hili kwenu wadau! Je kulikuwa na haja Kweli ya kujenga Reli ya SGR kwenda Kigoma na Mwanza? Au Tungeboresha tu TAZARA kuwa Kiwango cha SGR ambapo tungetumia gharama ndogo na kufika Congo kirahisi sana?



Hii ndo ramani ya Zambia inavyoonesha ukaribu wa Zambia na Lubumbashi Congo na urahisi wa kufika Congo kupitia reli ya TAZARA



Ndugu haya maswala ya regional intergration huwa hatuamui wenyewe, tunashirikiana na wenzetu ndipo tunakubaliana.
inawezekana wazo lako lilifikiriwa wakati wakiandaa mipango hii lakini likaonekana halina tija. Maswala reli, bara na meli zinazounganisha nchi na nchi kwa hapa Arika Mashariki yapo chini ya BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI lenye makao makuu ARUSHA.

The East African Railway Master Plan is a proposal for rejuvenating the railways serving Tanzania, Kenya, and Uganda and adding railways to serve Rwanda and Burundi. The objective is to further the economic development of eastern Africa by increasing the efficiency and speed, and lowering the cost, of transporting cargo between major ports on the Indian Ocean coast and the interior.

All new railways will be standard-gauge, and existing narrow-gauge railways will be rehabilitated. The plan accounts for break of gauge issues and aims for a good interoperability within the resulting hybrid railway network. A later step would expand the eastern Africa railway network to South Sudan, Ethiopia, and the Democratic Republic of the Congo (DR Congo).[1] The plan is managed by infrastructure ministers from participating East African Community countries in association with transport consultation firm CPCS Transcom Limited.[2]

1647976848229.png
 
1647977726885.png


APRIL 4, 2015

Presidents of East African Community (EAC) countries launched in Dar Es Salaam last week the construction of the East Africa’s Central Corridor railway line.

The multi-national railways will link the port of Dar Es Salaam with a number of land-locked countries in the region, namely Burundi, DRC, Rwanda and Uganda, for non-stop consignment of cargos.

It is estimated that consignment time will be reduce to two days from weeks currently. Except for the Tanzania-Zambia Railway line (Tazara), there is no effective regional railroad network within East Africa.

Except for the Tanzania-Zambia Railway line (Tazara), there is no effective regional railroad network within East Africa.

The national rail networks of the East African member states are mostly independent of one another and integration of East Africa’s rail systems is complicated by the use of different gauges in the subregion.
 
Bado hata tazara haihitaji kujengwa kuwa SGR.

TAZARA ni cape gauge ambayo bado ni modest sana. tatizo ni siasa zetu za kiafrica.

Siasa ya ccm imeisusa tazara ambayo inafeed nchi kama zambia na southern drc na imeikumbatia rwanda yenye ukubwa wa 26,000kmsq kama mkoa wa Tanga.

Ni aibu sana.
 
Siku Saba zilizopita shirika la habari la Ujerumani DW wametoa makala nzuri sana kuelezea upekee wa Reli ya Tazara inayotoka Tanzania hadi Ndola nchini Zambia.

Wameelezea upekee wa reli hii na namna inavyopita kwenye mbuga maarufu za Selous na Mikumi na inavyopita mwenye milima ya Iringa hadi kuingia Zambia.

Waandaaji wa Makala hii wamehoji sana uchakavu wa reli hii na namna ambavyo serikali za nchi zetu zimeipuuza na kiufanya ichakae sana na kutoleta matunda yaliyokusudiwa!

Baada ya kuiona Makala hii nimegundua kuwa Reli ya Tazara inafika hadi Zambia ambapo Kuna urefu wa kilomita chache sana Kwenda Congo ambazo Pia zimeunganishwa na reli nyingine Kwenda Congo, Mji wa Lubumbashi ambao ni mji Mkuu wa kibiashara.

Kwa ninavyojua reli ya kati kwa Kiwango cha SGR mpaka mwanza na Kigoma itagharimu kiasi cha Trilioni si chini ya 25 kwa ujumla wa vipande vyote.

Jambo lililonishangaza ni kuwa tayari Reli ya Tazara inafika hadi Ndola Zambia na kuna Reli nyingine inafika hadi Lubumbashi , Congo kutoka Zambia.

Je haikuwa sahihi kwetu kuboresha Reli ya Tazara kwa Kiwango cha SGR na kuiwekea umeme na kuongea na Zambia kidiplomasia tukawakopesha hela za kuboresha reli kutoka Zambia hadi Lubumbashi Congo kwa Kiwango cha SGR?

Kwa mtazamo wangu naona gharama za kuboresha Reli ya Tazara kwenda Congo kwa Kiwango cha SGR ingekuwa ndogo sana kuliko kuijenga upya hadi Burundi na kuanza kuongea na Burundi ili waifikishe Congo jambo ambalo sidhani kama litakamilika hivi karibuni kutokana na hali ya kiuchumi ya Burundi! Na uhohehae wao kutokana na vita!

Nauliza swali hili kwenu wadau! Je kulikuwa na haja Kweli ya kujenga Reli ya SGR kwenda Kigoma na Mwanza? Au Tungeboresha tu TAZARA kuwa Kiwango cha SGR ambapo tungetumia gharama ndogo na kufika Congo kirahisi sana?



Hii ndo ramani ya Zambia inavyoonesha ukaribu wa Zambia na Lubumbashi Congo na urahisi wa kufika Congo kupitia reli ya TAZARA

Tazara inamilikiwa na nchi 2 maamuzi na mchakato ungeweza kuwa mrefu kama bomba la mafuta la Hoima to Chongoleani Tanga

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
SGR haiendi Uganda!
Inaishia Mwanza!

Kama target ni Congo , kulikuwa na haja gani kuipeleka Burundi na Rwanda tena kwa gharama kubwa sana?

Kwa nini tusingeboresha TAZARA na kufika Congo kirahisi sana?
Sehemu kubwa ya Congo ambayo tunaweza kuitumia kwa faida ya kiuchumi kwa miaka hii na ijayo ni hii iliyopakana na na Tanzania, Burundi na Rwanda.
Hata hivyo, bado fikra za viongozi wa Tanzania ni za kizamani za kuwaza mapambano ya kikabila na kikanda ndani ya nchi, kuwaza vyama na uchaguzi ujao badala ya kufikiria kuendeleza taifa kiuchumi kwa fursa zilizopo kupitia nchi jirani.
Siasa zetu zimejaa majinga yanayokariri ubeberu, tumenyonywa ( maneno ya kudai uhuru miaka 60 iliyopita) badala ya tufanye nini kwenye fursa za kimataifa.
 
Changamoto kubwa pia ni mradi wa nchi mbili.... kuwekana sawa imekuwa shida sana.
 
Bado hata tazara haihitaji kujengwa kuwa SGR.

TAZARA ni cape gauge ambayo bado ni modest sana. tatizo ni siasa zetu za kiafrica.

Siasa ya ccm imeisusa tazara ambayo inafeed nchi kama zambia na southern drc na imeikumbatia rwanda yenye ukubwa wa 26,000kmsq kama mkoa wa Tanga.

Ni aibu sana.
Hapa kwenye Tazara naitetea serikali,wakati wa awamu ya rais magufuli walikubaliana kila nchi kuchanga 10Bilion ili kufufua injini zilizokuwa zimekufa ambazo kwa Tanzania nyingi ziko Mbeya pale Iyunga.Serikali ya Tanzania ilitoa hela na zikafufuliwa Engine 7 lakini Zambia hawakutoa.Na mkumbuke kila kinachowekezwa kinakuwa mali ya nchi mbili.Sasa mnataka serikali itoe tuu hela ya walipa kodi wakati Zambia hawajihangaishi kugharamia hii reli? Mkataba unaipa nguvu Zambia sana kuliko sisi kwanza Mkurugenzi mkuu lazima atoke Zambia hili marehemu alipambana baadhi ya vipengele vibadilishwe ikiwemo hata la mkurugenzi awe mtu yeyote yule mwenye uwezo.Jambo lingine ni kila nchi iweze kuendeleza kipande chake au kwa maana nyingine Tanzania inaweza kununua Engine au Mabehewa yakawa yake yenyewe.Kwa jinsi ilivyo sasa kila ukinunua kitu ni mali ya nchi 2.Hata hivyo serikali inajitahidi sana ndio maana hata ile migomo ya wafanyakazi imekwisha tazara.
 
Hakuna nchi ambayo ina mzigo wa kuleta bandari ya dar
Burundi ,Rwanda hazina cha ku export ambacho kitakuwa na significant effect.

Tazara ndo ilikuwa reli ya kuitegemea kwa ajili ya kuiweka busy dar port.

Congo wakiamua kisafirisha magogo tu,. Wanaeza kuiweka busy Tazara railway
Viongozi wa serikali na wale wa TAZARA waliojiuzia nyumba wanaweza kweli kuwa na mawazo ya kuendeleza nchi au shirika?
Maendeleo huanzia kwenye fikra, halafu matendo.
 
Back
Top Bottom