Hadi leo sielewi shida ni nini, mimi binafsi siwezi na sidhani kama nitakuja kuweza kufanya ngono na mwanamke asiye wangu!

Naomba yaandaliwe maonyesho. Uje utazamwe Serikali pia itizame hili.....Tunashukuru Mama Samia kukuwezesha kuandika Uzi,,,,ehhh ndiyo kaleta mawasiliano. Na Nape hanajaaaaaaasahaaaaaa
 
Hongera sana kwako na Mungu akusaidie uendelee hivyo hivyo sio wote wanaweza na sio udhaifu ni hulka ya mtu. Wengi wanashangaa kwasababu hawawezi so kushindwa kwao kusifanye unayeweza kuwa ni udhaifu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…