Ohoooo, Messi ananukia kwenye tuzo yake.Kipa bora wa Mwaka/ Yacine Trophy: Emiliano Martinez wa Argentina
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ohoooo, Messi ananukia kwenye tuzo yake.Kipa bora wa Mwaka/ Yacine Trophy: Emiliano Martinez wa Argentina
Embu tuachane na bias tuongee kiutu uzima.. tuzo za ballon dor zinajumuisha perfomance ya mchezaji mwaka mzima na world cup ni mashindano ya mwezi mmoja tu kumbuka 2010 iniesta alichukua world na tuzo ikaenda kwa messi kwa kigezo cha kwamba alikua na magoli mengi kwa msimu ule, kwa msimu jana na msimu huu so far halaand ana magoli mengi kushinda messi tusubiri kuona hicho kigezo kilichompa messi tuzo mbele ya iniesta kama kitatumika kumpa tuzo halaand leo. Binafsi naona utawala wa messi na ronaldo umesababisha kusiwe na mantiki ya kiushindani kwenye hizi tuzo. Vigezo vinavyopewa kipaumbele kupatikana mshindi vimekua vikibadilika kuwabeba messi na ronaldo, katika utawala wa hao jamaa wawili kuna miaka ambayo iniesta, sneidjer, ribery, neur n.k walifanyiwa utaperiMessi anastahili hii tuzo mwaka huu, ndomana baada ya kuchukua WC tim Ronaldo mlianza kelele
Amestahili mwamba ni fundiiKipa bora wa Mwaka/ Yacine Trophy: Emiliano Martinez wa Argentina
Bado kidogoBado tu hawajampa hiyo Tuzo Messi?
Ni Kweli upendeleo wa Ronaldo na Messi, umewanyima wengi ballon d'orEmbu tuachane na bias tuongee kiutu uzima.. tuzo za ballon dor zinajumuisha perfomance ya mchezaji mwaka mzima na world cup ni mashindano ya mwezi mmoja tu kumbuka 2010 iniesta alichukua world na tuzo ikaenda kwa messi kwa kigezo cha kwamba alikua na magoli mengi kwa msimu ule, kwa msimu jana na msimu huu so far halaand ana magoli mengi kushinda messi tusubiri kuona hicho kigezo kilichompa messi tuzo mbele ya iniesta kama kitatumika kumpa tuzo halaand leo. Binafsi naona utawala wa messi na ronaldo umesababisha kusiwe na mantiki ya kiushindani kwenye hizi tuzo. Vigezo vinavyopewa kipaumbele kupatikana mshindi vimekua vikibadilika kuwabeba messi na ronaldo, katika utawala wa hao jamaa wawili kuna miaka ambayo iniesta, sneidjer, ribery, neur n.k walifanyiwa utaperi
Huyo kibabu hawezi kupewaBado kidogo
Amestahili mwamba ni fundii
Kwann mkuu?Huyo kibabu hawezi kupewa
Kabisa ile ingewekwa ingekuwa hatari sana yaani sanaIle save ya dakika ya mwisho kwenye fainal ilikuwa moto🔥🔥
Embu tuachane na bias tuongee kiutu uzima.. tuzo za ballon dor zinajumuisha perfomance ya mchezaji mwaka mzima na world cup ni mashindano ya mwezi mmoja tu kumbuka 2010 iniesta alichukua world na tuzo ikaenda kwa messi kwa kigezo cha kwamba alikua na magoli mengi kwa msimu ule, kwa msimu jana na msimu huu so far halaand ana magoli mengi kushinda messi tusubiri kuona hicho kigezo kilichompa messi tuzo mbele ya iniesta kama kitatumika kumpa tuzo halaand leo. Binafsi naona utawala wa messi na ronaldo umesababisha kusiwe na mantiki ya kiushindani kwenye hizi tuzo. Vigezo vinavyopewa kipaumbele kupatikana mshindi vimekua vikibadilika kuwabeba messi na ronaldo, katika utawala wa hao jamaa wawili kuna miaka ambayo iniesta, sneidjer, ribery, neur n.k walifanyiwa utaperi
Acha kuteseka mkuu. Huyo unayemuita mchomaji ndio man of the tournament![emoji16][emoji16][emoji16]Mbona Messi kombe la dunia final amechoma mpaka anasababisha goli la 2 likarudi, wamshukuru Sana d Maria
Mbona hilo tulishawahi kulijadili sana hapa. Ule mwaka 2010 ambao Iniesta alikuwa kwenye kiwango bora zaidi lakini tuzo akapewa Messi, pale Messi alibebwa, hakustahili.Embu tuachane na bias tuongee kiutu uzima.. tuzo za ballon dor zinajumuisha perfomance ya mchezaji mwaka mzima na world cup ni mashindano ya mwezi mmoja tu kumbuka 2010 iniesta alichukua world na tuzo ikaenda kwa messi kwa kigezo cha kwamba alikua na magoli mengi kwa msimu ule, kwa msimu jana na msimu huu so far halaand ana magoli mengi kushinda messi tusubiri kuona hicho kigezo kilichompa messi tuzo mbele ya iniesta kama kitatumika kumpa tuzo halaand leo. Binafsi naona utawala wa messi na ronaldo umesababisha kusiwe na mantiki ya kiushindani kwenye hizi tuzo. Vigezo vinavyopewa kipaumbele kupatikana mshindi vimekua vikibadilika kuwabeba messi na ronaldo, katika utawala wa hao jamaa wawili kuna miaka ambayo iniesta, sneidjer, ribery, neur n.k walifanyiwa utaperi
Messi Hana mvuto tenaAcha kuteseka mkuu. Huyo unayemuita mchomaji ndio man of the tournament![emoji16][emoji16][emoji16]
Ata kuuliza mkeo anao ?, jiandae kwa majibuMessi Hana mvuto tena
Messi Hana mvuto tena
Messi hastahili hii tuzoMbona hilo tulishawahi kulijadili sana hapa. Ule mwaka 2010 ambao Iniesta alikuwa kwenye kiwango bora zaidi lakini tuzo akapewa Messi, pale Messi alibebwa, hakustahili.
Lakini kwa mwaka huu, Messi amekuwa bora zaidi, ana haki ya kupewa hiyo tuzo. Asipopewa maana yake ameonewa.
Watu tunataka tukalale bhana wafanye fasta ,[emoji16][emoji16][emoji16]Messi hiyo ballon d'or wanataka wampe usiku wa manane au ?
Naked truthEmbu tuachane na bias tuongee kiutu uzima.. tuzo za ballon dor zinajumuisha perfomance ya mchezaji mwaka mzima na world cup ni mashindano ya mwezi mmoja tu kumbuka 2010 iniesta alichukua world na tuzo ikaenda kwa messi kwa kigezo cha kwamba alikua na magoli mengi kwa msimu ule, kwa msimu jana na msimu huu so far halaand ana magoli mengi kushinda messi tusubiri kuona hicho kigezo kilichompa messi tuzo mbele ya iniesta kama kitatumika kumpa tuzo halaand leo. Binafsi naona utawala wa messi na ronaldo umesababisha kusiwe na mantiki ya kiushindani kwenye hizi tuzo. Vigezo vinavyopewa kipaumbele kupatikana mshindi vimekua vikibadilika kuwabeba messi na ronaldo, katika utawala wa hao jamaa wawili kuna miaka ambayo iniesta, sneidjer, ribery, neur n.k walifanyiwa utaperi