Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
Maskini mbape anatoka mikono mirupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikumbuki vzr nani alikosa alipiga kwa papala sana ile save ndio iliwapa ubinhwa argentina nilishangaa sana kuona man of the match alichukua messi, yaani ile chanve ingemkuta cleanical finisher kama lewandowski au cristiano pale ufaransa alikua anabeba ndooIle save ya dakika ya mwisho kwenye fainal ilikuwa moto[emoji91][emoji91]
Hizi dharau sijapenda kabisaNdugu yenu huyu hapaView attachment 2798438
Randal Kolo MuaniSikumbuki vzr nani alikosa alipiga kwa papala sana ile save ndio iliwapa ubinhwa argentina nilishangaa sana kuona man of the match alichukua messi, yaani ile chanve ingemkuta cleanical finisher kama lewandowski au cristiano pale ufaransa alikua anabeba ndoo
Hajapata hata kura 1? Au sijaelewa?Ndugu yenu huyu hapaView attachment 2798438
Ikienda kwa messi pia ni sawa kwa mtazamo wangu nafikiri halaand ndie anastahili zaidi hii tuzo kwa usiku wa leoMbona hilo tulishawahi kulijadili sana hapa. Ule mwaka 2010 ambao Iniesta alikuwa kwenye kiwango bora zaidi lakini tuzo akapewa Messi, pale Messi alibebwa, hakustahili.
Lakini kwa mwaka huu, Messi amekuwa bora zaidi, ana haki ya kupewa hiyo tuzo. Asipopewa maana yake ameonewa.
Randal kolo muani ndo alikosaSikumbuki vzr nani alikosa alipiga kwa papala sana ile save ndio iliwapa ubinhwa argentina nilishangaa sana kuona man of the match alichukua messi, yaani ile chanve ingemkuta cleanical finisher kama lewandowski au cristiano pale ufaransa alikua anabeba ndoo
Hajaambulia hata kura ya mkewe,Hizi dharau sijapenda kabisa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Watu tunataka tukalale bhana wafanye fasta ,[emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hajaambulia hata kura ya mkewe,
Timu bora ya mwaka ywa Wanaume: Manchester City
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Basi ballon d'or ya messi, wamempa hilo bati ili kumpoza kama walivyofanya kwa Lewandowski [emoji23]
Hajapata hata kura 1? Au sijaelewa?
Argentina sio timu n kikundi cha wauni kama ilivyo simbaArgentina??
Jiheshimu mkuuArgentina sio timu n kikundi cha wauni kama ilivyo simba
Fujo hizi mkuuArgentina sio timu n kikundi cha wauni kama ilivyo simba
[emoji1][emoji1]Jiheshimu mkuu