Hafla ya Ugawaji wa Tuzo za Ballon d’Or 2023

Hafla ya Ugawaji wa Tuzo za Ballon d’Or 2023

Mbona hilo tulishawahi kulijadili sana hapa. Ule mwaka 2010 ambao Iniesta alikuwa kwenye kiwango bora zaidi lakini tuzo akapewa Messi, pale Messi alibebwa, hakustahili.

Lakini kwa mwaka huu, Messi amekuwa bora zaidi, ana haki ya kupewa hiyo tuzo. Asipopewa maana yake ameonewa.
Kwa hiyo wengine waonewe ili Messi ashinde.

Ila Messi yeye asionewe ili abebe taji lake mwenyewe?

Hii akili ya wapi?
 
IMG_3611.jpg
 
Back
Top Bottom