Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 6,534
- 11,421
Kalia wa Simba au wa TFF?Career✅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kalia wa Simba au wa TFF?Career✅
Alifanya nini ?Huijui historia ya Diego Maradona wewe …
Ronaldo moja kati ya wachezaji bora zaidi kuwahi kutokea na moja ya wachezaji wenye mwisho mbaya zaidi kwenye carrier zao
Kaenda kwa waarabu waarabu wamempa Zero Vote sio kawaida,
Sio kweli mkuu, hizo kura zinapigwa na watu special wa mpira sio mashabikiKaenda kwa waarabu waarabu wamempa Zero Vote sio kawaida,
Andunje yupi?Sikuwahi kutamani kumuona Andunje
UbarikiweCareer[emoji736]
Hio ni edit tu ilipostiwa tweeter, sio kweli,Soma uelewe kabla ya kureply, nimesema Ronaldo ni bora sana ila mwisho mbaya ni pamoja na hiyo rank aliyopata na 0 vote kitu ambacho haijawahi kutokea, yaani kwa hiyo rank amepitwa hata na konkoni
Zero Vote yaan sifuri, yupo mule au hayupo?Sio kweli mkuu, hizo kura zinapigwa na watu special wa mpira sio mashabiki
Wapi?Zero Vote yaan sifuri, yupo mule au hayupo?
Sikumbuki vzr nani alikosa alipiga kwa papala sana ile save ndio iliwapa ubinhwa argentina nilishangaa sana kuona man of the match alichukua messi, yaani ile chanve ingemkuta cleanical finisher kama lewandowski au cristiano pale ufaransa alikua anabeba ndoo
Sio kweli mkuu, hizo kura zinapigwa na watu special wa mpira sio mashabiki
Alifanya nini ?
Kwa mujibu wa nani?Tuzo za mwaka huu hazina msisimko.
Umeongea point mkuuHio ni edit tu ilipostiwa tweeter, sio kweli,
Hiv unadhani ni kweli CR7 akose hata kura za kocha wa Ureno na Captain wa Ureno ?
Zero Vote RonaldO CR7 kala sifuri?Tuzo za mwaka huu hazina msisimko.