Hahaha what's comrade Ramaphosa says about Tanzania economy

Matumizi ya akili bongo ni zero,sasa ona vile wanavyotiririka na upuzi tukiwaambia ukweli,nchi kama america ilitumia zaidi ya $12B through marshall plan kusaidia europe kuinuka kiuchumi baada ya world war 2 lakini huwezi ona wakiruka ruka kila mahali wakipayuka ati walisaidia europe.
 
Ungekua Unatumia ubongo wako vizuri usingekuwa na chuki na wivu.
 
Matumizi ya ubongo ndio bongo inahitaji,chuki na wivu ndio kusema nini babayao 255?
 
Matumizi ya ubongo ndio bongo inahitaji,chuki na wivu ndio kusema nini babayao 255?
Kwetu tunawaita nyie ni washenzi, vibaraka wa mabeberu. We don't need you.
SADC ni umoja wa kidugu.
We call it Ubuntu.
We are comrades.
Viva SADC vivaaaaa. Aluta continua.
Tutapambana na ninyi mpaka mpotee.
 
Matumizi ya ubongo ndio bongo inahitaji,chuki na wivu ndio kusema nini babayao 255?
If don't know History utatukana watu na kujiona msomi kumbe wewe ni kibaraka na mshenzi(barbarian)
Hii historia haitafutika mioyoni mwa waafrica(SADC)
 
Kwetu tunawaita nyie ni washenzi, vibaraka wa mabeberu. We don't need you.
SADC ni umoja wa kidugu.
We call it Ubuntu.
We are comrades.
Viva SADC vivaaaaa. Aluta continua.
Tutapambana na ninyi mpaka mpotee.
SADC ni SA, Namibia na Botswana Hawa wengine ni mizoga ya kutafunwa... kea mfano Tz major export is food na mambo yanaishia hapo. SA na wanawauzia Watanzagiza karibu kila kitu afu bado wakafanya investments huko Tz yani Watanzania ni consumers wa South African products 😂😂😂 viva Ubuntu!
 
Kwetu tunawaita nyie bongolala,wapuzi wa ujamaa,we pity you,xenophobia ni umoja na undugu,xenophobia itapambana na nyinyi hadi mpotee,viva xenophobia,aluta continua
 
If don't know History utatukana watu na kujiona msomi kumbe wewe ni kibaraka na mshenzi(barbarian)
Hii historia haitafutika mioyoni mwa waafrica(SADC)
View attachment 1183318View attachment 1183319
Haya ungekuwa unawaelezea Watu wa SADC yani SA ili wawache kuwaua wenzenu... Wakenya tupo EAC na tunaongoza kiuchumi huku upende usipende...nahata hiyo SADC bado tukiingia tutakuwa namba mbili baada ya SA...Sisi ni magwiji mpende msipende...bure kabisa.
 
Venus star......sawa mliwakomboa SA,lakini mbona hao SA hawatambui waafrica wenzao tupilia mbali Tz????xenophobia is REAL.imagine fellow africans(south africans) killing their fellow africans ikiwemo bongolalas(tanzanians),hivi bongo mbona mnakuanga ignorant hivi?????
 
Wivu na chuki [emoji23][emoji23][emoji23] hizi chuki mkazitumie kumaliza ukabila na njaa
 
See how stupid you are!?
Unadhani kuna kuna nchi inashindana na ninyi na kusema nyie mnaongoza!!!
This is primitive ideas. Hamtakaa muelewe hata siku moja.
Kitu kikubwa SADC tunajitambua bro!
We are fighting for basic needs for our people. We don't need virtual life like that you have in Kenya.
Basic needs are:-
1. Food
2. Shelter
3. Clothes
4. Security
5. Union and Peace
6. Cheap and quality social services.

Zaidi ya hapo ni wehu tu.
 
Wanajisifia wana uchumi mkubwa wakati hauwasaidii hata kidogo [emoji23][emoji23][emoji23] but ni chuki na wivu ndio unaowasumbua hawa jamaa
 
.... and mind you that in 60s from what I read our economy was at par with Singapore. South Korea and Malaysia. These 3 countries they don’t have any natural resources like Tanzania, but within few decades they were able to change their economies in a very positive way and left us lagging behind by a huge margin.


 
Naona hata Burundi wako Juu yetu, na itawauma mnooooooooo
 
Huo ushenzi wenu mtakula wenyewe. Tunawatazama tu kwa macho mawili.
You have been brainwashed by wazungu.

Mtakapo kua na kujitambua mtaelewa nini maana ya maneno haya tunayoyasema.

Nyie wakenya hamuwezi kutufundisha kipi cha kufanya au kipi cha kuongea.
Tanzania international diplomacy is very strong. We have our own way to handle international affairs, without to interfere the sovereignty of other country.

We helped China for UN.
Usitulinganishe na nchi yenu ambayo ni primitive.
 
Wivu na chuki [emoji23][emoji23][emoji23] hizi chuki mkazitumie kumaliza ukabila na njaa
History itaendelea kuwahukumu hawa wakenya mpaka siku watakapojitambua.
Hiyo dhambi ya ubaguzi waliyoianzisha itawala mpaka wataisha.

#Mazibu Tanzania miaka ya 70s sikiliza hiyo clip
 
Kama utajaribu kupotosha ukweli, Tanzania itausema.
Kenya has no legacy in Africa. Kenya has no history in Africa.
This is Tanzania
Aluta continua
 
Niko nasoma comments za hiyo tweet.
History itaendelea kuwahukumu hawa wakenya mpaka siku watakapojitambua.
Hiyo dhambi ya ubaguzi waliyoianzisha itawala mpaka wataisha.

#Mazibu Tanzania miaka ya 70s sikiliza hiyo clip
 
No place in Kenya where people can learn about the history of Africa. You can only find pupate in kenya.
This is how Tanzania became the center of freedom fighters
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…